Vituko vya mwakilishi wa Rais Kikwete
Na Peter Fabian, Mwanza
MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo, ambaye ni mwakilishi wa Rais Jakaya Kikwete mkoani hapa, amebuni aina mpya ya ulinzi wake binafsi pamoja na msafara wa magari unaoambatana naye anapokuwa katika ziara zake za kikazi.
Aina hiyo ya ulinzi na msafara wake wa magari unaofanana kwa kiwango kikubwa na ule wanaopewa viongozi wakuu wa kitaifa, akiwemo Rais na Waziri Mkuu, ni wa kwanza kushuhudiwa na wakazi wa mkoani hapa na umedaiwa kugharimu kiasi kikubwa cha...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Y01L3OHtlxA/VbMv4Kx0SsI/AAAAAAAHrk8/u9s2GfgkZsQ/s72-c/unnamed.jpg)
Rais Kikwete aagana na Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y01L3OHtlxA/VbMv4Kx0SsI/AAAAAAAHrk8/u9s2GfgkZsQ/s640/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_YUr4ktnuQM/VbMv4bCJ7VI/AAAAAAAHrlA/f7N3q-gGmd8/s1600/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oncLOIv1tO5FQDQPsnv-vs-VLmuKQAnDq-fogaYOTTYCMgFeP9YQBkvcSfR0i6RdFYeNtXJha8Gd-fXc3fMxlFKX1rMNYZ9x/JK2.jpg)
RAIS KIKWETE AAGANA NA MWAKILISHI MKAZI WA UMOJA WA MATAIFA IKULU JIJINI DAR
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/qP5ptH6q6vU/default.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
Tumechoshwa na vituko vya Bunge
MALUMBANO na lugha chafu miongoni mwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba ni mambo ambayo hivi sasa yamewachosha Watanzania kiasi cha kufikia kulichukia Bunge hilo. Wakati hayo yakitokea, Bunge tayari...
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
Vituko vya Waziri Muhongo
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospiter Muhongo, anaweza kuwa waziri mwenye vituko kuliko wote kwa mwaka uliopita 2013 na mwaka huu mpya wa 2014. Mbali ya kituko cha mwaka...
11 years ago
Mwananchi15 May
Vitimbi, vituko vya tawala Simba
11 years ago
MichuziRAIS KIKWETE ATEMBELEA VIKOSI VYA JWTZ VYA KOMANDO NA UHANDISI MEDANI MKOANI MOROGORO
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Rais Jakaya Kikwete amefanya Ziara ya siku moja katika Vikosi vya Jeshi la Wanannchi wa Tanzania (JWTZ) vya Komando na Uhandisi Medali vilivyopo Mkoani Morogoro.
Akizungumza katika kikao maalum na Maafisa Askari wa vikosi hivyo,Rais Kikwete amesema ameridhishwa sana na utimamu wa vikosi hivyo kimafunzo na pia amehidi kukiongezea vifaa zaidi kikosi cha Uhandisi wa Medani ili...
11 years ago
MichuziRAIS KIKWETE ATEMBELEA VIKOSI VYA JWTZ VYA KOMANDO NA UHANDISI MEDANI MKOANI MOROGORO MACHI
Akizungumza katika kikao maalum na wakuu wa vikosi,Rais Kikwete amesema ameridhishwa sana na utimamu wa vikosi hivyo kimafunzo na pia amehidi kukiongezea vifaa zaidi kikosi cha Uhandisi wa Medani ili kiweze kupambana na majanga hapa...