Serikali yampongeza Mbwana Samatta kwa kujiunga na Genk ya Ubelgiji
Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye (kushoto) akiongea na Mchezaji wa Timu ya TP Mazembe Mbwana Samatta (kulia) leo kwenye ofisi za wizara hiyo jijini Dar es Salaam.
Mbwana Samatta(wa kwanza kushoto) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani).
Mhe. Nape Nnauye (katikati) akiongea na waandishi wa Habari wakati aakimkaribisha Samatta kwenye ofisi za wizara yake.
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/MZWBddxqTYQ/default.jpg)
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo ampongeza Mbwana Samatta kwa kujiunga na klabu ya Genk ya Ubelgiji
![](http://4.bp.blogspot.com/-rtC1pc0vVQ4/VoOviXH-T4I/AAAAAAAIPU4/N2tpOcUyWc0/s640/9496-nape%2Bakiongea%2Bna%2Bsamata.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-os3nrxDYykM/VoOvihOR1rI/AAAAAAAIPU8/ApGDhqICJuY/s640/9524-samatha%2Bakiongea.jpg)
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Hapa ndipo usajili wa Mbwana Samatta wa kujiunga na KRC Genk ya Ubelgiji unapocheleweshwa …
Bado ni headlines za mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta zinazidi kuchukua nafasi. Samatta ambaye anatajwa kukaribia kujiunga na klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji bado hajasaini mkataba na klabu hiyo licha ya yeye na Genk kukubaliana maslahi binafsi. January 4 stori […]
The post Hapa ndipo usajili wa Mbwana Samatta wa kujiunga na KRC Genk ya Ubelgiji unapocheleweshwa … appeared first on...
9 years ago
MillardAyo27 Dec
Kama Mbwana Samatta akisaini KRC Genk ya Ubelgiji, Simba watapata dau hili kutoka kwa Samatta…
Bado headlines za mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Kongo Mbwana Samatta zinazidi kuandikwa kila siku. Kwa sasa Mbwana Samatta anakaribia kujiunga na klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji kwani kinachosubiriwa kwa sasa ni kuafikiana na ada ya uhamisho wa mshambuliaji huyo. Klabu ya TP […]
The post Kama Mbwana Samatta akisaini KRC Genk ya Ubelgiji, Simba watapata dau hili kutoka kwa Samatta… appeared first on...
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Kutana na dakika 15 za safari ya Mbwana Samatta kutoka African Lyon, Simba, TP Mazembe hadi KRC Genk ya Ubelgiji
Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania ambaye anakipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Ally Samatta, yupo kwenye headlines kwa sasa baada ya dili lake la kwenda kucheza klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji kuwa katika nafasi kutokana na kuwa tayari ameshasaini mkataba wa awali. Huenda ukwa umemfahamu Mbwana Samatta […]
The post Kutana na dakika 15 za safari ya Mbwana Samatta kutoka African Lyon, Simba, TP Mazembe hadi KRC Genk ya Ubelgiji appeared first on...
9 years ago
Mwananchi26 Dec
Samatta asaini Genk ya Ubelgiji
9 years ago
Michuzi05 Jan
Mwesigwa Selestine kuongozana na Mbwana Samatta katika sherehe za utoaji wa tuzo kwa wachezaji bora barania Afrika.
![](http://tff.or.tz/images/Samatta.png)
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Mwesigwa Selestine kesho Jumatano anatarajiwa kuongozana na mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Tanzania na klabu ya TP Mazembe ya Congo DR, Mbwana Samatta (pichani) kuelekea nchini Nigeria kwenye sherehe za utoaji wa tuzo kwa wachezaji bora barania Afrika.Mwesigwa anatarajiwa kuondoka na Samatta kuelekea Nigeria katika mji wa Abuja ambapo sherehe za utoaji tuzo hizo zitafayika Alhamisi Januari 7, ambapo siku ya sherehe hizo Katibu...
9 years ago
MillardAyo31 Dec
Kama Samatta atajiunga na KRC Genk, atakuwa kajiunga na klabu ambayo imechezewa na mastaa hawa maarufu
December 30 mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri wa kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta amekiri kuwa katika harakati za mwisho za kwenda kucheza soka barani katika klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji. Samatta ambaye December 30 alikiri kuwa bado hajasaini na Genk kama inavyoripotiwa ila mambo yanaenda vizuri, […]
The post Kama Samatta atajiunga na KRC Genk, atakuwa kajiunga na klabu ambayo imechezewa na mastaa hawa maarufu appeared first on...
9 years ago
CCM BlogKAMATI KUU YA CCM YAMPONGEZA RAIS DK. MAGUFULI NA WASAIDIZI WAKE, NI KWA KUSIMAMIA VYANZO VYA MAPATO YA SERIKALI, KUDHIBITI MATUMIZI YA SERIKALI NA UHIMIZAJI WANANCHI KUFANAYA KAZI KWA BIDII
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NOzw*b8EyMqXIZ*72e-KIr-FtBY09gPsxOWJeFrQYbXuRUa9l32HB1FDg3YM9bSyT1VQ-kDhGzQ2hsFFjfBQVQIBXVM0KNU3/samata.gif?width=650)
Mbwana Samatta amtaja aliyeimaliza Stars