Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wabeba mimba wakati wa baridi wapewa somo

JUMLA ya watoto 76 wamezaliwa katika mkesha wa Mwaka Mpya katika jiji la Dar es Salaam, huku akinamama wakishauriwa kutobeba mimba katika kipindi cha baridi ili kujifungua wakati wa msongamano mdogo hospitali.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

OUT wapewa somo la mapato

Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Dk Ibrahimu Msengi amewashauri viongozi wa Chuo Kikuu Huria (OUT), Tawi la Mkoa wa Katavi kuwa wabunifu katika kutafuta vyanzo vya mapato badala ya kutegemea ada na ruzuku ya Serikali katika kujiendesha.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Uwaki wapewa somo Kibaha

IMEELEZWA kuwa ukosefu wa uwazi, uwajibikaji na ukiukwaji wa haki za binadamu katika maeneo mbali mbali ya kazi huchangia kwa kiasi kikubwa kukosekana kwa utawala bora. Hayo yalielezwa jana mjini...

 

9 years ago

Habarileo

Wahitimu ukocha wapewa somo

WAHITIMU wa mafunzo ya ualimu wa mpira wa miguu wametakiwa kutenga muda wa kufundisha vijana pasipo na kutegemea kupatiwa malipo.

 

9 years ago

Habarileo

Wanasiasa walioshindwa wapewa somo

VIONGOZI wa vyama vya siasa ambao wanadhani hawakutendewa haki katika Uchaguzi Mkuu uliomalizika hivi karibuni, wametakiwa kutumia njia za busara, hekima na taratibu za kisheria za kidiplomasia katika kudai haki yao na sio kutaka kuvuruga amani na kusababisha damu kumwagika.

 

10 years ago

Habarileo

Mitandao ya kijamii wapewa somo

Innocent MungyWATUMIAJI wa mitandao ya kijamii nchini wametakiwa kujiandaa kutumia sheria mpya ya mawasiliano iliyopitishwa bungeni hivi karibuni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wazalishaji wa matanki wapewa somo

WAZALISHAJI  wa bidhaa za kuhifadhia maji nchini wametakiwa kupanua wigo wa soko na kuenea hadi maeneo ya vijijini ili kuwakomboa wananchi wanaotaabika kutokana na kero ya maji. Rai hiyo ilitolewa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wabunifu majengo wapewa somo

WABUNIFU wa majengo na wakadiriaji majenzi na wadau  kutoka sekta binafsi wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika semina mbalimbali ili kupata elimu ya kutosha na kunolewa juu ya kukabiliana na mabadiliko...

 

10 years ago

Habarileo

Maofisa elimu wapewa somo

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa.SERIKALI imetoa jukumu zito kwa wakuu wa shule na maofisa elimu wa kata kusimamia kwa ukamilifu na kufuatilia shughuli za ufundishaji wa stadi za kusoma, kuandika na kuhesabu, kuwa zinatekelezwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani