Vyama vya siasa vyaaswa kuwapatia wanachama elimu ya uwadilifu
Vyama vya siasa nchini vinatakiwa kuwekeza kwa wanachama wake kwa kuwaandaa katika elimu ya uongozi na maadili kama ilivyokuwa miaka ya nyuma ambapo viongozi walikuwa wanaandaliwa ili kusaidia kupata viongozi waadilifu na wawajibikaji.
Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Mzumbe Profesa Josephat Itika amesema hayo katika kongamano la maadhimisho ya siku ya kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere inayoandaliwa kila mwaka na Chuo Kikuu hicho.
Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe, Prof Josephat Itika...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo11 Sep
Msajili kuhakiki wanachama vyama vya siasa
OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, inatarajia kufanya uhakiki wa wanachama wa vyama vyote vya siasa kupata takwimu sahihi ya idadi yao.
9 years ago
VijimamboMSAJILI WA VYAMA VYA SIASA ATAJA VYAMA VYA SIASA VYENYE USAJILI WA KUDUMU AMBAVYO VINASTAHILI KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mbMo2RIkhrk/XnN-DtAnxMI/AAAAAAALkdY/0Vq_LBXoi70sQjqjAitQuaYrAUCi-9jrwCLcBGAsYHQ/s72-c/TAARIFA%2BKWA%2BUMMA-%2BOFISI%2BYA%2BMSAJILI%2BWA%2BVYAMA%2BVYA%2BSIASA.jpg)
9 years ago
Michuzi10 Sep
MDAHALO WA VYAMA VYA SIASA VIKIJADILI MASUALA LA ELIMU NA AFYA
Muda: 7:00 – 10:00am (Saa saba mchana hadi saa kumi jioni)
Mahali: Ukumbi wa Julius Nyerere International Conference Centre (JNICC) – Posta
Midahalo hii inalenga kuvipa vyama vyote fursa ya kunadi Ilani zao na kwa wananchi kuuliza maswali muhimu yatakayo pelekea maamuzi yao katika uchaguzi. Vyama vinavyoshiriki ni vile vyenye wagombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais wa...
9 years ago
Michuzi30 Aug
Haja ya Hoja: vyama vya siasa na hama hama ya wanachama kuelekea kwenye uchaguzi mkuu
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGa0Y6kLfZla91oqfmkX7w6XfoZdF-i6o-K1i5EBO8j9GeqCxhzlIQnp3-EF77F3P4P-9rBrLEwU3ArjG3ZGt48n/1.jpg?width=650)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/mPNKZ1VMfhM/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bt6IpJJ82Xc/VdHG7gLAWkI/AAAAAAAHxyQ/qtfugpjI9zQ/s72-c/740.jpg)
WANACHAMA WA VYAMA VYA SIASA WAJITOKEZE KUWANIA NAFASI MBALI MBALI KUWANIA NAFASI NEC
![](http://2.bp.blogspot.com/-bt6IpJJ82Xc/VdHG7gLAWkI/AAAAAAAHxyQ/qtfugpjI9zQ/s640/740.jpg)
Iddi akikabidhiwa Fomu za kuwania nafasi ya Ujumbe wa Baraza laWawakilishi Zanzibar Jimbo la Mahonda kutoka kwa Afisa wa UchaguziWilaya ya Kaskazini B Ndugu Makame Pandu Khamis.
![](http://1.bp.blogspot.com/-GpJeaYlcVsI/VdHG7nYzDRI/AAAAAAAHxyM/Z8OQaZrSr8o/s640/742.jpg)
Pandu Khamis akitoa maelezo kumpatia Balozi Seif ya namna ya ujazajiwa fomu za kuwania Uwakilishi Jimbo la Mahonda Ofisini kwake MahondaWilaya ya Kaskazini “B” Mkoa wa Kaskazini Unaguja.
![](http://3.bp.blogspot.com/-r77g9zHypFs/VdHG74uDMaI/AAAAAAAHxyI/NVLarryMu5I/s640/744.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IdN5y1KxAWntgnHXjghAmfo622aeeI8xHVW7f2LhfWZBhM5IC8bvhLMnLc4t91E1zaad*G2Se5VjQo3PWPkOSfRQoGCjv42d/ErnestMangu.jpg?width=650)
USINZIBE MDOMO VIKOSI VYA ULINZI VYAMA VYA SIASA?!