wadau sereki na zainab wameremeta
![](http://3.bp.blogspot.com/-Bht5MjHKzV8/Ux2muPb1z_I/AAAAAAAFSsI/cUlU_JTiQtw/s72-c/unnamed.jpg)
Wadau Sereki na Zainab wakila pozi baada ya kumeremeta hivi karibuni
Sereki na Zainab wakifurahia siku yao ya kwanza pamoja
Mmmmmmmwwwwwwwaaaaaaaa....
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLAZIZ HASHIM, ZAINAB WAMEREMETA
Mhariri Msaidizi wa Gazeti la Ijumaa Wikienda, Aziz Hashim, akiwa kwenye picha ya pamoja na mkewe Zainab Hashim, muda mfupi baada ya kufunga ndoa yao iliyofungwa nyumbani kwao na Zainab Tabata jijini Dar es Salaam leo mchana. Aziz Hashim akiwa amembeba mkewe Zainab kwa furaha.…
11 years ago
Michuzi15 Jun
wadau zuberi na asha wameremeta
Sherehe za harusi ya Bw. Zuberi Hamis Khalid na Asha Shaban Maji katika ukumbi wa Marquee wa Serena Hotel jijini Dar es salaam Jumamosi Juni 14, 2014
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lKPWIvlbggo/UuyQOblWEkI/AAAAAAAFKBU/5YR9nVX1j3Y/s72-c/unnamed+(13).jpg)
WADAU ALEX NA FLORA WAMEREMETA HUKO LINDI
Ilikuwa patashika nguo chanika katika sherehe ya Harusi ya Alex Mwalwiba na Flora Japher iliyofungwa katika kanisa la KKKT Mjini Lindi na baadaye mnuso wa nguvu katika ukumbi wa Lindi Beach hotel.
Bwana Harusi ni Fundi mkuu wa kampuni ya Uniglobex ya mjini lindi huku Bi Harusi akiwa mwajiriwa wa Jeshi la polisi Mkoani Lindi kitengo cha Usalama barabarani Sote kwa pamoja Tunawaombea Dua katika maisha yao Mapya ya Ndoa
Picha na Abdulaziz Video Rec Ya Mjini Lindi
Wadau Alex Mwalwiba...
![](http://2.bp.blogspot.com/-lKPWIvlbggo/UuyQOblWEkI/AAAAAAAFKBU/5YR9nVX1j3Y/s1600/unnamed+(13).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3hGxKmKYbVc/Uu__zw7Fi2I/AAAAAAAFKuw/9-vntwsh4xU/s72-c/unnamed+(49).jpg)
wadau KASUKA NA SALOME WAMEREMETA WILAYANI KILWA
Wadau John Kasuka na Salome Joseph wameremeta katika kanisa la KKKT Kilwa Masoko mkoani Lindi na baadaye kusherehekea katika mnuso wa nguvu katika ukumbi wa PEC hotel(kwa sultan) Kilwa
Wadau John Kasuka na Bi salome Joseph wakiwa na nyuso za furaha baada ya kumeremeta
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kilwa Addoh Mapunda ambae ni mwajiri wa bwana harusi akiwapongeza vijana wake
Maharusi wakielekea beach kupata taswira za kumbukumbu
Ni wakati wa kuvalishana pete za...
![](http://1.bp.blogspot.com/-3hGxKmKYbVc/Uu__zw7Fi2I/AAAAAAAFKuw/9-vntwsh4xU/s1600/unnamed+(49).jpg)
Wadau John Kasuka na Bi salome Joseph wakiwa na nyuso za furaha baada ya kumeremeta
![](http://1.bp.blogspot.com/-0lNsQWtJv7s/Uu__xvwEhtI/AAAAAAAFKuU/3Eky1QgFdpY/s1600/unnamed+(50).jpg)
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kilwa Addoh Mapunda ambae ni mwajiri wa bwana harusi akiwapongeza vijana wake
![](http://4.bp.blogspot.com/-7gbG3Y9sWBg/Uu__yltPlpI/AAAAAAAFKuc/nqJivoNl5FE/s1600/unnamed+(52).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vLMlXY2_tZI/Uu__ywyDRWI/AAAAAAAFKuk/RV6e7od5Avw/s1600/unnamed+(53).jpg)
11 years ago
MichuziWadau David Kapungu na Vailet Ndimbo wameremeta
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MogP-ytbdIo/UxYkSKtd-eI/AAAAAAAFRIo/nGuvXexZrH4/s72-c/unnamed+(3).jpg)
wadau robert rutegama na delly kisesa wameremeta
![](http://4.bp.blogspot.com/-MogP-ytbdIo/UxYkSKtd-eI/AAAAAAAFRIo/nGuvXexZrH4/s1600/unnamed+(3).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4nQbRJhLJzE/U4O3QunNC0I/AAAAAAAFlTk/9NSYjzs5EEA/s72-c/unnamed+(85).jpg)
WADAU ALBERT NA EVODIA WAMEREMETA MJINI BUKOBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-4nQbRJhLJzE/U4O3QunNC0I/AAAAAAAFlTk/9NSYjzs5EEA/s1600/unnamed+(85).jpg)
UKUMBI WA LINAS NIGH CLUB MJINI BUKOBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-gn9oy9HvWns/U4O3RUvBkeI/AAAAAAAFlTs/LcxE8kx2NQk/s1600/unnamed+(86).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rrAfpYYO864/U4O3Rwj2QpI/AAAAAAAFlTw/qKVck0nNYIA/s1600/unnamed+(87).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OdCiz1kSoqY/U4O3SZT5s3I/AAAAAAAFlT0/GiMQKJkfIk0/s1600/unnamed+(88).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1h7qLqYcU8Y/VCf-p1s0n9I/AAAAAAAGmTg/ES7hJR5lNu4/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
WADAU GASTO NA FEDERICA WAMEREMETA JIJINI ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-1h7qLqYcU8Y/VCf-p1s0n9I/AAAAAAAGmTg/ES7hJR5lNu4/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vLz_FxPPV-8/VCf-qudnOeI/AAAAAAAGmTs/2MMigcrb4yw/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TzQIilA_S4E/VCf-qi0FhEI/AAAAAAAGmTk/S74Uf5t2bMY/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-u9lGmvNFCps/VYW8omER8jI/AAAAAAAHh3Y/xFnAWRQ2y7M/s72-c/Bw.Hamisi%2BMrisho%2BMohamed%2Bakiwa%2Bna%2Bmai%2Bwife%2Bwake%2BBi.Rehema%2BMilanzi.jpg)
wadau hamisi na rehema wameremeta Segerea Mwisho, Dar es salaam
Hamisi Mrisho Mohamedi mzawa wa Kariakoo ambaye pia ana makazi yake kule Segerea Jijini Dar, siku ya Ijumaa, 19 Juni 2015 alifunga ndoa na Bi. Rehema Joachim Milanzi mkazi wa Segerea, Dar. Mohamedi kuachana kabisa na klabu ya makapera aka Bado nipo nipo Club na kufanikiwa kupata mama mwenye nyumba Bi. Rehema. Harusi ilifanyika Masjid Kubah iliyopo Segerea Mwisho, Dar es Salaam. Tuwatakie maisha mema maharusi.
Maharusi wakiwa wamekumbatiana kwa furaha baada ya kumeremeta
Maharusi...
![](http://1.bp.blogspot.com/-u9lGmvNFCps/VYW8omER8jI/AAAAAAAHh3Y/xFnAWRQ2y7M/s1600/Bw.Hamisi%2BMrisho%2BMohamed%2Bakiwa%2Bna%2Bmai%2Bwife%2Bwake%2BBi.Rehema%2BMilanzi.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NG7lgSHT4pM/VYW8qSvz-1I/AAAAAAAHh3k/EeGJJyF3-JE/s1600/Bw.Hamisi%2BMrisho%2Bna%2BMkewe%2BBi%2BRehema%2BMilanzi%2528katika%2529%2Bwakiagana%2Bna%2Bklabu%2Bya%2Bmakapara.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10