Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vodacom yahamishia michezo viganjani

ZIKISALIA siku chache kabla ya kuanza kwa fainali za Kombe la Dunia nchini Brazil, wapenzi wa soka nchini wamerahisishiwa kupata habari za fainali hizo kupitia simu zao za mkononi mahali...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Vodacom yahamishia Habari za Michezo viganjani

Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania,Kelvin Twissa(kushoto)akifafanua jambo kwa waandishi wa habari(hawapo pichani)kuhusiana na uzinduzi wa huduma ya"Global Sport"kwa wa wapenzi wa michezo nchini kuweza kupata habari mbalimbali bure kwa siku(15)za mwanzo kupitia simu zao za mkononi mahali popote na muda wowote ili kujiunga mteja anatakiawa kuandika neno SPORT au SPORTS kwenda namba 15778,katikati ni kocha msaidizi wa simba Seleman Matola na Afisa huduma za ziada wa...

 

11 years ago

GPL

VODACOM YAHAMISHIA HABARI ZA MICHEZO VIGANJANI‏

Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Kelvin Twissa (kushoto) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na uzinduzi wa huduma ya "Global Sport" kwa wapenzi wa michezo nchini kuweza kupata habari mbalimbali bure kwa siku (15) za mwanzo kupitia simu zao za mkononi mahali popote na muda wowote. Ili kujiunga mteja anatakiwa kuandika neno SPORT au SPORTS kwenda namba 15778, katikati ni...

 

10 years ago

GPL

VODACOM YAKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU 14 ZA LIGI KUU‏ KWA AJILI YA MSIMU WA 2014/2015

Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania Salum Mwalim,akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani)wakati wa kukabidhi vifaa kwa timu zinazoshiriki Ligi Kuu ya Vodacom.  kushoto ni Meneja biashara wa TFF Peter Simon na kulia ni Afisa mtendaji mkuu wa bodi ya ligi Silas Mwakibinga.Timu 14 zimekabidhiwa vifaa vyenye thamani ya zaidi ya Sh 430 Milioni. Kutoka kushoto:… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Familia yahamishia makazi chooni

FAMILIA ya watu watatu akiwemo mtoto wa umri wa miaka saba imelazimika kuhamishia makazi chooni baada ya paa la nyumba waliyokuwa wakiishi kuezuliwa na upepo mkali ulioambatana na mvua iliyonyesha...

 

10 years ago

Michuzi

WADAU WA SOKA KUENDELEA KUPATA HABARI ZA MICHEZO KIGANJANI, Kutokupoteza muda mwingi kutafuta habari kupitia namba 15778 Vodacom Tanzania

Meneja Uhusiano wa Umma wa
 Vodacom Tanzania,Matina NkurluWadau wa soka nchini na wateja Vodacom Tanzania kwa ujumla   wanaendelea kupata habari za soka  zinazohusiana na   ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara(VPL)Ligi kuu ya Uingereza,na masuala mengine mengi yanayohusiana ya burudani kupitia simu zao za mkononi kupitia huduma  maalum iliyozinduliwa mwaka juzi.Katika huduma hiyo ambayo inawafanya wateja kupata burudani ili kupata  taarifa  hizo za michezo na burudani anachotakiwa kufanya mteja...

 

11 years ago

Habarileo

Chadema yahamishia hasira za Zitto CUF

Mwenyekiti wa taifa wa Chadema, Freeman MboweMGOGORO unaoendelea Chadema umefikia hatua ya kuanza kutafuta mchawi ndani na nje ya chama hicho, ambapo sasa kimeishika CUF na Mbunge wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono kwa madai ya kumwunga mkono aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama hicho, Kabwe Zitto.

 

11 years ago

Michuzi

Idara ya Uhamiaji yahamishia shughuli zake zote kwenye jengo jipya Kurasini

 Taswira za  Uhamiaji House, jengo la Idara ya Uhamiaji ambamo  shughuli zote za mambo ya uhamiaji zinafanyika maeneo ya  Kurasini, wilaya ya Temeke, (nyuma ya Chuo cha Diplomasia), jijini Dar es salaam. Awali shughuli za uhamiaji zilikuwa zikifanyika katika jengo la Wizara ya Mambo ya Ndani katikati ya jiji.

 

9 years ago

Dewji Blog

Matokeo michezo ya Jumamosi Novemba 21 na ratiba ya michezo ya leo Jumapili!

WW

Wachezaji wa Liver Pool wakishangilia baada ya ushindi wao wa mchezo wa jana waliochinda bao 4-1, dhidi ya Manchester City.

WINGEREZA – PRIMEAR LEAGUE

Watford 1 – 2 Manchester United

Chelsea 1 – 0 Norwich City

Everton 4 – 0 Aston Villa

Southampton 0 – 1 Stoke City

West Bromwich Albion 2 – 1 Arsenal

Newcastle 0 – 3 Leicester City

Swansea 2 – 2 Afc Bournemouth

Manchester City 1 – 4 Liverpool

HISPANIA – LIGA BBVA

Real Sociedad 2 – 0 Sevilla

Real Madrid 0 – 4 Barcelona

Espanyol 2 – 0...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani