Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vituo mabasi yaendayo mikoani vijengwe sasa

Kama kuna jambo ambalo Serikali itakuja kulijutia muda si mrefu kutoka sasa; ni ucheleweshaji usio na sababu wa ujenzi wa vituo vya mabasi yaendayo mikoani kutoka jijini Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

SUMATRA yaanza ukaguzi wa tiketi katika mabasi yaendayo mikoani

 Mamlaka ya Usafirishaji Tanzania (SUMATRA) imeanza ukaguzi wa nauli katika vyombo vya usafirishaji hapa nchini hasa kwenye mabasi ya abiria yaendayo mikoani kutokea jijini Dar es salaam.
SUMATRA imefikia uamuzi huo baada ya kubaini kuwa kuna baadhi ya vyombo vya usafiri hasa mabasi ya Mikoani kuwa na tabia ya kuongeza nauli hasa katika kipindi hiki cha msimu sikukuu za Krismas na Mwaka mpya,ambapo mapema leo asubuhi maafisa wa Mamlaka ya Usafirishaji Tanzania (SUMATRA) walitia timu katika...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mabasi yaendayo haraka kuanza kujaribiwa leo Agosti 17 jijini Dar kwa vituo 10

maba

Mabasi mawili yaliyoletwa nchini kwa ajili ya mradi wa mabasi yaendayo haraka kama yanavyoonekana ambapo leo yanatarajia kuanza kwa safari ya majaribio katika baadhi ya vituo ikianzia Kimara mwisho hadi Posta. Wakazi wa jiji la Dar es Salaam wanatarajia kuonja usafiri huo ambao ni majaribio huku wahusika wakieleza kuwa watakuwa na muda muafaka wa kutoa elimu kwa watumiaji wa usafiri huo mpaka hapo watakapouzoea.

Na Andrew Chale, modewjiblog

(Dar es Salaam). Asubuhi ya leo mabasi yaendayo...

 

11 years ago

Michuzi

updates: Taswira za Maendeleo ya ujenzi wa barabara na vituo vya mabasi yaendayo haraka jijini Dar es salaam

 Kituo cha Ubungo mwisho kinavyoonekana leo  Ubungo mwisho  Ubungo stendi  Daraja la Manzese bado linadunda Muonekano wa barabara hio kutokea Magomeni Mapipa kwa Macheni

 

9 years ago

Michuzi

Mabasi 138 ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) yawasili bandarini Dar es salaam

TATIZO la usafiri katika jiji la Dar es Salaam linatarajia kupungua kufuatia kuanza kupindi cha mpito cha mabasi Yaendayo Haraka (BRT) mwezi ujao kufuatia kuwasili kwa mabasi 138 katika Bandari ya Dar es Salaam kutoa China tayari kwa huduma ya usafiri.  Mkuu wa Mkowa Dar es Salaam, Bw. Saidi Meck Sadiki aliwaambia waandishi wa habari jana wakati alipofanya ziara katika Bandari ya Dar es Salaam kujionea kuwasili kwa mabasi hayo, kuwa wakazi wa Dar es Salaama kwa sasa wataanza kutumia...

 

11 years ago

Dewji Blog

Pinda afungua mkutano wa mabasi yaendayo kasi

PG4A1223

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akifungua Mkurano wa Majadiliano wa Kutangaza Mradi wa Mabasi yaendayo haraka (Dar Rapid Transit) kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam,  Juni 3, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A1241

 Waziri Mkuu,, Mizengo Pinda akizungumza na   Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia nchini, Bw. Philippe Dongier baada ya kufungua  Mkutano waMajadiliano wa kutangaza Mradi wa Mabasi yaendayo  haraka kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam.

PG4A1269

Waziri Mkuu,...

 

11 years ago

Habarileo

Mradi wa mabasi yaendayo kasi wapiga hatua

MRADI wa mabasi yaendayo Haraka Dar es Salaam (DART) umepiga hatua nyingine baada ya kupatikana kampuni ya washauri, itakayofanya kazi ya kuhakikisha wanapatikana watoa huduma muhimu kwa mradi huo, unaotarajiwa kuanza mwishoni mwa mwaka huu.

 

10 years ago

GPL

TASWIRA YA UJENZI WA BARABARA YA MABASI YAENDAYO KASI

Ujenzi wa barabara hiyo ukiendelea. Kamera yetu leo imepita maeneo mbalimbali ya Kinondoni barabara ya Kawawa, na kujionea namna ambavyo ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo kasi unavyoendelea. Gabriel…

 

9 years ago

Mwananchi

Mabasi 138 yaendayo haraka yatua Dar

Mwezi mmoja baada ya kuanza kutolewa kwa mafunzo kwa madereva maalumu, awamu ya kwanza ya mabasi 138 ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart) imewasili nchini kutoka China.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani