Vitambi vyote Uwanja wa Jamhuri
Kila alfajiri ukifika katika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma, huwezi kuwakosa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba uwanjani hapo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
KAMPENI ZA MAGUFULI ZATUA UWANJA WA JAMHURI DODOMA
Mgombea urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dk John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Dodoma kwenye mkutano wake wa kampeni. Msanii maarufu wa Bongo fleva, Ally Saleh Kiba 'King Kiba' akitoa burudani kwa wakazi wa Dodoma wakati wa mkutano huo. Msanii maarufu wa Bongo fleva, Khaleed Ramadhan Tunda 'Tunda Man' naye akifanya yake. Magufuli akiomba ridhaa kwa Wanadodoma.… ...
10 years ago
GPL
VPL: MTIBWA VS YANGA, UWANJA WA JAMHURI MOROGORO
Kikosi cha timu ya Yanga kinachomenyana na Mtibwa sugar, Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro. Kikosi cha timu ya Mtibwa Sugar. Donald Ngoma wa Yanga akichuana na mabeki wa Mtibwa.…
11 years ago
GPLMTOTO NASRA AAGWA UWANJA WA JAMHURI MORO
Umati wa watu uliofurika kwenye Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro kuaga mwili wa Nasra. Wanafunzi wa Shule za Msingi Mkoani Morogoro nao walijumuika kumuaga mtoto Nasra Rashid katika Uwanja wa Jamhuri Mkoani Morogoro. (PICHA NA DUSTAN SHEKIDELE / GPL,…
11 years ago
GPL
TAMASHA LA KRISMASI LAFANA UWANJA WA JAMHURI, MOROGORO
Mwimbaji Edson Mwasabwite akifanya vitu vyake mbele ya mashabiki wake wakati akitumbuiza kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro jana jioni.  Boniface Mwaitege naye akawanyanyua kwenye viti mashabiki waliojitokeza kushuhudia tamasha hilo.…
5 years ago
CCM BlogMTANANGE WA YANGA NA JKT TANZANIA UWANJA WA JAMHURI DODOMA
10 years ago
MichuziBONANZA LA WATUMISHI TAMISEMI LAFANYIKA UWANJA WA JAMHURI DODOMA
Mgeni rasmi katika tamasha hilo alikuwa ni Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Bwana Mohamed Pawaga. Tamasha hilo liliambatana na...
11 years ago
Mwananchi19 Sep
Uwanja wa Jamhuri kamili kwa Ligi Kuu msimu huu
Maandalizi ya mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2014/2015 kati ya Mtibwa Sugar na Yanga SC yamekamilika mkoani hapa.
10 years ago
Vijimambo01 Oct
KUTOKA UWANJA WA JAMHURI MOROGORO HII NDIYO YANGA 2 MTIBWA 0

Baada ya kuvunja uteja kwa watani wao wa jadi Simba Taifa sasa waendeleza kuvunja uteja ndani ya uwanja wa jamhuri wakiwazamisha walima miwa wa mashamba ya mtibwa kwa bao 2 bila majibu. Mtibwa wapisha njia wenyewe kwa kulala na kipigo sawa na walichopewa Simba jumamosi iliyopita.Yanga sasa mambo mbele kwa mbele wazidi kuwa watamu uwanjani.
10 years ago
GPLYANGA YAINOA POLISI MORO 1-0 UWANJA WA JAMHURI MKOANI MOROGORO
Mshambuliaji wa Yanga, Danny Mrwanda akipongezwa na mwenzake baada ya kuifungia timu yake bao pekee dhidi ya Polisi Moro jana. Danny Mrwanda (kati) akijaribu kumtoka mchezaji wa timu ya Polisi Moro.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10