WADAU ALEX NA FLORA WAMEREMETA HUKO LINDI
Ilikuwa patashika nguo chanika katika sherehe ya Harusi ya Alex Mwalwiba na Flora Japher iliyofungwa katika kanisa la KKKT Mjini Lindi na baadaye mnuso wa nguvu katika ukumbi wa Lindi Beach hotel. Bwana Harusi ni Fundi mkuu wa kampuni ya Uniglobex ya mjini lindi huku Bi Harusi akiwa mwajiriwa wa Jeshi la polisi Mkoani Lindi kitengo cha Usalama barabarani Sote kwa pamoja Tunawaombea Dua katika maisha yao Mapya ya Ndoa Picha na Abdulaziz Video Rec Ya Mjini Lindi Wadau Alex Mwalwiba...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi13 Nov
Bwana Tariq na Bi. Vumi wameremeta huko jijini Mbeya
10 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE ATEMBELEA KATA ZA MIKUMBI,NDARO NA MBANJA HUKO LINDI MJINI KWA AJILI YA KAMPENI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MKOANI LINDI
10 years ago
GPLMAMA SALMA KIKWETE ATEMBELEA KATA ZA MIKUMBI, NDARO NA MBANJA HUKO LINDI MJINI KWA AJILI YA KAMPENI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MKOANI LINDI
10 years ago
MichuziEdward Mwambopo na Anitha Makundi wameremeta huko jijini mbeya
11 years ago
Michuziwadau sereki na zainab wameremeta
11 years ago
Michuzi15 Jun
wadau zuberi na asha wameremeta
Sherehe za harusi ya Bw. Zuberi Hamis Khalid na Asha Shaban Maji katika ukumbi wa Marquee wa Serena Hotel jijini Dar es salaam Jumamosi Juni 14, 2014
11 years ago
MichuziWadau David Kapungu na Vailet Ndimbo wameremeta
10 years ago
MichuziWADAU GASTO NA FEDERICA WAMEREMETA JIJINI ARUSHA
11 years ago
Michuziwadau robert rutegama na delly kisesa wameremeta
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10