Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wagonga Nyundo wa Keko wamponza Sure Boy Azam

KIUNGO mahiri wa Azam FC ‘Wanalambalamba’, Salum Abubakar ‘Sure Boy’ ameingia matatani na viongozi wake baada ya kudaiwa kucheza ‘ndondo’ kwenye Uwanja wa Bandari, Tandika jijini Dar es Salaam. Benchi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wagombea urais CCM wagonga 40

Dodoma/Dar. Mtafiti binafsi na kada wa CCM, Helena Elinawinga (41), amejitokeza kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa na chama chake kuwania urais na kusema amefikia uamuzi huo ili kupunguza kujirudiarudia kwa adhabu za vifo kwa viongozi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ndugu washtakiwa ugaidi wagonga mwamba

MAHAKAMA Kuu ya Vuga mjini hapa, imetupilia mbali ombi la dharura lililofunguliwa na jamaa wa watuhumiwa wanaoshitakiwa kwa makosa ya ugaidi katika mahakama za Tanzania Bara. Akisoma uamuzi huo, Jaji...

 

11 years ago

Mwananchi

Madiwani wanane Bukoba wagonga mwamba kortini

Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi Mkoa wa Kagera, imewataka madiwani wanane waliofunguliwa kesi ya kupoteza sifa kuwasilisha hoja mpya za utetezi baada ya mahakama hiyo kutamka kuwa ina mamlaka kisheria kusikiliza shauri lao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Riadha wajichimbia Keko

WANARIADHA wa timu ya taifa itakayoshiriki mashindano ya Jumuiya ya Madola mjini Glasgow, Scotland kuanzia Julai 23 hadi Agosti 3, wamepiga kambi eneo la Keko, jijini Dar es Salaam huku...

 

9 years ago

GPL

MUME ALIVYOMUUA MKEWE KWA NYUNDO!

Na Mohemed Shabani, Manyara DUNIA inazidi kufikia ukingoni! Mwanaume mmoja aliyejulikana kwa jina la Paulo Mahinda, 40, (pichani), mkazi wa Kijiji cha Ndaleta wilayani Kiteto, Manyara anatafutwa na jeshi la polisi wilayani hapa kwa madai ya kumuua mke wake, Mariam Samuel (45) hivi karibuni kwa kumpiga na nyundo kwenye paji la uso, pia kumjeruhi mtoto wake wa mwaka mmoja.  Marehemu Mariam Samuel enzi za uhai wake. Taarifa za...

 

11 years ago

GPL

MKE: MUME WANGU AKACHUKUA NYUNDO...

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro DAH! Inasikitisha sana jamani. Faustina Selali, 38, mkazi wa Mgeta, Mvomero mkoani hapa, yupo kwenye mateso makali akijiuguza kutokana na kipigo alichopata kutoka kwa mumewe wa ndoa aliyemtaja kwa jina la Lugasiani John Miasiku, kisa kikiwa ni mumewe huyo kutaka kuoa mke wa pili. Faustina Selali,akiwa katika maumivu makali baada ya kushambuliwa na mumewe. Mwanamke huyo amelazwa katika wodi...

 

9 years ago

Bongo Movies

BASATA Kumtwanga Nyundo Nyingine Shilole!

Shilole anaweza akawa anafurahia bata za Marekani baada ya kutumbuiza kwenye show nchini humo, lakini bado BASATA haijamalizana naye.

Katibu Mtendaji wa baraza la sanaa la taifa, BASATA, Geofrey Mngereza ameiambia Radio 5 ya Arusha kuwa adhabu aliyopewa Shilole ya kufungiwa kutojihusisha kwenye masuala ya sanaa kwa mwaka mmoja haijafutwa.

Mngereza alidai kuwa adhabu iliyotolewa kwa Shilole imetokana na sheria na kanuni zilizotokana na bunge na kwamba kwa sasa wanakusanya ushahidi ili...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Polisi jamii Keko wahujumiana

POLISI Jamii wa Keko Toroli wamekilamikia kitendo cha askari wa kituo cha polisi Chang’ombe jijini Dar es Salaam kushindwa kufikisha watuhumiwa mahakamani. Hatua hiyo imetokana na polisi jamii hao, Mansul...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani