Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VODACOM YAHAMISHIA WAPENZI WA MICHEZO KUJIUNGA NA GLOBAL SPORT

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Vodacom yahamishia michezo viganjani

ZIKISALIA siku chache kabla ya kuanza kwa fainali za Kombe la Dunia nchini Brazil, wapenzi wa soka nchini wamerahisishiwa kupata habari za fainali hizo kupitia simu zao za mkononi mahali...

 

11 years ago

Michuzi

Vodacom yahamishia Habari za Michezo viganjani

Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania,Kelvin Twissa(kushoto)akifafanua jambo kwa waandishi wa habari(hawapo pichani)kuhusiana na uzinduzi wa huduma ya"Global Sport"kwa wa wapenzi wa michezo nchini kuweza kupata habari mbalimbali bure kwa siku(15)za mwanzo kupitia simu zao za mkononi mahali popote na muda wowote ili kujiunga mteja anatakiawa kuandika neno SPORT au SPORTS kwenda namba 15778,katikati ni kocha msaidizi wa simba Seleman Matola na Afisa huduma za ziada wa...

 

11 years ago

GPL

VODACOM YAHAMISHIA HABARI ZA MICHEZO VIGANJANI‏

Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Kelvin Twissa (kushoto) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na uzinduzi wa huduma ya "Global Sport" kwa wapenzi wa michezo nchini kuweza kupata habari mbalimbali bure kwa siku (15) za mwanzo kupitia simu zao za mkononi mahali popote na muda wowote. Ili kujiunga mteja anatakiwa kuandika neno SPORT au SPORTS kwenda namba 15778, katikati ni...

 

9 years ago

Dewji Blog

SPORT NEWS: Matokeo ya michezo ya jana kutafuta nafasi ya kufuzu kombe la Dunia 2018 na ratiba ya leo Novemba 14!

World Cup 2018

Matokeo ya michezo ya Jana Novemba 13

CONMEBOL Qualification;

Argentina 1 – 1 Brazil

Peru 1 – 0 Paraguay

CONCACAF Qualification;

USA 6 – 1 Saint Vincent

Guatemala 1 – 2 Trinadad and Tobago

Mexico 3 – 0 El Salvador

Costa Rica 1 – 0 Haiti

Jamaica 0 – 1 Panama

CAF Qualification;

Madagascar 2 – 2 Senegal

Comoros 0 – 0 Ghana

Kenya 1 – 0 Cape Verde

Libya 0 – 1 Rwanda

Angola 1 – 3 Afrika Kusini

Niger 0 – 3 Cameroon

Liberia 0 – 1 Ivory Coast

Mauritania 1 – 2 Tunisia

Swaziland 0 – 0 Nigeria

Ratiba...

 

5 years ago

Galus Australis

Global Stand Up Paddle Board (SUP) Market 2020 – SUP ATX, Naish Surfing, BIC Sport, Boardworks, C4 Waterman

Global Stand Up Paddle Board (SUP) Market 2020 – SUP ATX, Naish Surfing, BIC Sport, Boardworks, C4 Waterman  Galus Australis

 

5 years ago

Telecompaper

Sky, BT Sport not offering customer refunds over live sport cancellations

Sky, BT Sport not offering customer refunds over live sport cancellations  Telecompaper

 

9 years ago

Michuzi

Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo ampongeza Mbwana Samatta kwa kujiunga na klabu ya Genk ya Ubelgiji

Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Nnauye(kushoto) akiongea na Mchezaji wa Timu ya TP Mazembe Mbwana Samatta(kulia) leo jijini Dar es salaam.Mbwana amemtembelea waziri Nape ofisini kwake na kuomba baraka za wizara katika kinyanganyiro cha kugombea uchezaji bora wa afrika anayechezea ligi za ndani na pia kumpa habari njema za yeye kutegemea kujiunga na timu ya Ubelgiji ya Genk. Mchezaji wa TP Mazembe Mbwana Samatta(wa kwanza kushoto)akiongea na waandishi wa habari(hawapo...

 

11 years ago

GPL

MAWAKALA WA MAGAZETI YA GLOBAL PUBLISHERS WAFANYIWA TAMASHA LA MICHEZO MWANZA

Wauza magazeti wanawake mkoani Mwanza wakichuana katika mbio za magunia. Wauza magazeti wanaume wakimaliza mbio za magunia.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani