Virusi vya Corona: Rais Kenyatta atangaza ametangaza marufuku ya kutotembea mjini Nairobi, Kilifi, kwale Mombasa
Raia wa Kenya Uhuru Kenyatta ametangaza marufuku ya kutoingia poingia na kutoka katika kaunti za Nairobi, Kilifi, kwale Mombasa huku idadi ya maambukizi ya virusi vya corona ikiongezeka kwa visa 16 zaidi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-n3tOJoho1G0/Xosw1vsai_I/AAAAAAAA_Ac/bd6sU9xoHK0AQWjn1OH8WbkuRZVAkV-wACNcBGAsYHQ/s72-c/download.jpg)
RAIS KENYATTA ATANGAZA MARUFUKU YA KUTEMBEA MJINI NAIROBI, KILIFI, KWALE MOMBASA
![](https://1.bp.blogspot.com/-n3tOJoho1G0/Xosw1vsai_I/AAAAAAAA_Ac/bd6sU9xoHK0AQWjn1OH8WbkuRZVAkV-wACNcBGAsYHQ/s640/download.jpg)
Idadi ya watu walioambukizwa nchini Kenya sasa imefikia jumla ya watu 158 huku vifo vikiwa ni 6. Kulingana na rais Kenyatta watu 4277 wamefanyiwa vipimo vya virusi vya corona.
Bwana Kenyatta pia amewaagiza Wakenya wote kuvaa barakoa katika maeneo yote ya umma, na kuepuka maeneo yenye mikusanyiko ya...
5 years ago
BBCSwahili06 May
Virusi vya corona:Mitaa ya Nairobi na Mombasa yawekewa amri ya kutotoka nje saa 24
Wakaazi wa Maeneo ya Eastleigh jijini Nairobi na Old towm mjini Mombasa nchini Kenya hawatoruhusiwa kutoka katika maeneo hayo katika kipindi cha wiki mbili zijazo kuanzia saa moja usiku wa Jumatano Mei 6, 2020.
5 years ago
BBCSwahili31 May
Virusi vya corona: Makamu wa rais wa Sudan Kusini Wani Igga atangaza kuwa na virusi
Makamu wa rais wa Sudan Kusini Dkt James Wani Iga amesema kuwa amepatwa na virusi vya corona.
5 years ago
BBCSwahili10 Jun
Virusi vya corona: Kwanini Wakenya wanamuomba Rais Kenyatta kuwapatia 'uhuru' ?
Karibu watu milioni1.2 wamepoteza ajira tangu janga la corona lilipokumba Kenya mwezi Machi.
5 years ago
BBCSwahili21 May
Virusi vya Corona: Rais Magufuli atangaza vyuo vikuu kufunguliwa Juni 1
Taasisi zote za elimu Tanzania zimefungwa toka mwezi Machi.
5 years ago
BBCSwahili06 Jun
Virusi vya corona: Rais Kenyatta asema hata yeye nia yake ni kufungua uchumi
Mwezi Machi 27, Kenya ilianza kutekeleza hatua ya kusalia ndani na baadae ikafuata na baadhi ya kaunti kufungiwa kabisa ikiwa ni miji ya Nairobi, Mombasa, kilifi na Kwale.
5 years ago
BBCSwahili28 May
Virusi vya corona: Rais Kenyatta amkanya mwanae kwa kuvunja amri ya kutotoka nje usiku
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amefichua jinsi mtoto wake wa kiume alivyovunja marufuku ya kutotembea nje iliyowekwa nchini humo.
5 years ago
BBCSwahili12 Apr
Virusi vya Corona: Tanzania yatangaza marufuku mpya ya usafiri wa anga kukabiliana na virusi
Ndege za mizigo pekee ndizo ambazo zitaruhusiwa kuingia nchini humo.
5 years ago
BBCSwahili16 Apr
Virusi vya Corona: Marufuku ya kutotoka nje ndio suluhu ya corona
Mataifa mengi barani Afrika wameweka marufuku ya watu kutoka nje, shule kufungwa na shughuli mbalimbali kusimama.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania