Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wachezaji 10 bora bara ulaya watajwa

Neuer ,Robben, Ronaldo ni miongoni mwa wachezaji wanaowania taji la mchezaji bora barani Ulaya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

WACHEZAJI MABORESHO STARS WATAJWA

Kocha Msaidizi wa Taifa Stars, Salum Mayanga ametangaza majina ya wachezaji 16 waliochaguliwa katika maboresho ya timu ya Taifa Taifa Stars kwenye hoteli ya Hill View jijini Mbeya.
Wachezaji hao ni kipa Benedicto Tinoko Simwanda (Temeke), mabeki wa kati; Emma Namwondo Simwanda (Temeke) na Joram Nason Mgeveje (Iringa). Walinzi wa pembeni ni Omari Ally Kindamba (Temeke), Edward Peter Mayunga (Kaskazini Pemba) na Shiraz Abdallah Sozigwa (Ilala).
Viungo ni Yusuf Suleiman Mlipili (Temeke),...

 

9 years ago

MillardAyo

TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa …

Tukiwa tunaelekea kuumaliza mwaka 2015 na kuingia mwaka mpya 2016 moja kati ya mitandao inayoandika stori za michezo duniani imeandika TOP ya wachezaji bora wakali wa Ligi Kuu Uingereza. Mtandao wa bleacherreport.com umeandika list ya wachezaji 20 wakali wa Ligi Kuu Uingereza kwa mwaka 2015. Hii ndio list ya majina yote 20 mtu wangu. David De […]

The post TOP 20 ya wachezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza 2015, Afrika imetoa wachezaji wawili pekee, Cheki list hapa … appeared first on...

 

9 years ago

StarTV

Wachezaji wa zamani wa timu za Taifa Bara na Z’bar kucheza mchezo maalum.  

 Wachezaji wa zamani wa timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars na wachezaji wa zamani wa timu ya Zanzibar Heroes watacheza mechi ya kirafiki December 09 mwaka huu kwa Lengo la kuhamasisha amani katika visiwani Zanzibar.

Mechi hiyo itapigwa katika Uwanja wa Amani ambapo pande zinazotofautiana kisiasa zitaalikwa ili kuzungumza na wanachama kuwa watulivu kipindi hiki ambapo suluhu inatafutwa.

Wakati huohuo michuano ya kuwania kombe la Challenge inaendelea huko nchini Ethiopia,timu ya Kilimnajaro...

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga, Simba zagawa wachezaji kwa klabu 11 za Ligi Kuu Bara

>Mbeya City, Prisons na Stand United ndizo timu pekee ambazo hazina mchezaji yeyote aliyewahi kucheza Yanga au Simba katika vikosi vyao msimu huu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Cameroon yatafuta wachezaji Ulaya

Ujumbe wa kutoka nchini Cameroon wanatarajiwa kwenye nchi Ulaya kuwashawishi wachezajiwa wa nchi hiyo wanachezea katika nchi za ulaya kujiunga na timu ya taifa.

 

10 years ago

Mwananchi

Wachezaji muhimu Ulaya 2014/15

Majukumu waliyokabidhiwa uwanjani ndiyo yanayowafanya kuwa wachezaji muhimu Ulaya msimu wa 2014/15 .

 

10 years ago

Mwananchi

Makocha wa Ulaya waiteka Ligi Kuu Bara

Hakuna shaka ushindani msimu ujao utakuwa baina ya makocha wa kigeni dhidi ya wazawa kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara.

 

9 years ago

Dewji Blog

Hii ndiyo orodha ya wachezaji 40 ambao wanawania kuwepo katika kikosi cha Ulaya 2015

2308960_UltraWide

MAKIPA
Joe Hart (Man City)

Gianluigi Buffon (Juventus)

Manuel Neuer (Bayern)

Denys Bokyo (Dnipro)

MABEKI
David Alaba (Bayern)

Jerome Boateng (Bayern)

Dani Alves (Barcelona)

Javier Mascherano (Barcelona)

Gerard Pique (Barcelona)

Giorgio Chiellini (Juventus)

Leonardo Bonucci (Juventus)

David Luiz (PSG)

Thiago Silva (PSG)

Diego Godin (Atletico Madrid)

Sergio Ramos (Real Madrid)

Ricardo Rodriguez (Wolfsburg)

VIUNGO
James Rodrigues (Real Madrid)

Paul Pogba (Juventus)

Claudio Marchisio(Juventus)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani