Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VODACOM YANOGESHA SHOO YA PASAKA COCO BEACH

Mwanamuziki Bob Junior na madansa wake wakitoa burudani kwa mashabiki waliofurika katika ufukwe wa Coco jijini Dar kusherehekea Sikukuu ya Pasaka jana. Shoo hiyo ilidhaminiwa na kampuni ya Vodacom Tanzania.
Mashabiki wakifuatilia burudani katika ufukwe wa Coco jijini Dar. Ma DJ wakiwa kazini kuwapa raha…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAMIA WASHEREHEKEA PASAKA COCO BEACH

Watu wakiwa katika shamrashamra za Sikukuu ya Pasaka. Watu wakiogelea.…

 

10 years ago

Michuzi

Moto wa burudani kuwaka ufukweni Coco Beach Pasaka

Katika kuadhimisha sikukuu ya Pasaka kwa furaha,wakazi wa jiji la Dar es Salaam na vitongoji vyake wataweza kupata burudani za aina mbalimbali katika tamasha kubwa la Pasaka litakalofanyika katika ufukwe wa maraha wa Coco beach chini ya maandalizi ya Vodacom Tanzania.
Akiongea juu ya tamasha hili kubwa ambalo hivi sasa limeanza kuwa gumzo ya jiji,Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu alisema mipango yote kuhusiana na tamasha hilo imekamilika kinachongojewa ni kuwasha moto wa...

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA VODACOM BOMBASTIK LAFANA COCO BEACH, JIJINI DAR

Adamu Hamis akifanya makamuzi ya aina yake. Dj Dee Ommy na Dj PQ wakisababisha kwenye moja na mbili. Mashabiki…

 

10 years ago

Vijimambo

PROF J AFUNIKA TAMASHA LA “VODACOM MAISHA NI MURUA COCO BEACH

Wasanii wa Kundi la Wanaume Family wakitoa burudani kali wakati wa Tamasha la Wazi la”Vodacom Maisha ni Murua”lililofanyika katika Ufukwe wa Coco Beach mahususi kwa wateja wa kampuni hiyo katika kuukaribisha Mwaka2015 jijini Dar es Salaam jana.Gwiji la Muziki wa Kizazi Kipya, Profesa J. akiwapagawisha mashabiki waliofika katika Ufukwe wa Bahari Coco Beach kushuhudia Tamasha la Wazila”Vodacom Maisha ni Murua”lililofanyika jijini Dar es Salaam mahususi kwa wateja wa kampuni hiyo katika...

 

10 years ago

GPL

PROF J AFUNIKA TAMASHA LA “VODACOM MAISHA NI MURUA COCO BEACH

Wasanii wa Kundi la Wanaume Family wakitoa burudani kali wakati wa Tamasha la Wazi la”Vodacom Maisha ni Murua”lililofanyika katika Ufukwe wa Coco Beach mahususi kwa wateja wa kampuni hiyo katika kuukaribisha Mwaka2015 jijini Dar es Salaam jana.…

 

10 years ago

Michuzi

PROF J AFUNIKA TAMASHA LA "VODACOM MAISHA NI MURUA COCO BEACH”

Gwiji la Muziki wa Kizazi Kipya, Profesa J. akiwapagawisha mashabiki waliofika katika Ufukwe wa Bahari Coco Beach kushuhudia Tamasha la Wazi la”Vodacom Maisha ni Murua” lililofanyika jijini Dar es Salaam mahususi kwa wateja wa kampuni hiyo katika kuukaribisha Mwaka 2015  jana.
Wasanii wa Kundi la Wanaume Family wakitoa burudani kali wakati wa Tamasha la Wazi la”Vodacom Maisha ni Murua” lililofanyika katika Ufukwe wa Coco Beach mahususi kwa wateja wa kampuni hiyo katika kuukaribisha Mwaka 2015...

 

9 years ago

Michuzi

FNB STAFF JOINS COCO BEACH VENDORS FOR A BEACH CLEAN UP TO MARK UHURU DAY

The First National Bank employees taking part in cleaning Coco Beach yesterday following Presidents John Magufuli's "call to clean" announcement in celebration of Independence Day. The bank provided a generous support to Coco Beach Action Group who initiated an event named Coco Beach Usafi Tu and its employees joined the group and beach vendors to cleanup coco beach area marking as part of Uhuru Day celebrations. (Photo: Our Staff Photographer)Following Presidents’ call to cleaning...

 

10 years ago

Michuzi

Diamond na Mzee Yusuf kuwasha moto Dar Live Krismas katika tamasha la wafalme chini ya Vodacom Tanzania, Moto mwingine wa burudani utakuwa Coco beach

Wapenzi wa burudani  ya muziki wa kizazi kipya na muziki wa taarabu watapata burudani ya funga mwaka kutoka kwa gwiji wa muziki wa kizazi kipya ambaye anatamba kwa vipao mbalimbali vipya Diamond Platnumz na mfalme wa muziki wa taarabu Mzee Yusuf  na kundi lake la Jahazi Modern Taarab watapanda jukwaa moja katika”Tamasha Wafalme”litakalofanyika katika ukumbi wa Dar Live,Mbagala jijini Dar es Salaam.Tamasha hili  la wafalme ambalo limeanza kuwa gumzo la  jiji kutokana na kuwa na burudani za...

 

11 years ago

GPL

JAHAZI YANOGESHA MKESHA WA PASAKA DAR LIVE

Kiongozi wa Jahazi Modern Taarab, Mzee Yusuf akiwapagawisha mashabiki kwa wimbo wake wa Chozi la mama. Mwanamuziki wa Jahazi, Prince Amigo akiimba kwa mbwembwe.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani