Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUMBUKUMBU YA ZAINAB BUZOHELA

Zainab Buzohera Enzi ya Uhai Wake.
Sekunde dakika masaa siku wiki miezi imepita na leo ni mwaka tangu ulipoitwa na Mwenyezi Mungu (S.W.T). na kutuachia uchungu usioelezeka . Pengo ulilotuachia haliwezi kuzibika bali tunamshukuru Mungu kwani kazi yake haina makosa. Tunaendelea kumuomba akupumzishe kwa amani hadi hapo tutakapo kutana kwani sisi wote ni wapitaji.unakumbukwa na baba mzee Haroun mama Bi Rehema wadogo zako ndugu jamaa marafiki na wote waliokufahamu .unakumbukwa sana kwa ucheshi...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Kati ya mambo ninayomkubali zaidi Dr Slaa ni KUMBUKUMBU. Jamaa ana kumbukumbu sana.

Kati ya mambo ninayomkubali zaidi Dr Slaa ni KUMBUKUMBU.Jamaa ana kumbukumbu sana.Na nahisi hapo anamuangalia Lowassa na kukumbuka yote aliyowahi kusema juu yake.Kisha.......
Afikirie "uchafu" wote waliosema Lowassa anao, bado aonekane "msafi kuwakilisha chama kuliko yeye"Ni hapo unapotamani uwe na SELECTIVE AMNESIASijui kuna sauti ngapi kichwani mwake sasa?Na sijui kama kuna inayomuasa kufanya "maamuzi magumu"?:
SOURCE.:.MUBELWA BANDIO

 

11 years ago

GPL

AZIZ HASHIM, ZAINAB WAMEREMETA

Mhariri Msaidizi wa Gazeti la Ijumaa Wikienda, Aziz Hashim, akiwa kwenye picha ya pamoja na mkewe Zainab Hashim, muda mfupi baada ya kufunga ndoa yao iliyofungwa nyumbani kwao na Zainab Tabata jijini Dar es Salaam leo mchana. Aziz Hashim akiwa amembeba mkewe Zainab kwa furaha.…

 

11 years ago

Michuzi

wadau sereki na zainab wameremeta

 Wadau Sereki na Zainab wakila pozi baada ya kumeremeta hivi karibuni  Sereki na Zainab wakifurahia siku yao ya kwanza pamoja  Mmmmmmmwwwwwwwaaaaaaaa.... Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

10 years ago

Michuzi

Mdau Zainab Mwinyijuma alamba nondozz yake

Mdau Zainab Rajab Mwinyijuma (wa tatu kulia) akiwa na wahitimu wenzake wa BACHELOR OF SCIENCE IN NURSING" katika mahafali ya Chuo Kikuu cha The University Of Northampon,UK. Mdau Zainab Rajab Mwinyijuma akiwa na Mumewe pamoja na watotowao.Mdau Zainab Rajab Mwinyijuma akiwa na Mama.

 

11 years ago

Michuzi

AROBAINI YA MPENDWA WETU ZAINAB BUZOHERA DMV

Zainab Buzohera enzi ya uhai wake
Dullah na familia ya Buzohera inawataarifu kisomo cha arobaini ya mpendwa wao Zainab Buzohera itakayofanyika siku ya Jumapili Feb 9, 2014 kuanzia saa 7 mchana mpaka saa 11 jioni (1pm-5pm) katika mgahawa wa Tabeer uliopo Langley Park chini ya Mirage Hall anuani ni 1401 University Blvd,  Hyattsville, MD 20783. Tunaomba wakina baba mchangie vinywaji na akina mama mchangie chakula ili kufanikisha siku hii ambayo ilianzia saa, siku, wiki, mwezi na siku 10...

 

5 years ago

BBC

Nigeria's Zainab Bulkachuwa retires after 45 years in the judiciary

After 45 years in service, Justice Zainab Bulkachuwa is looking forward to her retirement.

 

10 years ago

Michuzi

mdau Zainab Rajab Mwinyijuma alamba nondozzzz uingereza

 Zainab Rajab Mwinyijuma akiwa anasubiria kuitwa kupokea nondozzz yake ya   "BACHELOR OF SCIENCE IN NURSING" katika  Chuo Kikuu cha The University Of Northampon Uingerezea akiwa na wahatimu wenziwe wikiendi hii  Zainab Rajab Mwinyijuma akiwa na mai hazbendi wake Mbegu Diego na familia yao baada ya kulamba nondozzzz yake Zainab Rajab Mwinyijuma akiwa na mama yake mzazi baada ya kulamba nondozzzz yake

 

10 years ago

Vijimambo

KISOMO CHA MAREHEMU ZAINAB MUSSA CHAFANYIKA DMV


Ustaadh Mudy Mabenzi akiongoza kisomo cha mama yake Yasin Randi Marehemu Zanab Mussa kilichofanyika siku ya Jumampili Desemba 14, 2014 nyumbani kwao Hyattsville, Maryland nchini Marekani.
Ustaadh Ally Mussa aisaidiana na mauutadh wenzake katika kisomo na mpendwa mama yake Yasin Randi marehemu Zainab Mussa kilichofanyika siku ya Jumapili Desemba 14, 2014. Kushoto ni Abdul Sebo akifuatilia kisomo.Ustaadh Abdulmalik akisaidiana na Ally Mussa na Mudy Mabenzi (hawapo pichani) kuongoza kisomo cha...

 

5 years ago

Michuzi

DK. ZAINAB CHAULA: MSD MSIKUBALI KUTOA DAWA BURE

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia wazee na watoto Dk. Zainab Chaula akizungumza na Julieth Mselle Afisa Huduma kwa wateja kutoka MSD wakati alipotembelea katika banda la taasisi hiyo katika Maadhimisho ya Siku ya Madaktari Tanzania ukumbi wa Julius Nyerere Posta. jijini Dar es salaamKatibu Mkuu wa Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia wazee na watoto Dk. Zainab Chaula akimsikiliza Julieth Mselle Afisa Huduma kwa wateja kutoka MSD wakati alipotembelea katika banda la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani