Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM YAWALILIA IDDI SIMBA NA KANALI NSA-KAISI

Chama cha mapinduzi CCM kimepokea kwa huzuni taarifa za vifo vya viongozi wastaafu ndugu Iddi Mohamed Simba na Kanali Kabenga Nsa-Kaisi ambapo wote walihudumu kama viongozi wa ndani ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania.

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

VODACOM YAWALILIA MASHABIKI WA SIMBA WALIOPOTEZA MAISHA KWENYE AJALI MOROGORO

Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania imetuma salama za rambirambi kwa familia za washabiki wa timu ya Simba waliopoteza maisha katika ajali ya gari jana mkoani Morogoro wakiwa safarini kuelekea mkoani Shinyanga kuishangilia timu yao dhidi ya Kagera Sugar.
Meneja Uhusiano wa Vodacom Matina Nkurlu katika taarifa yake aliyoitoa kwa niaba ya kampuni amesema kuwa msiba huu ni mzito kwa watanzania na wapenzi wa soka kwa ujumla.
“Vodacom Tanzania kama mdhamini Mkuu wa ligi kuu ya soka ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Wasaliti na wakaidi CCM sasa basi, asema Kanali Kinana

Chama Cha Mapiduzi (CCM), kimetishia kuwatimua mara moja, wanachama wasaliti na wasiokubali kushindwa wakati wa kura za maoni za kuwania kuteuliwa ili kugombea urais, ubunge na udiwani.

 

5 years ago

CCM Blog

IDDI SIMBA AZIKWA LEO

  Msemaji wa Familia ya Marehemu Idd Simba, Ahmed Simba, amesema kuwa mwili wa Waziri wa zamani wa Viwanda na Biashara, utapumzishwa katika makaburi ya Mwinyi Mkuu Magomeni, lengo likiwa ni kumpumzisha mahali ambapo Baba zake wote walizikwa.

"Safari ilianzia Msasani nyumbani kwake, nakuondoka na mwili mpaka Msikiti wa Manyema uliposwaliwa kisha kuelekea Magomeni na kuzikwa katika makaburi ya Mwinyi Mkuu, amezikwa kule kwa sababu Baba zake wote wamezikwa hapo" amesema Ahmad.

Waziri wa zamani wa...

 

5 years ago

CCM Blog

TANZIA: IDDI SIMBA AFARIKI DUNIA

   Aliyewahi kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara katika serikali ya awamu ya tatu, Iddi Simba amefariki dunia leo.
Taarifa zilizothibitishwa na mtoto wake, Sauda Simba Kilumanga zinasema Iddi Simba amefariki katika Hospitali ya JKCI alipokuwa akipatiwa matibabu.

 

5 years ago

The Citizen Daily

Former Tanzania Cabinet minister Iddi Simba dies

Former Tanzania Cabinet minister Iddi Simba dies  The Citizen Daily

 

5 years ago

Michuzi

TANZIA: MZEE IDDI SIMBA AFARIKI DUNIA JIJINI DAR ES SALAAM


Waziri wa zamani wa Viwanda na Biashara katika serikali ya Awamu ya Tatu Mzee Iddi Simba amefariki dunia leo asubuhi katika Tasaisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete jijini Dar es salaam alikokuwa akipatiwa matibabu, binti yake Sauda Simba amethibitisha.
Habari zaidi pamoja na mipango ya mazishi tutajulishana baada ya muda si mrefu

 

10 years ago

BBCSwahili

Hollande achunguzwa na NSA ?

Mtandao wa Wikileaks unadai kuwa chombo cha upelelezi cha Marekani NSA kimemchunguza rais Francois Hollande,

 

10 years ago

Mwananchi

TAFAKURI YA ABU IDDI: Kofia mbili CCM zitenganishwe?

Kwa muundo wa sasa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais wa nchi tulie naye hivi sasa ndiye pia mwenyekiti wa chama hicho kwa ngazi ya Taifa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani