Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jabir Aziz alalama matokeo Mwadui

KIUNGO wa Mwadui FC ya Shinyanga, Jabir Aziz, amesema kiwango kinachooneshwa na timu yake kwenye mechi za Ligi Kuu hakiendani na ukubwa wa sifa walizokuwa nazo nje ya uwanja.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Rage alalama Simba

Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage amesema amesikitishwa na madai kuwa hakuhusika na ushindi dhidi ya Yanga.

 

10 years ago

BBCSwahili

Putin alalama kuwekewa vikwazo

Rais wa Urusi Vladmir Putin amesema Marekani na Umoja wa Ulaya, EU hautaathiri Urusi tu pekee isipokua uchumi wa Dunia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nesi wa Ebola alalama alivyotengwa

Muuguzi aliyetengwa aliporejea nchini Marekani baada ya kuwatibu wagonjwa wa ebola nchini Sierra Leone amelalamikia .

 

10 years ago

BBCSwahili

Ubaguzi wa rangi:Gyan alalama

Mshambuliaji wa timu ya Ghana Asamoah Gyan amemshtumu mchezaji wa timu ya Al Hilal Mihai Pintilii kwa kum'bagua.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wabunge njaa kali, Spika alalama

WAKATI Serikali ikipongezwa kupunguza madeni ya walimu, imetakiwa pia kulipa madeni ya wabunge ambayo wanadai muda sasa. Kauli ya kuitaka Serikali kuwalipa wabunge ilitolewa jana mjini hapa na Naibu Spika,...

 

10 years ago

Vijimambo

Nesi wa Ebola alalama alivyotengwa-BBC


Muuguzi aliyetengwa aliporejea nchini Marekani baada ya kuwatibu wagonjwa wa ebola nchini Sierra Leone amelalamikia jinsi alivyohudumiwa.

Sheria mpya zilizotangazwa na majimbo matatu nchini Marekani yakiwemo New York , New Jersey na Illinois zinamaanisha kuwa kila mtu anayerejea kutoka nchi yoyote ya Afrika magharibi iliyoathirika na ugonjwa wa ebola, na huenda amekaribiana na wale walio na ugonjwa huo ni lazima awekwe kwenye karantini kwa muda wa wiki tatu

Kaci Hickox anasema kuwa hali...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mourinho alalama kuhusu sare na Burnley

Mkufunzi wa kilabu ya Chelsea Jose Mourinho amelaumu visa vinne vilivyosababisha kilabu yake kushindwa kuifunga Burnley.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mourinho: Alalama kurekodiwa kwa siri

Kocha wa timu ya Chelsea, Jose Mourinho ameshutumu tabia ya kurekodi kwa siri mazungumzo binafsi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani