Waandamana kupinga kuondolewa katika eneo lao
WANANCHI zaidi ya 13,000 wa vijiji vitano wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wameandamana kupinga kuondolewa katika eneo lao ili kupisha upanuzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) unaosimamiwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo18 Jan
Waandamana kupinga kuhamishwa eneo la CN
WAFANYABIASHARA wa daladala zinazofanya safari zake kati ya Bunda na Musoma, waendesha bodaboda na wajasiriamali wakiwemo mama lishe, juzi waliandamana na kwenda kwa Mkuu wa wilaya ya Bunda, wakipinga kitendo cha kuhamishwa eneo la CN, lililoko mjini Bunda wanakofanyia biashara yao.
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
Wafanyakazi wa Zanlink Zanzibar wajumuika katika usafi eneo lao la kazi
![](http://3.bp.blogspot.com/-f-XTNbn6kVA/VmgvyRltlKI/AAAAAAACHzI/Kn2op4ZPMHQ/s640/Z%2B2.jpg)
Wafanyakazi wa Kampuni ya Zanlink Zanzibar wakiitikia wito wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Wakishiriki katika zoezi la Usafi wa Mazingira katika sehemu yao ya Kazi kuadhimisha miaka 54 ya Uhuru.
![](http://4.bp.blogspot.com/-OwkgoQ4ltEs/Vmgv1hBSywI/AAAAAAACHzQ/7xk9CCSyVmU/s640/Z%2B3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-NIoPKlX0jJk/Vmgv4HW-WhI/AAAAAAACHzY/jzLos-bRM8A/s640/Z.jpg)
Mfanyakazi wa Zanlink Zanzibar akishiriki katika Zoezi la Usafi kuadhimisha miaka 54 ya Uhuru wa Tanzania Bara imeadhimishwa Kitaifa kwa Usafi wa mazingira.
Imetayarishwa na Othman Mapara.Blogspot www.zanzinews.com
9 years ago
Mwananchi07 Sep
Wachimbaji waandamana kupinga unyanyasaji
10 years ago
BBCSwahili01 Nov
Waandamana kupinga kodi ya mtandao
9 years ago
BBCSwahili01 Nov
Waandamana kupinga mauaji Bangladesh
10 years ago
BBCSwahili07 Nov
Waandamana kupinga sera,Ubelgiji
11 years ago
Tanzania Daima29 May
Wavuvi waandamana kupinga uvamizi
ZAIDI ya wavuvi 30 wa Kisiwa cha Mazinga, Kata ya Mazinga wilayani Muleba, wameandamana hadi kituo cha polisi cha wilaya, kulalamikia kutokuwepo ulinzi katika Ziwa Victoria, kiasi cha kutoa mwanya...
9 years ago
Mwananchi01 Dec
Waandamana kupinga kupunguzwa kazini
10 years ago
BBCSwahili06 Feb
Raia wa Jordan waandamana kupinga IS