Wabeba mimba wakati wa baridi wapewa somo
JUMLA ya watoto 76 wamezaliwa katika mkesha wa Mwaka Mpya katika jiji la Dar es Salaam, huku akinamama wakishauriwa kutobeba mimba katika kipindi cha baridi ili kujifungua wakati wa msongamano mdogo hospitali.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi07 Apr
OUT wapewa somo la mapato
10 years ago
Tanzania Daima20 Aug
Uwaki wapewa somo Kibaha
IMEELEZWA kuwa ukosefu wa uwazi, uwajibikaji na ukiukwaji wa haki za binadamu katika maeneo mbali mbali ya kazi huchangia kwa kiasi kikubwa kukosekana kwa utawala bora. Hayo yalielezwa jana mjini...
9 years ago
Habarileo30 Dec
Wahitimu ukocha wapewa somo
WAHITIMU wa mafunzo ya ualimu wa mpira wa miguu wametakiwa kutenga muda wa kufundisha vijana pasipo na kutegemea kupatiwa malipo.
9 years ago
Habarileo02 Nov
Wanasiasa walioshindwa wapewa somo
VIONGOZI wa vyama vya siasa ambao wanadhani hawakutendewa haki katika Uchaguzi Mkuu uliomalizika hivi karibuni, wametakiwa kutumia njia za busara, hekima na taratibu za kisheria za kidiplomasia katika kudai haki yao na sio kutaka kuvuruga amani na kusababisha damu kumwagika.
10 years ago
Habarileo05 Apr
Mitandao ya kijamii wapewa somo
WATUMIAJI wa mitandao ya kijamii nchini wametakiwa kujiandaa kutumia sheria mpya ya mawasiliano iliyopitishwa bungeni hivi karibuni.
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
Wazalishaji wa matanki wapewa somo
WAZALISHAJI wa bidhaa za kuhifadhia maji nchini wametakiwa kupanua wigo wa soko na kuenea hadi maeneo ya vijijini ili kuwakomboa wananchi wanaotaabika kutokana na kero ya maji. Rai hiyo ilitolewa...
11 years ago
Tanzania Daima18 Mar
Wabunifu majengo wapewa somo
WABUNIFU wa majengo na wakadiriaji majenzi na wadau kutoka sekta binafsi wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika semina mbalimbali ili kupata elimu ya kutosha na kunolewa juu ya kukabiliana na mabadiliko...
11 years ago
GPL10 years ago
Habarileo25 Jun
Maofisa elimu wapewa somo
SERIKALI imetoa jukumu zito kwa wakuu wa shule na maofisa elimu wa kata kusimamia kwa ukamilifu na kufuatilia shughuli za ufundishaji wa stadi za kusoma, kuandika na kuhesabu, kuwa zinatekelezwa.