IDDI SIMBA AZIKWA LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-78aiNvoRneo/XkZn2q_xi3I/AAAAAAAATxk/GUgQ4inKJw44WYajMLwOMSSDQeLm8s-lwCLcBGAsYHQ/s72-c/simba%252Bpic.jpg)
Msemaji wa Familia ya Marehemu Idd Simba, Ahmed Simba, amesema kuwa mwili wa Waziri wa zamani wa Viwanda na Biashara, utapumzishwa katika makaburi ya Mwinyi Mkuu Magomeni, lengo likiwa ni kumpumzisha mahali ambapo Baba zake wote walizikwa.
"Safari ilianzia Msasani nyumbani kwake, nakuondoka na mwili mpaka Msikiti wa Manyema uliposwaliwa kisha kuelekea Magomeni na kuzikwa katika makaburi ya Mwinyi Mkuu, amezikwa kule kwa sababu Baba zake wote wamezikwa hapo" amesema Ahmad.
Waziri wa zamani wa...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DhYDNbGpGN4/VKEnkqtBz5I/AAAAAAAG6UU/D0Rh6DZPs0s/s72-c/DSC_1214.jpg)
Sheikh Ali Mzee Comorian azikwa leo kwenye Makaburi ya Wangazija,jijini Dar leo
Mamia ya watu wameshiriki katika mazishi ya Sheikh Ali Mzee Comorian yaliyofanyika leo katika makaburi ya Wangazija yaliyopo katika barabara ya Bibi Titi jijini Dar es Salaam.
Mazishi hayo yameongozwa na Rais Mstaafu wa awamu ya pili ,Alhaj Ali Hassan Mwinyi na kusema kifo cha sheikh huyo ni mipango ya mungu kwa kila mtu safari yake ipo.
Alisema kifo cha sheikh kinatakiwa kuenziwa kwa mema aliyoyafanya katika uhai wake katika kupigania...
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-DhYDNbGpGN4/VKEnkqtBz5I/AAAAAAAG6UU/D0Rh6DZPs0s/s1600/DSC_1214.jpg)
SHEIKH ALI MZEE COMORIAN AZIKWA LEO KWENYE MAKABURI YA WANGAZIJA, JIJINI DAR LEO
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-K9eXdH6QQb0/XkUfEtR8KII/AAAAAAAA8cI/uwEiH4zkw2wqQv4Hbe9pHsgEElKmCkWQwCNcBGAsYHQ/s72-c/EQpN5uaX0AA3Wva.jpg)
TANZIA: IDDI SIMBA AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-K9eXdH6QQb0/XkUfEtR8KII/AAAAAAAA8cI/uwEiH4zkw2wqQv4Hbe9pHsgEElKmCkWQwCNcBGAsYHQ/s640/EQpN5uaX0AA3Wva.jpg)
Taarifa zilizothibitishwa na mtoto wake, Sauda Simba Kilumanga zinasema Iddi Simba amefariki katika Hospitali ya JKCI alipokuwa akipatiwa matibabu.
5 years ago
The Citizen Daily13 Feb
Former Tanzania Cabinet minister Iddi Simba dies
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-KJBAyN3YIfE/XkaUBvcaJ9I/AAAAAAAAu2g/zs0w5lUv8BIGAbqjN_qvfvp73M2GY_J8gCLcBGAsYHQ/s72-c/csm_14582-1508_owner_import_ff60723462.jpg)
CCM YAWALILIA IDDI SIMBA NA KANALI NSA-KAISI
![](https://1.bp.blogspot.com/-KJBAyN3YIfE/XkaUBvcaJ9I/AAAAAAAAu2g/zs0w5lUv8BIGAbqjN_qvfvp73M2GY_J8gCLcBGAsYHQ/s640/csm_14582-1508_owner_import_ff60723462.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZUOuPHblGbI/XkaS2ZCAiRI/AAAAAAAAu2Y/cVxVgrTw3D40KBo59Fs20xjsVSIM36ApACLcBGAsYHQ/s640/a5540675-f365-40df-b7ac-806f59cab60a.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-zMf34Zuy_j0/XkgfwXEIScI/AAAAAAACHqA/L-9Xhow0HQ4ifNFlrLdz1fPxeVyyTSiDgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200215_192044.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-f_VtfxuqKls/XkUVht6PkhI/AAAAAAALdI8/Nm404myswN8UhHJqU313KiR9KKw3tVePQCLcBGAsYHQ/s72-c/iddi%2Bsimba%2B%25282%2529.jpg)
TANZIA: MZEE IDDI SIMBA AFARIKI DUNIA JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-f_VtfxuqKls/XkUVht6PkhI/AAAAAAALdI8/Nm404myswN8UhHJqU313KiR9KKw3tVePQCLcBGAsYHQ/s400/iddi%2Bsimba%2B%25282%2529.jpg)
Waziri wa zamani wa Viwanda na Biashara katika serikali ya Awamu ya Tatu Mzee Iddi Simba amefariki dunia leo asubuhi katika Tasaisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete jijini Dar es salaam alikokuwa akipatiwa matibabu, binti yake Sauda Simba amethibitisha.
Habari zaidi pamoja na mipango ya mazishi tutajulishana baada ya muda si mrefu
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-a50MwCWYlXU/VVN6ULaaH1I/AAAAAAAAbsA/_Pf1wO3-Xo8/s72-c/1.jpg)
MTOTO WA MWALIMU NYERERE AZIKWA LEO BUTIAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-a50MwCWYlXU/VVN6ULaaH1I/AAAAAAAAbsA/_Pf1wO3-Xo8/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-STOQIrWW5uo/VVN6WRYF8wI/AAAAAAAAbsM/MQvVTseQoDk/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1M6iZynaMHE/VVN6WZCFfII/AAAAAAAAbsI/qg2q-a8X8mE/s640/3.jpg)
10 years ago
MichuziAISHA MADINDA AZIKWA LEO KIBADA,KIGAMBONI
Mazishi ya Aisha Madinda yamefanyika leo kwenye Makaburi ya Kijiji cha Mikwambe, Kigamboni jijini Dar es Salaam, baada ya kukwama kufanyika jana kutokana na zuio la Jeshi la Polisi, kupisha uchunguzi wa sababu za kifo cha ghafla cha mnenguaji huyo.
Baada ya uchunguzi...