Virusi vya corona: Covid-19 ilivyowalazimisha kuendelea na fungate isiyoisha
Ilianza na harusi iliyofanyika katika mji mkuu wa Misri -Cairo tarehe 06 Machi: Miaka minane tangu wakutane, Khaled mwenye umri wa miaka 36 na Peri mwenye umri wa miaka 35 walioana mbele ya marafiki na famiolia zao.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili16 Apr
Virusi vya Corona: Mfahamu mwanamke aliyebaini virusi vya corona kabla ya Covid-19
June Almeida alikuwa bingwa wa ugunduzi wa virusi, lakini alikuwa amesahaulika mpaka mlipuko wa corona ulipoibuka ndio akakumbukwa.
5 years ago
BBCSwahili09 May
Virusi vya corona: Kenya yatangaza visa 28 zaidi vya maambukizi ya Covid-19
Idadi ya maambukizi ya virusi vya corona nchini Kenya imepanda hadi kufikia jumla ya watu 649 Jumamosi, baada ya kutangazwa kwa matokeo chanya vya virusi katika sampuli za watu 28 miongoni mwa waliopimwa.
5 years ago
BBCSwahili11 May
Virusi vya corona: Je roboti zinatumika vipi kwenye vituo vya Covid-19 Rwanda?
Rwanda imesema kuwa tayari inatumia roboti katika kuzuwia maambukizi ya virusi vya corona kwenye vituo vya ugonjwa huo
5 years ago
BBCSwahili14 Apr
Virusi vya corona: Covid -19 ilivyobadilisha utamaduni wa waafrika
Mwanahabari Joseph Warungu anaangazia vile virusi vya corona vimebadilisha maisha ya Wakenya kuanzia kujifungua hadi kifo.
5 years ago
BBCSwahili05 May
Virusi vya corona: Shirikisho la kandanda Tanzania lajiandaa kuendelea kwa ligi
Shirikisho la mpira wa miguu nchini Tanzania TFF pamoja na bodi ya ligi hiyo TPLB zinajiandaa kuendelea na ligi ya mchezo huo nchini licha ya kuwepo kwa virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku
Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.
5 years ago
BBCSwahili06 May
Virusi vya corona: Rais alitangaza naugua Covid-19 kwenye TV
Bila hiari yake, Sita Tyasutami alikuwa "kisa cha kwanza", sura ya Indonesia ya mlipuko wa corona.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JaCK-f9z7Jw/XoHzpW2fcFI/AAAAAAALlkE/i8g0Ix_9RKwthVyERKS7gnKiTVubQyYvwCLcBGAsYHQ/s72-c/A.png)
DC MSAFIRI AWATAKA WATANZANIA KUENDELEA KUUNGANA KATIKA MAPAMBANO DHINI YA VIRUSI VYA CORONA
Na Amiri Kilagalila, Njombe
Mkuu wa wilaya ya Njombe Ruth Msafiri amesema watanzania wataendelea kuungana katika mapambano dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa Corona (COVID-19) na kamwe hawawezi kuacha ugonjwa huo ukatawala.
Ruth Msafiri ameyasema hayo wakati akiahirisha ibada ya kufunga na kuombea maambukizi ya virusi vya COVID-19 iliyofanyika kwa wiki moja na waumini wa kanisa la Tanzania assemblies of God (T.A.G) Melinze lililopo halmashauri ya mji wa Njombe mkoani humo.
“Corona imeingia...
Mkuu wa wilaya ya Njombe Ruth Msafiri amesema watanzania wataendelea kuungana katika mapambano dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa Corona (COVID-19) na kamwe hawawezi kuacha ugonjwa huo ukatawala.
Ruth Msafiri ameyasema hayo wakati akiahirisha ibada ya kufunga na kuombea maambukizi ya virusi vya COVID-19 iliyofanyika kwa wiki moja na waumini wa kanisa la Tanzania assemblies of God (T.A.G) Melinze lililopo halmashauri ya mji wa Njombe mkoani humo.
“Corona imeingia...
5 years ago
BBCSwahili05 Apr
Virusi vya Corona: Sudan Kusini yathibitisha kuwa na mgonjwa wa COVID-19
Rais wa Sudan Kusini Dk. Riek Machar anazungumza na waandishi wa habari mjini Juba .
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania