Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wahadharishwa kutochukua sheria mikononi

WANANCHI katika Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma wametakiwa kuelewa umuhimu wa kutatua migogoro kwa majadiliano na mashauriano badala ya kujichukulia sheria mkononi. Hayo yalibainishwa juzi na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) David Misime alipofanya ziara ya kutembelea tarafa nne za Wilaya ya Kondoa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: HAYA YATAKUSAIDIA UWAPO MIKONONI MWA POLISI

Na  Bashir  Yakub.
1.JE  KITU  GANI  KIFANYKE  ASKARI  ANAPOKUNYIMA  DHAMANA.
Kwanza  ieleweke  kuwa  dhamana  ni  haki  yako. Haki  ni  jambo  la  lazima.  Haki  ya  dhamana  inaruhusiwa  kunyimwa  katika  makosa  machache  sana kwa  mfano  uhaini, wizi  wa  silaha,  mauaji n.k.  Makosa  mengine  madogo madogo hasa  haya  ya kila  siku  ya  kutukana,  kudhalilisha, kupigana,  ajali ndogo, wizi  usio  wa  silaha, na  mengine   dhamana  ni  lazima.  Hata  hivyo  makosa ambayo  hayaruhusiuwi...

 

9 years ago

StarTV

 Mbunge wa Singida Magharibi atangaza kutochukua posho za  vikao vya bunge

Mbunge wa Singida Magharibi kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Elibariki Kingu ametangaza azma yake ya kutochukua posho za vikao vya Bunge kwa muda wa miaka mitano ili fedha hizo zikasaidie wananchi wake.

Uamuzi huo umekuja kwa kile alichodai kuwa, Serikali imekuwa ikitumia fedha nyingi kugharamia mahitaji yasiyo ya lazima ikiwa ni pamoja na posho hizo wakati hayo yote ni sehemu ya majukumu yao.

Mbunge wa Singida Magharibi, Elibariki Kingu akitoa mchanganuo wa fedha anazolipwa Mbunge mmoja kwa...

 

9 years ago

Habarileo

Bahi wahadharishwa magonjwa ya mlipuko

MKUU wa Wilaya ya Bahi, Francis Mwonga, ametaka wananchi kuchukua tahadhari dhidi magonjwa ya mlipuko yanayoweza kujitokeza katika kipindi hiki cha majanga yanayotokana na mvua.

 

10 years ago

Habarileo

Wananchi wahadharishwa kuwa makini

Msemaji wa Polisi, Advera Bulimba JESHI la Polisi nchini, limetoa tahadhari kwa wananchi kuwa makini katika suala zima la ulinzi na usalama wa maisha na mali zao.

 

10 years ago

Habarileo

Wananchi wahadharishwa kuwa majini

Msemaji wa Polisi, Advera Bulimba JESHI la Polisi nchini, limetoa tahadhari kwa wananchi kuwa makini katika suala zima la ulinzi na usalama wa maisha na mali zao.

 

9 years ago

Habarileo

Wahadharishwa kujenga eneo la hospitali

WANANCHI wanaoishi karibu na eneo lililotengwa kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali ya Rufaa katika kijiji cha Binguni, Wilaya ya Kati Unguja wametakiwa kutolitumia eneo hilo kwa shughuli yoyote ya ujenzi kujiepusha na hasara inayoweza kuwapata.

 

11 years ago

Habarileo

Wahadharishwa kutojiunga na mifuko ya hifadhi kiholela

WALIMU wapya wameshauriwa kutokubali kuandikishwa kuingia kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii katika mazingira yasiyo rasmi na badala yake wafike katika ofisi za wakurugenzi zilizoko katika halmashauri walizopangiwa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Yondani mikononi mwa TFF

BENCHI la ufundi la timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars chini ya kocha wake Mart Nooij, limesema halitambui sababu za beki wa timu hiyo Kelvin Yondani kushindwa kwenda kambini,...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mbowe mikononi mwa polisi

JOPO la Mawakili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), na wanachama wa chama hicho, leo wamepanga kumsindikiza mwenyekiti wao Freeman Mbowe aliyeitwa Makao Makuu ya Polisi kwa ajili ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani