Wafanyakazi, machinga waikana CCM
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
CHAMA cha Wafanyakazi wa Sekta ya Uchukuzi na Mawasiliano (COTWU T), kimesema hakijaridhishwa na mchakato wa kuwapata wabunge wa viti maalum kupitia kundi la wafanyakazi kwa kuwa mchakato huo ulikuwa wa kificho hivyo hakitambui uteuzi huo.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa COTWU (T), Mathias Mjema alisema wao kama wanachama wameshangazwa na uteuzi wa wabunge Angellah Kairuki (DSM) na Hawa Chakoma (Pwani) kwa kuwa hakukuwa na ushirikishwaji...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
Machinga, bodaboda kuisulubu CCM
WAFANYABIASHARA ndogo ndogo ‘machinga’, mamantilie, waendesha pikipiki ‘Bodaboda’ na walemavu jijini Dar es Salaam, wameapa kutokipigia kura Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika chaguzi zijazo ukiwemo uchaguzi mkuu mwakani. Wakizungumza kwa...
9 years ago
Daily News04 Sep
Soft loans for 'machinga' on CCM poll wish list
Daily News
SMALL traders in Dar es Salaam, street hawkers and food vendors, are set to benefit from low interest loans from selected banks in the city. CCM Union presidential running mate Ms Samia Suluhu Hassan said in Charambe when addressing a public rally in ...
11 years ago
Tanzania Daima18 Apr
Machinga watakiwa kwenda Machinga Complex
WAFANYABIASHARA wadogowadogo ‘machinga’ walioondolewa katika maeneo yasiyo rasmi jijini Dar es Salaam wametakiwa kwenda kufanyia biashara zao katika jengo la Machinga Complex. Mwenyekiti wa Bodi ya Usimamizi ya Machinga Complex,...
11 years ago
Mtanzania07 Aug
Kinana ataka CCM kuwa karibu na wafanyakazi
![Abdulrahman Kinana](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Abdulrahman-Kinana.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana
NA DEBORA SANJA, DODOMA
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amesema chama hicho kinatakiwa kuwa karibu na wafanyakazi na kutetea masilahi yao.
Kinana alitoa kauli hiyo mjini hapa jana katika hafla ya kukabidhiwa kadi ya uanachama kutoka Chama cha Wafanyakazi wa Hifadhi, Hotelini, Majumbani, Huduma za Jamii na Ushauri (CHODAWU) iliyofanyika katika Ukumbi wa CCM Makao Makuu.
Alisema mara nyingi wafanyakazi wamekuwa wakijitetea...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/pmfRDHCmruk/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-09nKsGzAzno/U2oXWqf-VyI/AAAAAAAFgHQ/d8WqnGsW9D8/s72-c/unnamedU.jpg)
DKT. BILAL AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA VIONGOZI WA CCM NA WAFANYAKAZI WA KIWANDA CHA MGOLOLO (W) MUFINDI, IKULU DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-09nKsGzAzno/U2oXWqf-VyI/AAAAAAAFgHQ/d8WqnGsW9D8/s1600/unnamedU.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-GWk_ENaygPA/U2oXWgYuR8I/AAAAAAAFgHM/emxu7spuAoI/s1600/unnamedI.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lQlwXT3A0WY/VVCjZPpkADI/AAAAAAAAAfc/8kYjlUkg5Pg/s72-c/IMG_9237.jpg)
WAFANYAKAZI WA CHUO CHA UTALII NCHINI WAUNDA BARAZA LA WAFANYAKAZI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-lQlwXT3A0WY/VVCjZPpkADI/AAAAAAAAAfc/8kYjlUkg5Pg/s640/IMG_9237.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HhmYtWT8pac/VVCskTnEQ5I/AAAAAAAAAf8/tbURmo3pEnA/s640/IMG_9242.jpg)
11 years ago
Dewji Blog01 May
Wafanyakazi wa wizara ya uchukuzi washerehekea vema siku ya wafanyakazi Duniani jijini Dar
Sehemu ya wafanyakazi wa wizara ya Uchukuzi, wakiwa wamejipanga tayari kwa ajili ya kushiriki katika maandamano ya siku ya wafanyakazi Duniani yaliyofanyika Kitaifa Jijini Dar es Salaam, katika Uwanja Wa Taifa, jijini Dar es Salaam leo Asubuhi.
Sehemu ya Wafanyakazi wa Wizara ya Uchukuzi, wakikimbia katika maandamano ya Siku ya Wafanyakazi Duniani yaliyofanyika Kitaifa Jijini Dar es Salaam, katika Uwanja Wa Taifa,jijini Dar es Salaam leo Asubuhi.
Wafanyakazi wa Wizara ya Uchukuzi wakitoa...