Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waatalam Wajadili mbinu za kupambana na magonjwa ya mlipuko Arusha

Dokta Mwele Malecela wa Kituo cha Utafiti wa Madawa (NIMR) Tanzania akifanya mahojiano jana na baadhi ya vyombo vya habari vilivyoshiriki katika warsha ya siku mbili inayofanyika mkoani Arusha kujadili njia bora za kupambana na magonjwa ya mlipuko kwa binadamu na wanyama ukiwemo ugonjwa wa Ebola na mengineyo katika bara la Afrika na kwingineko duniani.Warsha hiyoimeandaliwa kwa pamoja na taasisi za afya za SACIDS na EAIDSNet na kufadhiliwa na taasisi ya afya ya CORDS ya nchini Ufaransa.

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wajadili mkakati kupambana na athari za tabianchi

Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Rais, Sazi SalulaMWITO umetolewa kwa kila Mtanzania kushiriki katika utekelezaji wa mkakati wa kupambana na mabadiliko ya tabianchi ili kuweza kupata maendeleo endelevu sambamba na kuhakikisha utunzaji wa mazingira unapewa kipaumbele.

 

11 years ago

Mwananchi

Buguruni wahofia magonjwa ya mlipuko

>Wakazi wa Mtaa wa Buguruni Kisiwani, wamesema afya zao ziko hatarini kupatwa na magonjwa ya mlipuko kutokana na mabwawa ya majitaka ya Sukita kufurika kinyesi kinachotiririka mitaani.

 

9 years ago

Habarileo

Bahi wahadharishwa magonjwa ya mlipuko

MKUU wa Wilaya ya Bahi, Francis Mwonga, ametaka wananchi kuchukua tahadhari dhidi magonjwa ya mlipuko yanayoweza kujitokeza katika kipindi hiki cha majanga yanayotokana na mvua.

 

10 years ago

Mwananchi

Simu kutumika taarifa za magonjwa ya mlipuko

Wizara ya Afya, na Ustawi wa Jamii, itaanza kutumia mfumo mpya wa utoaji wa taarifa za magonjwa ya mlipuko kwa kutumia simu za mkononi kwa lengo la kuyadhibiti mara yanapogundulika kabla ya kusababisha madhara makubwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakazi Tungi wahofia magonjwa ya mlipuko

WAKAZI wa Kata ya Tungi, Manispaa ya Morogoro, wamekumbwa na hofu ya kupata magonjwa ya mlipuko kutokana na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira (Moruwasa) kutowapatia majisafi na salama...

 

11 years ago

GPL

MAGONJWA YA MLIPUKO YANUKIA DAR‏

Picha juu na chini ni magari ya kuzolea taka ngumu ya kampuni mbalimbali yakiwa kwenye foleni ya kuingia Dampo la Pugu Kinyamwezi ambalo miundo mbinu yake ni mibovu na kupelekea zoezi hilo kuchukua zaidi ya siku 4 mpaka kufanikisha kufikia eneo maalum la kumwagia taka ngumu. Pichani juu na chini hii ndio hali halisi ya muonekana wa eneo la Dampo la Pugu Kinyamwezi. Kwa hali hii kweli jamani hata hayo magari ya kuzoa taka...

 

5 years ago

Michuzi

WAJASIRIAMALI WATAKIWA KUJIKINGA DHIDI YA MAGONJWA YA MLIPUKO


Na.Catherine Sungura-Chato
Wajasiliamali wote nchini wametakiwa kujikinga dhidi ya magonjwa ya milipuko wanapofanya biashara zao ndani na nje ya nchi
Elimu hiyo imetolewa na Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto Dkt. Zainabu Chaula wilayani hapa kwenye kongamano la wajasiriamali lililoandaliwa na Chama cha Wanataaluma Waadventista Tanzania (ATAPE).
Amesema kongamano hilo la wajasiriamali, ni tendo jema lenye baraka, "nimekuwa kwenye ziara mikoa ya kigoma...

 

10 years ago

Mwananchi

Wanafunzi hatarini kupata magonjwa ya mlipuko Geita

Shule za msingi Ukombozi na Nyankumbu zilizopo mjini Geita mkoani hapa, zipo hatarini kukumbwa na magonjwa ya mlipuko kutokana na kukosa vyoo na msongamano mkubwa wa wanafunzi kwenye madarasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani