CCM YAWALILIA IDDI SIMBA NA KANALI NSA-KAISI
![](https://1.bp.blogspot.com/-KJBAyN3YIfE/XkaUBvcaJ9I/AAAAAAAAu2g/zs0w5lUv8BIGAbqjN_qvfvp73M2GY_J8gCLcBGAsYHQ/s72-c/csm_14582-1508_owner_import_ff60723462.jpg)
Chama cha mapinduzi CCM kimepokea kwa huzuni taarifa za vifo vya viongozi wastaafu ndugu Iddi Mohamed Simba na Kanali Kabenga Nsa-Kaisi ambapo wote walihudumu kama viongozi wa ndani ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-st_2vWxXrTg/VR_IBO6uCMI/AAAAAAAHPTQ/L2QtDq_bE7A/s72-c/unnamed%2B(43).jpg)
VODACOM YAWALILIA MASHABIKI WA SIMBA WALIOPOTEZA MAISHA KWENYE AJALI MOROGORO
Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania imetuma salama za rambirambi kwa familia za washabiki wa timu ya Simba waliopoteza maisha katika ajali ya gari jana mkoani Morogoro wakiwa safarini kuelekea mkoani Shinyanga kuishangilia timu yao dhidi ya Kagera Sugar.
Meneja Uhusiano wa Vodacom Matina Nkurlu katika taarifa yake aliyoitoa kwa niaba ya kampuni amesema kuwa msiba huu ni mzito kwa watanzania na wapenzi wa soka kwa ujumla.
“Vodacom Tanzania kama mdhamini Mkuu wa ligi kuu ya soka ya...
Meneja Uhusiano wa Vodacom Matina Nkurlu katika taarifa yake aliyoitoa kwa niaba ya kampuni amesema kuwa msiba huu ni mzito kwa watanzania na wapenzi wa soka kwa ujumla.
“Vodacom Tanzania kama mdhamini Mkuu wa ligi kuu ya soka ya...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-zMf34Zuy_j0/XkgfwXEIScI/AAAAAAACHqA/L-9Xhow0HQ4ifNFlrLdz1fPxeVyyTSiDgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200215_192044.jpg)
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Wasaliti na wakaidi CCM sasa basi, asema Kanali Kinana
Chama Cha Mapiduzi (CCM), kimetishia kuwatimua mara moja, wanachama wasaliti na wasiokubali kushindwa wakati wa kura za maoni za kuwania kuteuliwa ili kugombea urais, ubunge na udiwani.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-78aiNvoRneo/XkZn2q_xi3I/AAAAAAAATxk/GUgQ4inKJw44WYajMLwOMSSDQeLm8s-lwCLcBGAsYHQ/s72-c/simba%252Bpic.jpg)
IDDI SIMBA AZIKWA LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-78aiNvoRneo/XkZn2q_xi3I/AAAAAAAATxk/GUgQ4inKJw44WYajMLwOMSSDQeLm8s-lwCLcBGAsYHQ/s640/simba%252Bpic.jpg)
"Safari ilianzia Msasani nyumbani kwake, nakuondoka na mwili mpaka Msikiti wa Manyema uliposwaliwa kisha kuelekea Magomeni na kuzikwa katika makaburi ya Mwinyi Mkuu, amezikwa kule kwa sababu Baba zake wote wamezikwa hapo" amesema Ahmad.
Waziri wa zamani wa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-K9eXdH6QQb0/XkUfEtR8KII/AAAAAAAA8cI/uwEiH4zkw2wqQv4Hbe9pHsgEElKmCkWQwCNcBGAsYHQ/s72-c/EQpN5uaX0AA3Wva.jpg)
TANZIA: IDDI SIMBA AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-K9eXdH6QQb0/XkUfEtR8KII/AAAAAAAA8cI/uwEiH4zkw2wqQv4Hbe9pHsgEElKmCkWQwCNcBGAsYHQ/s640/EQpN5uaX0AA3Wva.jpg)
Taarifa zilizothibitishwa na mtoto wake, Sauda Simba Kilumanga zinasema Iddi Simba amefariki katika Hospitali ya JKCI alipokuwa akipatiwa matibabu.
5 years ago
The Citizen Daily13 Feb
Former Tanzania Cabinet minister Iddi Simba dies
Former Tanzania Cabinet minister Iddi Simba dies The Citizen Daily
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-f_VtfxuqKls/XkUVht6PkhI/AAAAAAALdI8/Nm404myswN8UhHJqU313KiR9KKw3tVePQCLcBGAsYHQ/s72-c/iddi%2Bsimba%2B%25282%2529.jpg)
TANZIA: MZEE IDDI SIMBA AFARIKI DUNIA JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-f_VtfxuqKls/XkUVht6PkhI/AAAAAAALdI8/Nm404myswN8UhHJqU313KiR9KKw3tVePQCLcBGAsYHQ/s400/iddi%2Bsimba%2B%25282%2529.jpg)
Waziri wa zamani wa Viwanda na Biashara katika serikali ya Awamu ya Tatu Mzee Iddi Simba amefariki dunia leo asubuhi katika Tasaisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete jijini Dar es salaam alikokuwa akipatiwa matibabu, binti yake Sauda Simba amethibitisha.
Habari zaidi pamoja na mipango ya mazishi tutajulishana baada ya muda si mrefu
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Hollande achunguzwa na NSA ?
Mtandao wa Wikileaks unadai kuwa chombo cha upelelezi cha Marekani NSA kimemchunguza rais Francois Hollande,
10 years ago
Mwananchi12 Aug
TAFAKURI YA ABU IDDI: Kofia mbili CCM zitenganishwe?
Kwa muundo wa sasa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais wa nchi tulie naye hivi sasa ndiye pia mwenyekiti wa chama hicho kwa ngazi ya Taifa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania