Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUPUNGUZA UNENE WA KUPINDUKIA KWA UPASUAJI

Na Dk Mandai A. Simu 0717961795, 0754391743 WIKI iliyopita nilieleza kuhusu kalori mwilini isivyotakiwa kuzidi.
Suala muhimu  la kujadili leo ili kupunguza unene wa kupindukia au obesity tulishajadili hasa kuhusu kufanya mazoezi kila siku kwa dakika 30 na tukashauri kuwa wale wenye uzito kupita kiasi wanapaswa kushauriwa na madaktari kabla ya kuanza mazoezi. Leo tuangazie njia nyingine ya kupunguza unene tukianza na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

JINSI YA KUPUNGUZA UNENE WA KUPINDUKIA-2

Tulieleza jinsi watu wenye vitambi au wanene wanavyopata shida na maradhi mbalimbali na wiki iliyopita tulieleza jinsi ya kupunguza unene, leo tunaendelea kuelekeza. Anza kukimbia kwa kasi ndogo halafu ongeza kasi. Au unaweza kukimbia kwa kasi ya juu dakika 5 na kisha kupunguza hadi 3. Hii inaitwa interval training, yenye lengo la kukupa uwezo wa kufikisha dakika 30, kuchoma mafuta mwilini na kupunguza mapigo ya moyo ili yarudi...

 

11 years ago

GPL

JINSI YA KUPUNGUZA UNENE WA KUPINDUKIA

UNENE wa kupindukia ni ugonjwa na wasomaji wengi wametaka tuwasaidie kuwaeleza njia ya kupunguza au kuondoa tatizo hilo. Kuna njia nyingi sana ambazo hutumiwa na watu ili kupunguza mwili na tumbo, lakini baadhi huwa ngumu sana au zinakuwa haziendani na mazingira wanayoishi, hivyo watu wengi hushindwa njiani. Zipo njia za kutumia madawa au kahawa, chai ya kupunguza uzito na vinginevyo ambazo huwa si za kudumu na hata baadhi ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Unene kupindukia katika nchi zinazostawi

Kunenepa kupindukia ni tatizo ambalo sasa linatishia zaidi maisha ya wengi katika mataifa yanayostawi duniani kuliko mataifa tajiri ambako mambo yana afadhali.

 

11 years ago

Michuzi

reminder ya programu ya kupunguza unene

Unajua kwamba unene wa kupindukia (overweight) unakuweka katika hatari ya kushambuliwa na magonjwa mengi yakiwemo ya moyo,kisukari  presha n.k. ?  Kukabiliana na tatizo la unene ni chaguo lako na sisi tutakusaidia kutimiza lengo lako kupungua kilo unazotaka kwa kutumia programu yetu (Natural and healthy program) . Inakufikia popote ulipo. CLEAN 9. Ni muhimu katika kupunguza mwili kwasababu inafanya kazi ya kusafisha mwili,kuondoa sumu mwilini,kuondoa mafuta yaliyozidi mwilini na kukupa...

 

9 years ago

GPL

NJIA KUMI KUSAIDIA KUPUNGUZA UNENE-2

Tunaendelea kufafanua njia za kupunguza unene uliopitiliza.
Mseto wa vyakula pia ni muhimu kwa kupunguza unene.
Kwa mfano vyakula vyenye uchachu (acid) na vile vinavyomumunyuka haraka (alkaline) havitakiwi viliwe pamoja. Mfano ni matunda. Matunda machachu kama machungwa, mananasi na maembe yanatakiwa yawe pamoja; na yale laini zaidi: Ndizi mbivu, matikitimaji, mapapai, matufaha, nk. yaende kivyake, maana yana mfumo tofauti wa...

 

9 years ago

GPL

NJIA KUMI KUSAIDIA KUPUNGUZA UNENE-3

Tunaendelea kufafanua njia za kupunguza unene: Kama usipotafuna chakula vizuri au ukila huku unakunywa sana maji au vinywaji vingine, chakula hakimeng’enywi vizuri tumboni. ULAJI WA VYAKULA VYA MAFUTA
Mafuta ni suala muhimu sana mwilini. Ila ulaji wake sharti uwe wa mpangilio. Yaani unaowiana. Lazima mtu uwe na wastani mzuri wa vyakula vya nguvu, yaani wanga kama vile ugali, ndizi, wali, viazi mbalimbali, mikate,...

 

11 years ago

Mwananchi

Dawa za kupunguza unene, uzito zaweza kusababisha kifo ghafla

Je, wewe ni mnene na ungependa kupunguza uzito? Je, wewe ni mwanamke au msichana unayependa kuwa na umbo la kuvutia la namba nane? Kama jibu lako ni ndiyo kwa mojawapo ya maswali hayo hapo juu, inakupasa kuchukua tahadhari.

 

5 years ago

Michuzi

WATAALAMU WA KUTOA DAWA ZA USINGIZI KUPUNGUZA VIFO VYA KINA MAMA WAJAWAZITO WAKATI WA UPASUAJI

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Dkt. Salum Manyata  amewahasa wataalamu wa kutoa dawa za usingizi nchini kuwa wana jukumu kubwa la kuboresha utoaji wa huduma wa dawa za usingizi kwa kina mama wajawazito wakati wa upasuaji ili kupunguza athari zinazoweza kujitokeza wakati wa utoaji huduma hiyo.

Dkt. Manyata ameyasema leo wakati akifungua mafunzo elekezi ya utoaji dawa za usingizi salama wakati wa upasuaji kwa kina mama wajawazito yanayofanyika jijini Mbeya kwa siku tatu na kushirikisha wataalamu...

 

11 years ago

GPL

MADHARA YA UNENE KWA WAJAWAZITO NA WATOTO

Na Dk Mandai A Simu 0717961795, 0754391743 Unapaswa kujua kuwa, wanawake wenye uzito wa kupitiliza (obese women) wakiwa wajawazito wanakabiliwa na hatari ya kupata madhara makubwa. Madhara hayo ni kama haya yafuatayo, kupata ugonjwa wa kisukari cha ujauzito ambacho ni hatari kwa maisha yake. Mjamzito pia anaweza kupata matatizo ya shinikizo la damu wakati… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani