WADAU GASTO NA FEDERICA WAMEREMETA JIJINI ARUSHA
.jpg)
Afisa Uhusiano Mwandamizi wa Chuo cha Ufundi Arusha(ATC)Gasto Leseiyo akiwa ame ‘pose’ kwa picha na Bibi harusi Federica Sikale baada ya kufunga pingu za maisha katika Kanisa Katoliki Parokia ya Roho Mtakatifu Ngarenaro Arusha jana na kufatiwa na sherehe iliyofanyika ukumbi wa Leons Garden Sakina.
Gasto Leseiyo na Mke wake Federica Sikale baada ya kufunga pingu za maisha katika Kanisa Katoliki Parokia ya Roho Mtakatifu Ngarenaro Arusha wakiwa katika picha ya pamoja na Mama wazazi .
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi
WADAU ARCHBOLD NA AGNESS WAMEREMETA LEO JIJINI DAR ES SALAAM






11 years ago
Michuzi
WADAU JOSEPHATH TENDEWA NA FIDES ASSENGA WAMEREMETA JIJINI DAR

Maharusi Josephath Tendewa na Fides Assenga wakiwa kwenye nyuso za furaha mara baada ya kumeremeta katika kanisa la Mtakatifu Joseph na baadae kufanyika kwa tafrija ya kuwapongeza iliyofanyika kwenye ukumbi wa Urafiki Social hall,Sinza jijini Dar.

Maharusi wakiwa na wapambe wao.
KUONA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
9 years ago
Michuzi
WADAU JESSE NA FAITH WAMEREMETA JIJINI DAR ES SALAAM LEO





9 years ago
Michuzi
Mdau Yassin Shabani Kweka na Rehema Kasirika wameremeta jijini Arusha





11 years ago
MichuziNBC YAKUTANA NA WADAU WA PPF JIJINI ARUSHA
11 years ago
Michuzi15 Jun
wadau zuberi na asha wameremeta
Sherehe za harusi ya Bw. Zuberi Hamis Khalid na Asha Shaban Maji katika ukumbi wa Marquee wa Serena Hotel jijini Dar es salaam Jumamosi Juni 14, 2014
11 years ago
Michuzi
wadau sereki na zainab wameremeta

.jpg)
.jpg)
10 years ago
Michuzi
MKUTANO WA TANO WA WADAU WA NSSF WAMALIZIKA LEO JIJINI ARUSHA


10 years ago
Michuzi
MKUTANO WA TANO WA WADAU WA NSSF WAENDELEA LEO AICC, JIJINI ARUSHA

