wadau robert rutegama na delly kisesa wameremeta
![](http://4.bp.blogspot.com/-MogP-ytbdIo/UxYkSKtd-eI/AAAAAAAFRIo/nGuvXexZrH4/s72-c/unnamed+(3).jpg)
Wadau wakubwa wa Globu ya Jamii mjini Dodoma Robert Rutegama na mai waifu wake Delly Kisesa wamemeremeta hivi majuzi katika kanisa la Lutheran Dodoma na baadaye kufurahia kumeremeta kwao katika mnuso wa nguvu ulioandaliwa katika ukumbi wa African View. Globu ya Jamii inawatakia maisha ya amani, furaha na upendo daima duni wadau hawa - kama wanavyoonekana kwenye taswira hii.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-4HeBhwO4IQU/VIM_SoIUdBI/AAAAAAAG1nM/t7g4l7DCfvE/s72-c/unnamed%2B(41).jpg)
Wadau Amini Mture Robert Kisanga na Maria Deborah Kimalando wameremeta jioni hii
![](http://4.bp.blogspot.com/-4HeBhwO4IQU/VIM_SoIUdBI/AAAAAAAG1nM/t7g4l7DCfvE/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wK1z0KoneHE/VIM_Sx70gFI/AAAAAAAG1m8/0-V5ymfZiKE/s1600/unnamed%2B(42).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iTPJFP2Q3xg/VIM_S5n7OHI/AAAAAAAG1nA/S7-mbYY4ogs/s1600/unnamed%2B(43).jpg)
11 years ago
Michuzi15 Jun
wadau zuberi na asha wameremeta
Sherehe za harusi ya Bw. Zuberi Hamis Khalid na Asha Shaban Maji katika ukumbi wa Marquee wa Serena Hotel jijini Dar es salaam Jumamosi Juni 14, 2014
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Bht5MjHKzV8/Ux2muPb1z_I/AAAAAAAFSsI/cUlU_JTiQtw/s72-c/unnamed.jpg)
wadau sereki na zainab wameremeta
![](http://3.bp.blogspot.com/-Bht5MjHKzV8/Ux2muPb1z_I/AAAAAAAFSsI/cUlU_JTiQtw/s1600/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-twACV6AXhuc/Ux2mxlHM_XI/AAAAAAAFSsQ/RCmH0feLzo4/s1600/unnamed+(2).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oKLJi838WkM/Ux2mzr7D04I/AAAAAAAFSsY/l05bZc41ZME/s1600/unnamed+(9).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4nQbRJhLJzE/U4O3QunNC0I/AAAAAAAFlTk/9NSYjzs5EEA/s72-c/unnamed+(85).jpg)
WADAU ALBERT NA EVODIA WAMEREMETA MJINI BUKOBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-4nQbRJhLJzE/U4O3QunNC0I/AAAAAAAFlTk/9NSYjzs5EEA/s1600/unnamed+(85).jpg)
UKUMBI WA LINAS NIGH CLUB MJINI BUKOBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-gn9oy9HvWns/U4O3RUvBkeI/AAAAAAAFlTs/LcxE8kx2NQk/s1600/unnamed+(86).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rrAfpYYO864/U4O3Rwj2QpI/AAAAAAAFlTw/qKVck0nNYIA/s1600/unnamed+(87).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OdCiz1kSoqY/U4O3SZT5s3I/AAAAAAAFlT0/GiMQKJkfIk0/s1600/unnamed+(88).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3hGxKmKYbVc/Uu__zw7Fi2I/AAAAAAAFKuw/9-vntwsh4xU/s72-c/unnamed+(49).jpg)
wadau KASUKA NA SALOME WAMEREMETA WILAYANI KILWA
Wadau John Kasuka na Salome Joseph wameremeta katika kanisa la KKKT Kilwa Masoko mkoani Lindi na baadaye kusherehekea katika mnuso wa nguvu katika ukumbi wa PEC hotel(kwa sultan) Kilwa
Wadau John Kasuka na Bi salome Joseph wakiwa na nyuso za furaha baada ya kumeremeta
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kilwa Addoh Mapunda ambae ni mwajiri wa bwana harusi akiwapongeza vijana wake
Maharusi wakielekea beach kupata taswira za kumbukumbu
Ni wakati wa kuvalishana pete za...
![](http://1.bp.blogspot.com/-3hGxKmKYbVc/Uu__zw7Fi2I/AAAAAAAFKuw/9-vntwsh4xU/s1600/unnamed+(49).jpg)
Wadau John Kasuka na Bi salome Joseph wakiwa na nyuso za furaha baada ya kumeremeta
![](http://1.bp.blogspot.com/-0lNsQWtJv7s/Uu__xvwEhtI/AAAAAAAFKuU/3Eky1QgFdpY/s1600/unnamed+(50).jpg)
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kilwa Addoh Mapunda ambae ni mwajiri wa bwana harusi akiwapongeza vijana wake
![](http://4.bp.blogspot.com/-7gbG3Y9sWBg/Uu__yltPlpI/AAAAAAAFKuc/nqJivoNl5FE/s1600/unnamed+(52).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vLMlXY2_tZI/Uu__ywyDRWI/AAAAAAAFKuk/RV6e7od5Avw/s1600/unnamed+(53).jpg)
11 years ago
MichuziWadau David Kapungu na Vailet Ndimbo wameremeta
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1h7qLqYcU8Y/VCf-p1s0n9I/AAAAAAAGmTg/ES7hJR5lNu4/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
WADAU GASTO NA FEDERICA WAMEREMETA JIJINI ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-1h7qLqYcU8Y/VCf-p1s0n9I/AAAAAAAGmTg/ES7hJR5lNu4/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vLz_FxPPV-8/VCf-qudnOeI/AAAAAAAGmTs/2MMigcrb4yw/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TzQIilA_S4E/VCf-qi0FhEI/AAAAAAAGmTk/S74Uf5t2bMY/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lKPWIvlbggo/UuyQOblWEkI/AAAAAAAFKBU/5YR9nVX1j3Y/s72-c/unnamed+(13).jpg)
WADAU ALEX NA FLORA WAMEREMETA HUKO LINDI
Ilikuwa patashika nguo chanika katika sherehe ya Harusi ya Alex Mwalwiba na Flora Japher iliyofungwa katika kanisa la KKKT Mjini Lindi na baadaye mnuso wa nguvu katika ukumbi wa Lindi Beach hotel.
Bwana Harusi ni Fundi mkuu wa kampuni ya Uniglobex ya mjini lindi huku Bi Harusi akiwa mwajiriwa wa Jeshi la polisi Mkoani Lindi kitengo cha Usalama barabarani Sote kwa pamoja Tunawaombea Dua katika maisha yao Mapya ya Ndoa
Picha na Abdulaziz Video Rec Ya Mjini Lindi
Wadau Alex Mwalwiba...
![](http://2.bp.blogspot.com/-lKPWIvlbggo/UuyQOblWEkI/AAAAAAAFKBU/5YR9nVX1j3Y/s1600/unnamed+(13).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-SmUYSnPBP_I/VE5xqAsH9DI/AAAAAAAGtsk/lMEiUbXSLA4/s72-c/DSC_0209.jpg)
WADAU JOSEPHATH TENDEWA NA FIDES ASSENGA WAMEREMETA JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-SmUYSnPBP_I/VE5xqAsH9DI/AAAAAAAGtsk/lMEiUbXSLA4/s1600/DSC_0209.jpg)
Maharusi Josephath Tendewa na Fides Assenga wakiwa kwenye nyuso za furaha mara baada ya kumeremeta katika kanisa la Mtakatifu Joseph na baadae kufanyika kwa tafrija ya kuwapongeza iliyofanyika kwenye ukumbi wa Urafiki Social hall,Sinza jijini Dar.
![](http://4.bp.blogspot.com/-58HtLRRLymg/VE5x-by3mbI/AAAAAAAGtuI/Vyjp0nrGVvs/s1600/DSC_0024.jpg)
Maharusi wakiwa na wapambe wao.
KUONA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10