Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAFANYAKAZI WA BREAKPOINT WAPEWA SOMO

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wafanyakazi kampuni za kigeni wapewa somo

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck SadikiWATANZANIA wanaopata ajira katika kampuni mbalimbali za wawekezaji waliopo nchini wametakiwa kubadilika na kuacha tabia ya kutisha wawekezaji hao kwa kutofanya kazi kwa bidii, uadilifu na uaminifu.

 

10 years ago

Mwananchi

OUT wapewa somo la mapato

Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Dk Ibrahimu Msengi amewashauri viongozi wa Chuo Kikuu Huria (OUT), Tawi la Mkoa wa Katavi kuwa wabunifu katika kutafuta vyanzo vya mapato badala ya kutegemea ada na ruzuku ya Serikali katika kujiendesha.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wasajili wa kampuni wapewa somo

WADAU wanaoshughulika moja kwa moja na mchakato wa usajili wa kampuni nchini wametakiwa kufanya kazi kwa karibu zaidi, ili kuimarisha kiwango cha Tanzania kimataifa katika kujenga mazingira ya biashara. Katibu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wazalishaji wa matanki wapewa somo

WAZALISHAJI  wa bidhaa za kuhifadhia maji nchini wametakiwa kupanua wigo wa soko na kuenea hadi maeneo ya vijijini ili kuwakomboa wananchi wanaotaabika kutokana na kero ya maji. Rai hiyo ilitolewa...

 

11 years ago

GPL

MASTAA BONGO WAPEWA SOMO

Stori: Mwandishi Wetu
MWIGIZAJI wa filamu aliyekuwa akifanya shughuli zake katika nchi mbalimbali Afrika na Ulaya, Adili Matontu amewapa somo waigizaji wa Bongo kwa kuandaa kazi zenye ubora wa kimataifa. Akizungumza na mwandishi wetu, Adili ambaye ni mtanzania, amesema kwa muda mrefu amekuwa akilitazama soko la filamu Bongo likishindwa kuvuka mipaka na tatizo kubwa likiwa ni ubora wa kazi na uhalisia hivyo akaona aoneshe mfano...

 

10 years ago

Habarileo

Wasimamizi wa maji wapewa somo

SERIKALI imewataka watekelezaji wa miradi mbalimbali katika sekta ya maji kuzipa kipaumbele kazi za usimamizi ili ikamilike ndani ya muda uliopangwa kwa mujibu wa mikataba.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Uwaki wapewa somo Kibaha

IMEELEZWA kuwa ukosefu wa uwazi, uwajibikaji na ukiukwaji wa haki za binadamu katika maeneo mbali mbali ya kazi huchangia kwa kiasi kikubwa kukosekana kwa utawala bora. Hayo yalielezwa jana mjini...

 

9 years ago

Habarileo

Wanasiasa walioshindwa wapewa somo

VIONGOZI wa vyama vya siasa ambao wanadhani hawakutendewa haki katika Uchaguzi Mkuu uliomalizika hivi karibuni, wametakiwa kutumia njia za busara, hekima na taratibu za kisheria za kidiplomasia katika kudai haki yao na sio kutaka kuvuruga amani na kusababisha damu kumwagika.

 

10 years ago

Habarileo

Viongozi wa siasa wapewa somo

ASKOFU Julius Bundala wa Kanisa la PHAM katika Kanda ya Kati ameshauri viongozi wa vyama vya siasa kuacha kuwashinikiza wananchi kiitikadi wakati wanapofikia muda wa kufanya uchaguzi wa viongozi wao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani