Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wagoma wakitaka marufuku kuondolewa Lamu

Wafanyibiashara na wakaazi wa Lamu kusini mwa Kenya wamefanya mgomo kuhusu kuongezwa kwa mda wa marufuku ya kutotoka nje

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wagoma kulipa ushuru wakitaka soko lisafishwe

Wafanyabiashara katika Soko la Sido jijini Mbeya, juzi waligoma kulipa ushuru, wakishinikiza kwanza halmashauri ya jiji kuondoa taka.

 

11 years ago

Habarileo

Majambazi washtukiwa wakitaka kupora benki

POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linaendelea kuwatafuta watu watano wanaosadikiwa kuwa ni majambazi waliofika katika Benki ya Stanbic tawi la Kariakoo juzi mchana kwa lengo la kufanya uporaji.

 

10 years ago

Mtanzania

Sitta: Watanzania wakitaka nitakuwa rais

Samuel Sitta

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta

NA RACHEL MRISHO, DODOMA

MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, jana ametumia mwamvuli wa Bunge hilo kujipigia debe la urais na kudai kuwa ana sifa za kuliongoza taifa.

Akiwa katika kikao cha 31 cha mjadala wa wazi wa Bunge Maalumu la Katiba mjini hapa, Sitta alisema baadhi ya watu wameanza kumwandama wakidai kuwa kutokana na anavyoliongoza Bunge hilo ameonyesha kuwa hana sifa ya kuwa...

 

10 years ago

Habarileo

Walimu wasusia kikao wakitaka posho

WALIMU 175 wa masomo ya sayansi mkoani Simiyu wameingia kwenye mgomo wa kutoshiriki semina iliyokuwa ikiendelea wilayani Bariadi kwa kutofahamu kiasi cha posho watakacholipwa.

 

11 years ago

TheCitizen

Leaders differ over Lamu curfew

A dusk-to-dawn curfew imposed on Lamu county by Inspector-General of Police David Kimaiyo has elicited mixed reactions among leaders in the area.

 

11 years ago

BBCSwahili

Washambuliaji waleta maafa Lamu

Watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa Al Shabaab wameshambulia eneo la Mpeketoni na kuwaua 48

 

11 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji washambulia Lamu - Kenya

Pwani ya Kenya yashambuliwa na wapiganaji wanaoshukiwa kuwa wa kiislamu

 

11 years ago

BBCSwahili

Mashambulizi mengine yatokea Lamu

Watu waliojihami wamevamia kijiji cha Pandanguo katika Kaunti ya Lamu Pwani ya Kenya na kuteketeza nyumba pamoja na shule.

 

11 years ago

BBCSwahili

Gavana wa Lamu Kenya amekamatwa

Serikali ya Kenya imekamata gavana wa jimbo lililokumbwa na mapigano yaliyosababisha vifo vya watu 65

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani