Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wabunge walaani chakula kwa unene wao

Wabunge wa Afrika Kusini wamelalamika juu ya chakula kinachopikwa katika mkahawa ulio katika majengo ya bunge wakisema kinawafanya wanene

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wabunge Rwanda walaani BBC

Bunge la Rwanda limepiga kura ya kupiga marufuku BBC nchini humo, kufuatia kipindi kilichopeperushwa na shirika hilo kuhusu mauaji ya kimbari mwaka 1994

 

11 years ago

GPL

WANACHUO WA CHUO CHA UALIMU VIKINDU WALAANI UTARATIBU MBOVU WA UGAWAJI CHAKULA

Wanachuo wa Chuo cha Ualimu Vikindu, Pwani wakigombea msosi. Vurugu zikiendelea.…

 

11 years ago

Habarileo

Wabunge Madola walaani utekaji wasichana Nigeria

Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Wabunge Wanawake wa Nchi za Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika, Beatrice ShelukindoWABUNGE wanawake wa Nchi za Jumuiya ya Madola (CWP) wametoa tamko la kulaani matukio ya utekaji na utesaji wa wasichana nchini Nigeria linalofanywa na kundi la kigaidi la Boko Haram.

 

5 years ago

CCM Blog

MPOGOLO: WABUNGE, MADIWANI WALIOSHINDWA KUWAJIBIKA KWA WAPIGA KURA WAO HAWATAPITISHWA KUGOMBEA



Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kuwa wabunge na madiwani walioshindwa kuwajibika kwa wapiga kura wao, hawatapitishwa tena katika mchakato wa uchaguzi mwaka huu. Msimamo huo ulitolewa juzi na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara, Rodrick Mpogolo akiwa wilayani Korogwe mkoani Tanga.

 

10 years ago

Mwananchi

Bajeti ya Wizara ya Kilimo na Chakula yapitishwa na wabunge 68

 Ni wabunge 68 tu, wakiwamo mawaziri 10, waliokuwa ndani ya ukumbi wa Bunge wakati chombo hicho cha kutunga sheria kikipitisha bajeti ya Wizara ya Kilimo na Chakula, lakini uongozi umesema “hakuna tatizo”.

 

9 years ago

Mwananchi

Arusha, Handeni kuchagua wabunge wao leo

Wapigakura 321,575 wanatarajiwa kujitokeza kuchagua mbunge wa Arusha Mjini leo, katika uchaguzi unaoshirikisha wagombea wa vyama vinne vya siasa.

 

11 years ago

Habarileo

Wabunge EAC wamng’ang’ania Spika wao

WABUNGE 33 wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), wamesema mchakato wa kumng'oa madarakani Spika wa Bunge hilo, Dk Margareth Zziwa uko pale pale.

 

9 years ago

Michuzi

VOA AFRICA 54 YAFANYA MAHOJIANO NA MAMA SHUJAA WA CHAKULA , AMBAYE YUPO WASHINGTON DC KWA AJILI YA MKUTANO WA SIKU YA CHAKULA DUNIANI.

 Kushoto ni Mtangazaji Voice of America  wa Africa 54 Linord Moudou akiwa na Mama Shujaa wa Chakula 2014 msimu wa Tatu Bahati Muliga na Meneja Utetezi na Ushawishi kutoka Oxfam Eluka Kibona wakihojiwa kuhusiana na Shindano la Mama shujaa wa chakula na Jinsi linavyo wasaidia wakulima hasa wanawake.Bahati Muliga(Kushoto)  Mama Shujaa wa Chakula 2014 msimu wa tatu, shindano linaloandaliwa na Oxfam kupitia Kampeni yake ya Grow ambapo kauli mbiu yao ni Wekeza kwa Wakulima wadogo wadogo inalipa...

 

11 years ago

GPL

KUPUNGUZA UNENE WA KUPINDUKIA KWA UPASUAJI

Na Dk Mandai A. Simu 0717961795, 0754391743 WIKI iliyopita nilieleza kuhusu kalori mwilini isivyotakiwa kuzidi.
Suala muhimu  la kujadili leo ili kupunguza unene wa kupindukia au obesity tulishajadili hasa kuhusu kufanya mazoezi kila siku kwa dakika 30 na tukashauri kuwa wale wenye uzito kupita kiasi wanapaswa kushauriwa na madaktari kabla ya kuanza mazoezi. Leo tuangazie njia nyingine ya kupunguza unene tukianza na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani