AZIZ HASHIM, ZAINAB WAMEREMETA
Mhariri Msaidizi wa Gazeti la Ijumaa Wikienda, Aziz Hashim, akiwa kwenye picha ya pamoja na mkewe Zainab Hashim, muda mfupi baada ya kufunga ndoa yao iliyofungwa nyumbani kwao na Zainab Tabata jijini Dar es Salaam leo mchana. Aziz Hashim akiwa amembeba mkewe Zainab kwa furaha.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Bht5MjHKzV8/Ux2muPb1z_I/AAAAAAAFSsI/cUlU_JTiQtw/s72-c/unnamed.jpg)
wadau sereki na zainab wameremeta
![](http://3.bp.blogspot.com/-Bht5MjHKzV8/Ux2muPb1z_I/AAAAAAAFSsI/cUlU_JTiQtw/s1600/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-twACV6AXhuc/Ux2mxlHM_XI/AAAAAAAFSsQ/RCmH0feLzo4/s1600/unnamed+(2).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oKLJi838WkM/Ux2mzr7D04I/AAAAAAAFSsY/l05bZc41ZME/s1600/unnamed+(9).jpg)
5 years ago
MichuziHashim Salum Hashim awa Kada wa 24 kuwania kiti cha Rais wa Zanzibar.
NA ANDREW CHALE, ZANZIBAR.MJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Hashim Salum Hashim (pichani) amekuwa Kada wa 24 kuchukua fomu ya kupata ridhaa ya chama chake ya kuwa Rais wa Zanzibar.
Hashim Salum Hashim aliwasili majira ya saa Sita mchana na kisha kuchukua fomu hiyo na baadae alioata kuongea na waandishi wa Habari.
Akizungumza alisema:
"Nimekuwa Mwana CCM kwa muda mrefu na kwa miaka 15 nimeweza kuwa katika nyadhifa za kichama hadi sasa ikiwemo Mjumbe wa Mkutano mkuu wa CCM...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-VpLNR4h3hgU/VKhR5EeaghI/AAAAAAADUO0/FPII7TtwhEI/s72-c/5e0662e706b455858250a25ddf4d48b5.jpg)
KUMBUKUMBU YA ZAINAB BUZOHELA
![](http://3.bp.blogspot.com/-VpLNR4h3hgU/VKhR5EeaghI/AAAAAAADUO0/FPII7TtwhEI/s1600/5e0662e706b455858250a25ddf4d48b5.jpg)
Sekunde dakika masaa siku wiki miezi imepita na leo ni mwaka tangu ulipoitwa na Mwenyezi Mungu (S.W.T). na kutuachia uchungu usioelezeka . Pengo ulilotuachia haliwezi kuzibika bali tunamshukuru Mungu kwani kazi yake haina makosa. Tunaendelea kumuomba akupumzishe kwa amani hadi hapo tutakapo kutana kwani sisi wote ni wapitaji.unakumbukwa na baba mzee Haroun mama Bi Rehema wadogo zako ndugu jamaa marafiki na wote waliokufahamu .unakumbukwa sana kwa ucheshi...
11 years ago
Tanzania Daima30 May
Rostam Aziz, afiwa na baba
ALIYEKUWA mbunge wa Igunga, Rostam Aziz, (CCM), amefiwa na baba yake Aziz Abdulrasool (73) jijini Dar es Salaam jana asubuhi. Akizungumza na gazeti hili nyumbani kwa marehemu Oysterbay jana, mtoto...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-593Chbwmm2E/VNjkh01EYWI/AAAAAAAHCqA/4SFOnrFeE-g/s72-c/unnamed%2B(57).jpg)
Mdau Zainab Mwinyijuma alamba nondozz yake
![](http://2.bp.blogspot.com/-593Chbwmm2E/VNjkh01EYWI/AAAAAAAHCqA/4SFOnrFeE-g/s1600/unnamed%2B(57).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-tDTjXtebOVQ/VNjkh_RUqPI/AAAAAAAHCp4/RErE-rGmiQw/s1600/unnamed%2B(58).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MchZNO0-F7E/VNjkh5uYUCI/AAAAAAAHCp8/IjsYKWHdGPI/s1600/unnamed%2B(59).jpg)
5 years ago
BBC09 Mar
Nigeria's Zainab Bulkachuwa retires after 45 years in the judiciary
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ygCJ9Y1d3fc/UuxMIaIZHnI/AAAAAAACZnM/5m1BqXUofBo/s72-c/Zainab.jpg)
AROBAINI YA MPENDWA WETU ZAINAB BUZOHERA DMV
![](http://3.bp.blogspot.com/-ygCJ9Y1d3fc/UuxMIaIZHnI/AAAAAAACZnM/5m1BqXUofBo/s1600/Zainab.jpg)
Dullah na familia ya Buzohera inawataarifu kisomo cha arobaini ya mpendwa wao Zainab Buzohera itakayofanyika siku ya Jumapili Feb 9, 2014 kuanzia saa 7 mchana mpaka saa 11 jioni (1pm-5pm) katika mgahawa wa Tabeer uliopo Langley Park chini ya Mirage Hall anuani ni 1401 University Blvd, Hyattsville, MD 20783. Tunaomba wakina baba mchangie vinywaji na akina mama mchangie chakula ili kufanikisha siku hii ambayo ilianzia saa, siku, wiki, mwezi na siku 10...
9 years ago
Habarileo08 Nov
Jabir Aziz alalama matokeo Mwadui
KIUNGO wa Mwadui FC ya Shinyanga, Jabir Aziz, amesema kiwango kinachooneshwa na timu yake kwenye mechi za Ligi Kuu hakiendani na ukubwa wa sifa walizokuwa nazo nje ya uwanja.
11 years ago
Habarileo12 Dec
Dk Aziz Mlima ateuliwa Balozi Malaysia
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Dk Aziz Ponary Mlima kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malaysia.