Jabir Aziz alalama matokeo Mwadui
KIUNGO wa Mwadui FC ya Shinyanga, Jabir Aziz, amesema kiwango kinachooneshwa na timu yake kwenye mechi za Ligi Kuu hakiendani na ukubwa wa sifa walizokuwa nazo nje ya uwanja.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Rage alalama Simba
Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage amesema amesikitishwa na madai kuwa hakuhusika na ushindi dhidi ya Yanga.
10 years ago
BBCSwahili14 Nov
Putin alalama kuwekewa vikwazo
Rais wa Urusi Vladmir Putin amesema Marekani na Umoja wa Ulaya, EU hautaathiri Urusi tu pekee isipokua uchumi wa Dunia.
10 years ago
BBCSwahili26 Oct
Nesi wa Ebola alalama alivyotengwa
Muuguzi aliyetengwa aliporejea nchini Marekani baada ya kuwatibu wagonjwa wa ebola nchini Sierra Leone amelalamikia .
10 years ago
BBCSwahili01 Oct
Ubaguzi wa rangi:Gyan alalama
Mshambuliaji wa timu ya Ghana Asamoah Gyan amemshtumu mchezaji wa timu ya Al Hilal Mihai Pintilii kwa kum'bagua.
10 years ago
Tanzania Daima06 Nov
Wabunge njaa kali, Spika alalama
WAKATI Serikali ikipongezwa kupunguza madeni ya walimu, imetakiwa pia kulipa madeni ya wabunge ambayo wanadai muda sasa. Kauli ya kuitaka Serikali kuwalipa wabunge ilitolewa jana mjini hapa na Naibu Spika,...
10 years ago
Vijimambo26 Oct
Nesi wa Ebola alalama alivyotengwa-BBC
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2014/10/07/141007152912_nurse_ebola_spain_512x288_reuters.jpg)
Muuguzi aliyetengwa aliporejea nchini Marekani baada ya kuwatibu wagonjwa wa ebola nchini Sierra Leone amelalamikia jinsi alivyohudumiwa.
Sheria mpya zilizotangazwa na majimbo matatu nchini Marekani yakiwemo New York , New Jersey na Illinois zinamaanisha kuwa kila mtu anayerejea kutoka nchi yoyote ya Afrika magharibi iliyoathirika na ugonjwa wa ebola, na huenda amekaribiana na wale walio na ugonjwa huo ni lazima awekwe kwenye karantini kwa muda wa wiki tatu
Kaci Hickox anasema kuwa hali...
10 years ago
BBCSwahili22 Feb
Mourinho alalama kuhusu sare na Burnley
Mkufunzi wa kilabu ya Chelsea Jose Mourinho amelaumu visa vinne vilivyosababisha kilabu yake kushindwa kuifunga Burnley.
11 years ago
BBCSwahili25 Feb
Mourinho: Alalama kurekodiwa kwa siri
Kocha wa timu ya Chelsea, Jose Mourinho ameshutumu tabia ya kurekodi kwa siri mazungumzo binafsi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania