Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo ampongeza Mbwana Samatta kwa kujiunga na klabu ya Genk ya Ubelgiji
![](http://img.youtube.com/vi/MZWBddxqTYQ/default.jpg)
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Nnauye(kushoto) akiongea na Mchezaji wa Timu ya TP Mazembe Mbwana Samatta(kulia) leo jijini Dar es salaam.Mbwana amemtembelea waziri Nape ofisini kwake na kuomba baraka za wizara katika kinyanganyiro cha kugombea uchezaji bora wa afrika anayechezea ligi za ndani na pia kumpa habari njema za yeye kutegemea kujiunga na timu ya Ubelgiji ya Genk.
Mchezaji wa TP Mazembe Mbwana Samatta(wa kwanza kushoto)akiongea na waandishi wa habari(hawapo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers30 Dec
Serikali yampongeza Mbwana Samatta kwa kujiunga na Genk ya Ubelgiji
Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye (kushoto) akiongea na Mchezaji wa Timu ya TP Mazembe Mbwana Samatta (kulia) leo kwenye ofisi za wizara hiyo jijini Dar es Salaam.
Mbwana Samatta(wa kwanza kushoto) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani).
Mhe. Nape Nnauye (katikati) akiongea na waandishi wa Habari wakati aakimkaribisha Samatta kwenye ofisi za wizara yake.
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Hapa ndipo usajili wa Mbwana Samatta wa kujiunga na KRC Genk ya Ubelgiji unapocheleweshwa …
Bado ni headlines za mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta zinazidi kuchukua nafasi. Samatta ambaye anatajwa kukaribia kujiunga na klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji bado hajasaini mkataba na klabu hiyo licha ya yeye na Genk kukubaliana maslahi binafsi. January 4 stori […]
The post Hapa ndipo usajili wa Mbwana Samatta wa kujiunga na KRC Genk ya Ubelgiji unapocheleweshwa … appeared first on...
9 years ago
MillardAyo27 Dec
Kama Mbwana Samatta akisaini KRC Genk ya Ubelgiji, Simba watapata dau hili kutoka kwa Samatta…
Bado headlines za mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Kongo Mbwana Samatta zinazidi kuandikwa kila siku. Kwa sasa Mbwana Samatta anakaribia kujiunga na klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji kwani kinachosubiriwa kwa sasa ni kuafikiana na ada ya uhamisho wa mshambuliaji huyo. Klabu ya TP […]
The post Kama Mbwana Samatta akisaini KRC Genk ya Ubelgiji, Simba watapata dau hili kutoka kwa Samatta… appeared first on...
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Kutana na dakika 15 za safari ya Mbwana Samatta kutoka African Lyon, Simba, TP Mazembe hadi KRC Genk ya Ubelgiji
Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania ambaye anakipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Ally Samatta, yupo kwenye headlines kwa sasa baada ya dili lake la kwenda kucheza klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji kuwa katika nafasi kutokana na kuwa tayari ameshasaini mkataba wa awali. Huenda ukwa umemfahamu Mbwana Samatta […]
The post Kutana na dakika 15 za safari ya Mbwana Samatta kutoka African Lyon, Simba, TP Mazembe hadi KRC Genk ya Ubelgiji appeared first on...
9 years ago
Dewji Blog17 Dec
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ahaidi kusimamia kazi za Wasanii kwa nguvu zote
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Nnauye akiongea na wadau mbalimbali kutoka BASATA,COSOTA,BODI YA FILAMU,CMEA NA WASANII jana jijini Dar es Salaam juu ya kuendelea kusimamia haki ya wasanii na kuhakikisha kila msanii anapata anachostahili kupitia Sanaa yake na kwamba serikali imeweka nguvu kubwa katika eneo hilo.
Waziri wa Viwanda,Biashara na Uwekezaji Mhe.Charles Mwijage (kulia) akiongea waandishi wa habari kuhusu vyombo vya habari(television na Redio) kuanza kulipia...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-J9tJCEu9g1M/VoK6KO6OkUI/AAAAAAAIPRc/hsYBlaS73EE/s72-c/20bd1106-336b-41a1-a14d-f0992c614b40.jpg)
Naibu Waziri Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Anastazia Wambura atembelea Idara ya habari
![](http://1.bp.blogspot.com/-J9tJCEu9g1M/VoK6KO6OkUI/AAAAAAAIPRc/hsYBlaS73EE/s640/20bd1106-336b-41a1-a14d-f0992c614b40.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cEhUKvtgqVY/VoK6LtWw12I/AAAAAAAIPRo/jqpAeLsh80Q/s640/572747c3-76ca-4dbd-a528-0734509e433a.jpg)
9 years ago
Michuzi14 Dec
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo afanya ziara TBC na BASATA.
![nap1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/nap1.jpg)
![nap2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/nap2.jpg)
![nap4](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/nap4.jpg)
Waziri wa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2Pgccpq7CJ0/VoPImbFRhYI/AAAAAAAIPWk/5k6KkcUeadI/s72-c/IMG_9733.jpg)
NAIBU WAZIRI WA HABARI,UTAMADUNI,SANAA NA MICHEZO, ANNASTAZIA WAMBURA ATEMBELEA TCRA LEO JIJINI DAR.
![](http://1.bp.blogspot.com/-2Pgccpq7CJ0/VoPImbFRhYI/AAAAAAAIPWk/5k6KkcUeadI/s640/IMG_9733.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MTeDyLho9dA/VoPInhEpRqI/AAAAAAAIPW4/HfiHmDkzxII/s640/IMG_9765.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-6C8y_VW3rvM/XqFTHq7cFxI/AAAAAAAC3wk/Ts67WVbLy1EDnVGBcyongZX2RbWr28-LACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
BUNGE LIMERIDHIA NA KUPITISHA TSH. BILIONI 40 KWA WIZARA YA HABARI, SANAA, UTAMADUNI NA MICHEZO KWA MWAKA WA FEDHA 2020/2021
![](https://1.bp.blogspot.com/-6C8y_VW3rvM/XqFTHq7cFxI/AAAAAAAC3wk/Ts67WVbLy1EDnVGBcyongZX2RbWr28-LACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Akiwasilisha hotuba ya Madirio na Matumizi ya Wizara hiyo kwa Mwaka 2020/2021 Bungeni jijini Dodoma leo April 22,2020 Waziri Wa Habari,Sanaa ,Utamaduni na Michezo...