Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wabunge wa Kundi la 201 waonywa

MTANDAO wa mashirika 35 mkoani Kilimanjaro yanayotetea haki za wanawake na katiba, umetaka wajumbe 201 wa Bunge Maalumu la Katiba waliotokana na makundi ya kijamii, kutokubali kumezwa na wanasiasa katika mijadala bungeni.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Wajumbe Kundi la 201 watoa tamko dhidi ya wanaolichafua Bunge Maalum la Katiba na Wajumbe wa kundi hilo

PIX 1

Askofu Amos Muhagachi akitoa tamko juu ya tuhuma mbalimbali dhidi ya kundi la 201 la wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba jana 03 Septemba, 2014 katika Ukumbi wa Spika, Mjini Dodoma.

Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.

WAWAKILISHI wa Taasisi za dini wa Bunge Maalum la Katiba toka wajumbe 201 wametoa tamko lao dhidi ya tuhuma mbalimbali zinazoendelea katika kulichafua Bunge hilo ikiwemo baadhi ya wajumbe wa kundi hilo wakituhumiwa kudaiwa kupewa rushwa.

Tamko hilo limetolewa jana 03 Septemba,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

RAAWU yakerwa na mawaziri waliowaalika chakula kundi la 201

KATIBU wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu na Utafiti (RAAWU), mkoani Dodoma, Ramadhan Mwendwa, amewashambulia mawaziri waliohusika kuwaita wajumbe wa kundi la 201 nyumbani kwao kwa...

 

9 years ago

TheCitizen

201 tortoises seized at JNIA

Strange as it might sound but two Tanzanians were arrested trying to smuggle out a total of 201 live tortoises to Malaysia through Julius Nyerere International Airport (JNIA).

 

11 years ago

Habarileo

Polisi wakamata kilo 201 za Heroin

RAIA 12 kutoka katika nchi mbili tofauti, wanashikiliwa Polisi kwa kukutwa wakisafirisha dawa za kulevya aina ya heroin kilogramu 201, kupitia baharini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Raawu yawajia juu wajumbe 201

KATIBU wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu, Utafiti na kazi nyinginezo (Raawu) Mkoa wa Dodoma, Ramadhan Mwendwa, amewashambulia baadhi ya wajumbe wa kundi la 201 kukaa...

 

11 years ago

Daily News

More from 'Group of 201' rejoin CA Katiba process


Daily News
More from 'Group of 201' rejoin CA Katiba process
Daily News
THE Constituent Assembly (CA) continues to see more members from the 201 'presidential appointee' groups registering and joining other members in discussing the remaining chapters of the draft constitution. This was confirmed on Tuesday by CA Clerk ...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Wajumbe 201 Bunge la Katiba wapigwe msasa’

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Haroub Mohamed Shamsi ameuomba uongozi wa chombo hicho kuangalia uwezekano wa kuwapiga msasa wajumbe 201 walioteuliwa na Rais ili wazifahamu kanuni.

 

11 years ago

Mwananchi

Lissu adai wajumbe 201 ni janja ya CCM

>Mjumbe wa Bunge la Katiba, Tundu Lissu amesema wamejiridhisha kuwa CCM ilitumia ujanja kuongeza wanachama wake kupitia nafasi 201 za wajumbe wateule wa rais.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani