Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC MSAFIRI AWATAKA WATANZANIA KUENDELEA KUUNGANA KATIKA MAPAMBANO DHINI YA VIRUSI VYA CORONA

Na Amiri Kilagalila, Njombe

Mkuu wa wilaya ya Njombe Ruth Msafiri amesema watanzania wataendelea kuungana katika mapambano dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa Corona (COVID-19) na kamwe hawawezi kuacha ugonjwa huo ukatawala.

Ruth Msafiri ameyasema hayo wakati akiahirisha ibada ya kufunga na kuombea maambukizi ya virusi vya COVID-19 iliyofanyika kwa wiki moja na waumini wa kanisa la Tanzania assemblies of God (T.A.G) Melinze lililopo halmashauri ya mji wa Njombe mkoani humo.

“Corona imeingia...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je, dawa za mitishamba zina nafasi katika mapambano dhidi ya corona?

Dawa ya asili ya Covid-19 ambayo imetengenezwa nchini Madagascar na kutangazwa na rais Andry Rajoelina imezua mijadala kuhusu matumizi ya dawa za mitishamba barani Afrika.

 

5 years ago

Michuzi

WAUMINI WA KOREA KUSINI WACHANGIA KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA VIRUSI VYA CORONA

 WAUMINI 4,000 waliopona corona (covid 19) nchini korea kusini wajitolea Kutoa utegili(plasma) yenye thamani ya trilioni 192 na bilioni 394 za kitanzania kwa ajili ya tiba ya corona.
Kanisa moja kutoka korea kusini linaloitwa Shincheonji church of Jesus lilisema Zaidi ya waumini wake 4,000 wameweza kupona corona(covid19) na wako tayari kujitolea utegili kwa ajili ya uvumbuzi wa matibabu mapya.
Kiasi cha damu kitachotolewa na waumini hao 4,000 kitakuwa na thamani ya shilingi trilioni 192 na...

 

5 years ago

CCM Blog

MATUMAINI YAANZA KUONEKANA ULAYA KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA VIRUSI VYA CORONA

   Mataifa ya Ulaya yaliyoathirika zaidi na virusi vya corona yameanza kuona dalili ndogo za matumaini katika mapambano dhidi ya virusi hivyo leo ila Marekani inajiandaa kwa hali mbaya zaidi.

Haya yanakuja wakati ambapo idadi ya vifo Marekani inaelekea kufikia watu elfu kumi.

Virusi vya corona vimeuathiri karibu ulimwengu mzima na kuwapelekea karibu nusu ya watu duniani kusalia majumbani na kupelekea vifo vya karibu watu sabini elfu.

Malkia Elizabeth wa pili wa Uingereza, hapo jana alitoa...

 

5 years ago

CCM Blog

WAITARA AWATAKA WATANZANIA KUWA NA UZALENDO ULIOPITILIZA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA

NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mwita Waitara, akizungumza katika mkutano huo. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema.

Na Richard Mwaikenda, Ukonga.

NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mwita Waitara, amewataka Watanzania kuwa na Uzalendo uliopitiliza katika mapambano dhidi ya ugonjwa hatari wa Corona.

Amesema wawe makini na wageni wanaoingia nchini kupitia mipaka...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Kutana na Msafiri Mjema aliyebuni mfumo kujifukiza jijini Dar es Salaam

Wakati dunia ikiendelea kupambana na virusi vya Corona, Mtanzania Msafiri Mjema amebuni mfumo rahisi wa kujifukiza alioupa jina la Aspera Covid 19 Nyungu, anaoamini ''unatibu'' virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Je, Tanzania inajitenga na majirani kwenye mapambano ya corona?

Kufungwa kwa mpaka wa Tanzania na Zambia kumeongeza mjadala wa namna Tanzania inavyopambana na corona na athari kwa nchi zinazoizunguka.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Serikali, sayansi na sintofahamu ya mapambano dhidi ya corona Tanzania

Wakati serikali zote duniani zimeendelea kujifunza namna sahihi ya kupambana na ugonjwa huu, zipo zinazosifika na zile zinazokosolewa kwa namna zinavyopambana na Corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Imani za kidini zinasaidia au zinadidimiza mapambano dhidi ya corona?

Katikati ya mwezi Machi mwaka huu nchi ya Malaysia ilifunga mashule, ofisi na sehemu za ibada katika juhudi za kupambana kuenea virusi vya corona, baada ya kubaini mikusanyiko katika misikiti ilichangia pakubwa kuripuka kwa ugonjwa huo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Jinsi kinyesi cha kuku kinavyotumika mapambano dhidi ya corona

Jinsi Sweden inavyotumia mbinu ya ajabu kupambana na maambukizi ya corona.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani