Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wahamiaji sharti waongee kijerumani nyumbani

Wahamiaji wanaokimbilia Ujerumani wanashurutishwa kuzungumza kijurumani sio tu katika maeneo ya umma bali pia katika nyumba zao.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mataifa ya Ulaya sharti yawapokee wahamiaji

Rais wa tume ya Ulaya Jean Claude Juncker, alizitaka nchi za muungano wa ulaya kuwapa makao wakimbizi 160,000

 

10 years ago

Dewji Blog

TPB yasaini ushirikiano na Benki ya Kijerumani

Germany?s Kreissparkasse Tubingen' s Chief executive officer, Dr. Christoph Gogler, (2nd ?L), presents a dummy cheque worth 2,000 Euro, to the Director General of Tanzania Postal Bank, (TPB), Sabasaba Moshingi, during a short ceremony held at TPB?s head office in Dar es Salaam yesterday. The two finance institutions have signed agreements under which, German?s Kressparkasse, will provide technical skills to improve customer service among TPB staff as the money will be used for the same. Withthem is Claus Thiele also from Germany. (Photo: Khalfan Said)

Ofisa Mtendaji Mkuu wa benki ya Kijerumani ya Kreissparkasse Tubingen, Christoph Gogler, (wapili kushoto0, akimkabidhi mfano wa hundi ya euro 2,000, mkurugenzi mkuu wa TPB, Sabasaba Moshingi katika hafla fupi iliyofanyika makao makuu ya TPB, jijini Dar es Salaam, Jumatanoi Feb 12, 2015. Benki hiyo ya Kijerumani na TPB, pia wamesaini makubaliano ya ushirikiano baina yao.

Mkurugenzi Mkuu wa TPB, Sabasaba Moshingi, (Kulia), na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Kijerumani ya Kreissparkasse Tubingen, Christoph Gogler wakitia saini makubaliano ya ushirikiano baina ya taasisi hizo mbili za kifedha malao makuu ya TPB, jijini Dar es Salaam, Jumatano Feb. 11, 2015. Ujerumani itakuwa ikitoa mafunzo kwa wafanyakazi wa TPB ili kuwajengea uwezo katika fani mablimbali hsusan huduma kwa wateja. Pia taasisi hiyo imeipatia TPB eURO 2,000 kwa madhumuni hayo hayo.

Mkurugenzi Mkuu wa TPB, Sabasaba Moshingi, (Kulia), na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Kijerumani ya Kreissparkasse...

 

10 years ago

Michuzi

BALOZI KAMALA AKUTANA NA WAZIRI MKUU WA SERIKALI YA WABELGIJI WANAOZUNGUMZA KIJERUMANI

Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji,Dk. Diodorus Buberwa Kamala akiwa katika picha ya pamoja na Waziri Mkuu wa Serikali ya Wabelgiji Wanaozungumza Kijerumani,Mhe. Oliver Paasch,wakati alipokutana nae leo ofisini kwake jijini Eupen Ubelgiji.
Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji,Dk. Diodorus Buberwa akimkabidhi zawadi Waziri Mkuu wa Serikali ya Wabelgiji Wanaozungumza Kijerumani,Mhe. Oliver Paasch baada ya kumaliza mazungumzo naye ofisini kwake Eupen Ubelgiji.

 

10 years ago

Vijimambo

UJUMBE WA TAASISI YA KIJERUMANI YA HANNS SEIDEL FOUNDATION WAITEMBELEA OFISI YA RAIS,MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mh. Celina O. Kombani (Mb) akiwakaribisha ofisini kwake Mkuu wa Taasisi ya Ujerumani iitwayo Hanns Seidel Foundation kwa Afrika na ukanda wa Sahara Bw. Claus Liepert (wa pili kushoto) pamja na mwakilishi mkazi wa taasisi hiyo hapa Tanzania Bi. Julia Gabler (wa kwanza kushoto).Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mh. Celina O. Kombani (Mb) akiwa katika mazungumzo na wawakilishi wa Taasisi ya Hanns...

 

10 years ago

Michuzi

ujumbe wa Taasisi ya Kijerumani ya Hanns Seidel Foundationwatembelea Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma leo.

 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mh. Celina O. Kombani (Mb) akiwakaribisha ofisini kwake  Mkuu wa Taasisi ya Ujerumani iitwayo Hanns Seidel Foundation  kwa Afrika na ukanda wa Sahara Bw. Claus Liepert (wa pili kushoto) pamja na mwakilishi mkazi wa taasisi hiyo hapa Tanzania Bi. Julia Gabler (wa kwanza kushoto).

 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Mh. Celina O. Kombani (Mb) akiwa katika mazungumzo na wawakilishi wa Taasisi ya Hanns...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wabunge sharti waitwe 'Waheshimiwa' Kenya

Wakenya wanakabiliwa na tisho la kufungwa jela mwaka mmoja au kulipa faini ya shilingi milioni mbili au dola 23,000 kwa kukosa kumuita mbunge 'mheshimiwa' unapozungumza naye.

 

11 years ago

BBCSwahili

Keqiang asema mageuzi ni sharti China

Waziri mkuu wa Uchina Li Keqiang amesema uchina ni sharti itekeleze mageuzi ya kiuchumi, japo ni ujungu kufanya hivyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

US:Sudan Kusini sharti ihakiki Makubaliano

Marekani yaonya kuwa itachukua hatua kali dhidi ya pande zote

 

10 years ago

Habarileo

TGNP wapinga sharti la elimu ubunge

WANAHARAKATI wa masuala ya jamii na washiriki wa mafunzo ya jinsia na maendeleo yanayoratibiwa na Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), wametaka rasimu mpya ibadilishe sifa ya ubunge kuwa kidato cha nne badala ya kujua kusoma na kuandika pekee.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani