VIONGOZI WAIPONGEZA KAMPUNI YA TTCL MAONESHO YA SABASABA

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akisaini kitabu cha wageni baada ya kutembelea Banda la TTCL katika maonesho ya 38 ya Kimataifa ya Kibiashara katika viwanja vya Sabasaba. Mama Salma katika mazungumzo yake aliipongeza TTCL kwa kazi nzuri inayoifanya katika kuleta maendeleo nchini. Baadhi ya wateja wa TTCL na wananchi wengine wakitembelea banda la TTCL katika Maonesho ya 38 ya Kimataifa ya… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog06 Jul
Viongozi waipongeza kampuni ya TTCL Maonesho ya Sabasaba
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akisaini kitabu cha wageni baada ya kutembelea Banda la TTCL katika maonesho ya 38 ya Kimataifa ya Kibiashara katika viwanja vya Sabasaba. Mama Salma katika mazungumzo yake aliipongeza TTCL kwa kazi nzuri inayoifanya katika kuleta maendeleo nchini.
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi iliyowasilishwa na Mhe. Dkt. Titus Mlengeya Kamani (Mb) akizungumza na baadhi ya wafanyakazi wa Banda la TTCL kwenye viwanja vya maonyesho ya TANTRADE yanayoendelea jijini...
11 years ago
Dewji Blog03 Jul
Kampuni ya TTCL yatwaa Tuzo ya Maonesho ya Biashara Sabasaba…!
Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya TTCL wanaoshiriki Maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa wakipiga picha ya pamoja na tuzo yao mara baada ya kutwaa tuzo hiyo.
Muonekano wa Banda la TTCL kwenye Maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa maarufu kama Sabasaba.
Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya TTCL wanaoshiriki Maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa wakipiga picha ya pamoja na tuzo yao mara baada ya kutwaa tuzo hiyo.

Huduma mbalimbali kwa wateja zikiendelea ndani ya Banda la TTCL...
10 years ago
GPL
TTCL YASHINDA NAFASI YA KWANZA SEKTA YA HABARI NA MAWASILIANO MAONESHO YA 39 YA BIASHARA YA KIMATAIFA (SABASABA)
10 years ago
Dewji Blog05 Jul
Kampuni ya simu ya mkonononi TIGO yavutia maonesho ya Sabasaba
Banda la Kampuni ya simu za mkononi Tigo lililopo Viwanja vya Mwalimu Nyerere kwenye Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya 39 Sabasaba jijini Dar es Salaam yanayoendelea.
Baadhi ya washiriki wa Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya 39 Sabasaba jijini Dar es Salaam yanayoendelea wakipata hududuma mbalimbali katika banda la tigo.
Watoa huduma wa Kampuni ya simu tigo wakiendelea kutoa huduma mbalimbali kwa wananchi wanaoshiriki katika maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya 39 Sabasaba jijini Dar...
10 years ago
GPL
PAC YAISHAURI SERIKALI NAMNA YA KUINUSURU KAMPUNI YA TTCL
10 years ago
GPL
KAMPUNI YA TTCL YASAIDIA MIFUKO YA SARUJI KITUO CHA YATIMA
11 years ago
GPL
KAMPUNI YA TTCL YATOA ZAWADI YA EID EL FITR KWA YATIMA DAR
11 years ago
Habarileo06 Jul
Kikwete avutiwa na maonesho Sabasaba
RAIS Jakaya Kikwete ametembelea Maonesho ya 38 ya Kimataifa ya Sabasaba kwa na kusema ameridhishwa na ubora wa bidhaa za Tanzania ulivyoongezeka, ikiwa ni pamoja na ufungashaji wa kisasa.
11 years ago
Dewji Blog07 Jul
Rais Kikwete atembelea banda la TTCL maonesho ya kimataifa ya biashara
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa kwenye banda la TTCL kwenye maonesho ya kimataifa ya biashara maarufu kama SabaSaba alipotembelea tena jana Julai 6, 2014 baada ya ziara yake ya juzi kutokamilika kutokana na muda.
Baadhi ya wafanyakazi na viongozi wakipiga picha ya pamoja na Rais Jakaya Kikwete nje ya Banda la TTCL kwenye maonesho ya Kimataifa ya Biashara maarufu kama SabaSaba jana Juai 6, 2014.
Rais Jakaya Kikwete akipata maelezo juu ya utendaji kazi wa shughuli za mkongo wa taifa wa...