Virusi vya corona: Daktari Christian Chenay mwenye umri wa miaka 98 anaendelea kuwatibu wagonjwa wake
Daktari wa Ufaransa Christian Chenay, anaendelea kufanya kazi katika mazingira ambayo ni hatari kwa mtu mwenye umri kama wake
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Je wanaume wenye umri wa miaka 50 na zaidi wanaathiriwa kwa kiwango gani?
Huku watu wengi huwa na dalili ndogo na kupona haraka, watu wengi wanaweza kuugua sana na hata kuwa na uwezekano wa kufa.
5 years ago
BBCSwahili17 Apr
Virusi vya corona: Idadi ya wagonjwa Tanzania yafika 147 baada ya wagonjwa 53 zaidi kukutwa na virusi hivyo
Tanzania imethibtisha wagonjwa wapya 53 wa virusi vya corona nchini humo hatua inayoongeza idadi ya watu walioathirika na ugonjwa huo kufikia watu 147
5 years ago
BBCSwahili02 Apr
Virusi vya Corona: Idadi ya wagonjwa wa virusi vya corona Kenya yapanda hadi 110
Idadi ya visa vya ugonjwa wa virusi vya corona nchini Kenya imefikia 110 baada ya visa vingine 29 kuthibitishwa
5 years ago
BBCSwahili23 Apr
Virusi vya corona: WHO ilijua kuhusu virusi vya corona miaka miwili iliopita
Mnamo mwezi februari 2018, kundi la wataalam wa shirika la Afya duniani WHO lilichapisha orodha ya magonjwa ambayo yanapaswa kupewa kipau mbele katika uangalizi na utafiti kutokana na tisho kubwa yanayotoa.
5 years ago
BBCSwahili10 Jun
Virusi vya corona: Simu ilivyomsaidia daktari wakati huu wa janga la corona
Vile simu ya daktari huyu ilivyokuwa mfariji wake kipindi hiki cha corona
5 years ago
BBCSwahili05 Jun
Virusi vya corona: Mombasa yathibitisha wagonjwa 67 huku jumla ya wagonjwa ikifikia 2,474 kenya
Katibu wa Wizara ya Afya Mercy Mwangangi ametangaza Ijumaa kuwa idadi ya waliothibitishwa kuambukizwa ugonjwa wa Covid-19 nchini Kenya imeongezeka na kufikia 2,474.
5 years ago
BBCSwahili14 May
Virusi vya corona: Idadi ya wagonjwa Kenya yafikia 758, huku wagonjwa wengine 21 wakithibitishwa
Mipaka isiolindwa sasa imetajwa kuwa miongoni mwa maeneo hatari katika maambukizi ya virusi vya corona kulingana na naibu waziri wa Afya nchini Kenya Mercy Mwangangi.
5 years ago
BBCSwahili16 Jun
Lata Kare: Ajuza mwenye umri wa miaka 68 anayekimbia bila viatu kuokoa maisha ya mume wake
Lata Kare ni ajuza mwenye umri wa miaka 68. Kwa kipindi cha miaka mitatu iliopita amekimbia na kushinda mbio za marathon za kilomita 3 katika eneo la Maharashatra, magharibi mwa I
5 years ago
BBCSwahili13 Apr
Virusi vya Corona: Watu 15 wapona corona Kenya, wagonjwa wapya 11
Hii ni idadi kubwa zaidi ya watu kupona kwa siku nchini Kenya
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania