KUMBUKUMBU YA ZAINAB BUZOHELA
![](http://3.bp.blogspot.com/-VpLNR4h3hgU/VKhR5EeaghI/AAAAAAADUO0/FPII7TtwhEI/s72-c/5e0662e706b455858250a25ddf4d48b5.jpg)
Zainab Buzohera Enzi ya Uhai Wake.
Sekunde dakika masaa siku wiki miezi imepita na leo ni mwaka tangu ulipoitwa na Mwenyezi Mungu (S.W.T). na kutuachia uchungu usioelezeka . Pengo ulilotuachia haliwezi kuzibika bali tunamshukuru Mungu kwani kazi yake haina makosa. Tunaendelea kumuomba akupumzishe kwa amani hadi hapo tutakapo kutana kwani sisi wote ni wapitaji.unakumbukwa na baba mzee Haroun mama Bi Rehema wadogo zako ndugu jamaa marafiki na wote waliokufahamu .unakumbukwa sana kwa ucheshi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo27 Jul
Kati ya mambo ninayomkubali zaidi Dr Slaa ni KUMBUKUMBU. Jamaa ana kumbukumbu sana.
![](https://scontent-lga1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/s480x480/10401981_10206449526990889_6289542229888818994_n.jpg?oh=81839c90cb8deef7131498511492f2b8&oe=565CB2A8)
Afikirie "uchafu" wote waliosema Lowassa anao, bado aonekane "msafi kuwakilisha chama kuliko yeye"Ni hapo unapotamani uwe na SELECTIVE AMNESIASijui kuna sauti ngapi kichwani mwake sasa?Na sijui kama kuna inayomuasa kufanya "maamuzi magumu"?:
SOURCE.:.MUBELWA BANDIO
11 years ago
GPLAZIZ HASHIM, ZAINAB WAMEREMETA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Bht5MjHKzV8/Ux2muPb1z_I/AAAAAAAFSsI/cUlU_JTiQtw/s72-c/unnamed.jpg)
wadau sereki na zainab wameremeta
![](http://3.bp.blogspot.com/-Bht5MjHKzV8/Ux2muPb1z_I/AAAAAAAFSsI/cUlU_JTiQtw/s1600/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-twACV6AXhuc/Ux2mxlHM_XI/AAAAAAAFSsQ/RCmH0feLzo4/s1600/unnamed+(2).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oKLJi838WkM/Ux2mzr7D04I/AAAAAAAFSsY/l05bZc41ZME/s1600/unnamed+(9).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-593Chbwmm2E/VNjkh01EYWI/AAAAAAAHCqA/4SFOnrFeE-g/s72-c/unnamed%2B(57).jpg)
Mdau Zainab Mwinyijuma alamba nondozz yake
![](http://2.bp.blogspot.com/-593Chbwmm2E/VNjkh01EYWI/AAAAAAAHCqA/4SFOnrFeE-g/s1600/unnamed%2B(57).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-tDTjXtebOVQ/VNjkh_RUqPI/AAAAAAAHCp4/RErE-rGmiQw/s1600/unnamed%2B(58).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MchZNO0-F7E/VNjkh5uYUCI/AAAAAAAHCp8/IjsYKWHdGPI/s1600/unnamed%2B(59).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ygCJ9Y1d3fc/UuxMIaIZHnI/AAAAAAACZnM/5m1BqXUofBo/s72-c/Zainab.jpg)
AROBAINI YA MPENDWA WETU ZAINAB BUZOHERA DMV
![](http://3.bp.blogspot.com/-ygCJ9Y1d3fc/UuxMIaIZHnI/AAAAAAACZnM/5m1BqXUofBo/s1600/Zainab.jpg)
Dullah na familia ya Buzohera inawataarifu kisomo cha arobaini ya mpendwa wao Zainab Buzohera itakayofanyika siku ya Jumapili Feb 9, 2014 kuanzia saa 7 mchana mpaka saa 11 jioni (1pm-5pm) katika mgahawa wa Tabeer uliopo Langley Park chini ya Mirage Hall anuani ni 1401 University Blvd, Hyattsville, MD 20783. Tunaomba wakina baba mchangie vinywaji na akina mama mchangie chakula ili kufanikisha siku hii ambayo ilianzia saa, siku, wiki, mwezi na siku 10...
5 years ago
BBC09 Mar
Nigeria's Zainab Bulkachuwa retires after 45 years in the judiciary
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8cchjvigzt4/VNj-1dSOavI/AAAAAAAHCrs/GPusSPhOoJU/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
mdau Zainab Rajab Mwinyijuma alamba nondozzzz uingereza
![](http://1.bp.blogspot.com/-8cchjvigzt4/VNj-1dSOavI/AAAAAAAHCrs/GPusSPhOoJU/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZyMMGmkSK7Y/VNj-1ZPqnII/AAAAAAAHCr0/14Jrtl_TvzI/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-y1jDoyZNSUY/VNj-1sIrpII/AAAAAAAHCrw/VAE-ZT_2zeY/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
10 years ago
VijimamboKISOMO CHA MAREHEMU ZAINAB MUSSA CHAFANYIKA DMV
Ustaadh Mudy Mabenzi akiongoza kisomo cha mama yake Yasin Randi Marehemu Zanab Mussa kilichofanyika siku ya Jumampili Desemba 14, 2014 nyumbani kwao Hyattsville, Maryland nchini Marekani.
Ustaadh Ally Mussa aisaidiana na mauutadh wenzake katika kisomo na mpendwa mama yake Yasin Randi marehemu Zainab Mussa kilichofanyika siku ya Jumapili Desemba 14, 2014. Kushoto ni Abdul Sebo akifuatilia kisomo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1reAM5zdgJ0/Xk-Ujs8DBpI/AAAAAAALeqA/C1rPVMT_XgkFsrtuAgXEfXTTMqP-mStmQCLcBGAsYHQ/s72-c/bo6.jpg)
DK. ZAINAB CHAULA: MSD MSIKUBALI KUTOA DAWA BURE
![](https://1.bp.blogspot.com/-1reAM5zdgJ0/Xk-Ujs8DBpI/AAAAAAALeqA/C1rPVMT_XgkFsrtuAgXEfXTTMqP-mStmQCLcBGAsYHQ/s640/bo6.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/bo5.jpg)