VODACOM YAWALILIA MASHABIKI WA SIMBA WALIOPOTEZA MAISHA KWENYE AJALI MOROGORO
![](http://1.bp.blogspot.com/-st_2vWxXrTg/VR_IBO6uCMI/AAAAAAAHPTQ/L2QtDq_bE7A/s72-c/unnamed%2B(43).jpg)
Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania imetuma salama za rambirambi kwa familia za washabiki wa timu ya Simba waliopoteza maisha katika ajali ya gari jana mkoani Morogoro wakiwa safarini kuelekea mkoani Shinyanga kuishangilia timu yao dhidi ya Kagera Sugar.
Meneja Uhusiano wa Vodacom Matina Nkurlu katika taarifa yake aliyoitoa kwa niaba ya kampuni amesema kuwa msiba huu ni mzito kwa watanzania na wapenzi wa soka kwa ujumla.
“Vodacom Tanzania kama mdhamini Mkuu wa ligi kuu ya soka ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo524 Jul
Simu za abiria waliopoteza maisha kwenye ajali ya ndege ya MH17 zinapokelewa na watu walioziiba
10 years ago
Michuzi22 May
FLAVIANA MATATA FOUNDATION YAADHIMISHA TENA IBADA YA KUWAKUMBUKA WALIOPOTEZA MAISHA KWENYE AJALI YA MV BUKOBA
MWAKA WA NNE SASA FMF IKIWA INAFANIKISHA IBADA IYO AMBAPO ILISOMWA KATIKA KANISA LA NYAKAHOJA JIJINI MWANZA NA KISHA KUMALIZIA IBADA IYO KATIKA MAKABURI HAYO YALIYOPO IGOMA JIJINI MWANZA.
FLAVIANA MATATA FOUNDATION INAPENDA KUWASHURU TEAM YA ZALENDO TANZANIA , MARINE SERVICE KWA...
11 years ago
Dewji Blog07 May
Waliopoteza maisha katika ajali Ikungi waombewa
Diwani wa kata ya Mungaa Matheo Alex akizungumza kwenye hafla ya sala kuwaombea watu waliopoteza maisha baada ya kugongwa na basi la kampuni ya summary aprili 28 mwaka huu.Sala hiyo maalum,imefanyika jana eneo ilikotokea ajali hiyo.
Mke wa marehemu mwenyekiti wa kijiji cha Utaho Paulo Hamisi (41) aliyefariki dunia kwa kugongwa na basi la Summry Aprili 28 mwaka huu.
![DSC08213](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC08213.jpg)
10 years ago
MichuziNEWS ALERT: WASHABIKI WA TIMU YA SIMBA WAPATA AJALI MKOANI MOROGORO LEO, NANE WAPOTEZA MAISHA
Hili ni pigo kubwa sana kwa Timu ya Simba, tutaendelea kupeana taarifa kadri zitakavyokuwa zikitufikia.
Globu ya Jamii inatoa pole wa Klabu ya Wekundu wa Msimbazi kuwa kuondokewa na washabiki wake hao, na Mungu aziweke Roho za...
10 years ago
Michuzi19 Mar
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GlX85sULmO8/Uy3SQ73ffCI/AAAAAAAFVq4/wuOwf6P9GB4/s72-c/31.jpg)
RIDHIWANI KIKWETE AHANI MSIBA WA WATOTO WAWILI WALIOPOTEZA MAISHA BAADA YA KUTUMBUKIA KWENYE KISIMA CHA MAJI,KIWANGWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-GlX85sULmO8/Uy3SQ73ffCI/AAAAAAAFVq4/wuOwf6P9GB4/s1600/31.jpg)
10 years ago
VijimamboASKARI WANNE NA RAIA WATATU NDIO WALIOPOTEZA MAISHA KWENYE UVAMIZI WA KITUO KIDOGO CHA POLISI STAKISHARI UKONGA.
Askari wanne na raia watatu wamefariki Dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kituo kidogo cha Polisi cha Stakishari, Ukonga jijini Dar kuvamiwa na watu wanaosadikika majambazi.
Majambazi hao waliokadiriwa kua wanane walivamia kituo hicho mida ya saa 4 usku Jumapili July 12, 2015 usiku wa kuamkia leo.
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Enerst Mangu amesema lengo la majambazi hayo ilikua ni kuiba silaha zilizokuwepo...
10 years ago
CloudsFM09 Apr
Miili ya mashabiki wa Simba Ukawa yasafirishwa kutoka Morogoro kwenda Dar
Miili ya wanachama saba wa klabu ya Simba maarufu kama Simba Ukawa waliofariki mwishoni mwa wiki iliyopita mkoani Morogoro kwa ajali ya gari wakielekea mkoani Shinyanga kuishangalia timu yao imesafirishwa kuelekea jijini Dar.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-KJBAyN3YIfE/XkaUBvcaJ9I/AAAAAAAAu2g/zs0w5lUv8BIGAbqjN_qvfvp73M2GY_J8gCLcBGAsYHQ/s72-c/csm_14582-1508_owner_import_ff60723462.jpg)
CCM YAWALILIA IDDI SIMBA NA KANALI NSA-KAISI
![](https://1.bp.blogspot.com/-KJBAyN3YIfE/XkaUBvcaJ9I/AAAAAAAAu2g/zs0w5lUv8BIGAbqjN_qvfvp73M2GY_J8gCLcBGAsYHQ/s640/csm_14582-1508_owner_import_ff60723462.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZUOuPHblGbI/XkaS2ZCAiRI/AAAAAAAAu2Y/cVxVgrTw3D40KBo59Fs20xjsVSIM36ApACLcBGAsYHQ/s640/a5540675-f365-40df-b7ac-806f59cab60a.jpg)