Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAIMBA INJILI WALIOTESWA NA NDOA

KWA kawaida, watumishi wa kanisa au watu wanaofuata sana maadili ya dini, huchukuliwa kuwa ndiyo mifano bora katika jamii nyingi duniani. Hawa ni pamoja na Mashehe, Mapadre, Wachungaji, Waimba Injili na wengine wa aina hiyo. Hata hivyo, kibinadamu, baadhi yao hushindwa kuhimili, kuvumilia au kukabiliana na matatizo yanayotokea katika ndoa zao na kujikuta wakiridhia kufarakana, licha ya kuwa huwa tayari wameshaanzisha familia zenye...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WAIMBA INJILI WANA NINI?

Stori:Na Mwandishi Wetu
MENGI yameibuka kufuatia waimba Injili Bongo kukumbwa na kashfa mbalimbali zikiwemo ndoa zao kuvunjika, madai ya kuchepuka, kupata ujauzito nje ya ndoa na matumizi ya madawa ya kulevya, Uwazi limechimba na kuchimbua. Janet Mreme akiwa na mume wake Jonas Mrema. BADO JINAMIZI LA KUVUNJA NDOA LAWAANDAMA
Mpaka sasa, waimba Injili wanawake wameshakumbwa na mikasa mbalimbali lakini mpya kabisa ni madai ya...

 

10 years ago

GPL

WAIMBA INJILI WAMTENGA ROSE MHANDO

STORI: Mwandishi Wetu/Amani MAZITO tena! Kufuatia madai ya kuchoropoa mimba ya miezi saba kulikodaiwa kufanywa na mwimba Injili nyota Bongo, Rose Mhando, baadhi ya waimbaji wenzake wamesema hawawezi kuwa naye karibu tena katika huduma. Mwimba Injili nyota Bongo, Rose Muhando. Wakizunguza na Amani kwa nyakati tofauti, waimba Injili hao walioomba majina yao kupigwa ‘kufuli’ walisema, kama kweli Rose aliitoa mimba ile...

 

11 years ago

GPL

AJALI, VIFO KWA WAIMBA INJILI UCHAWI WATAJWA

Gladness Mallya na Chande Abdallah
KUTOKANA na ajali na vifo kwa muziki wa Injili vilivyotokea hivi karibuni, imedaiwa kuwa baadhi vimetokana na uchawi.Baada ya kuzagaa kwa habari hizo, mapaparazi wetu walimtafuta Rais wa Chama cha Muziki wa Injili, Addo Novemba ambapo alikiri kuwa kweli uchawi upo na unahusika. Rais wa Chama cha Muziki wa Injili, Addo Novemba. “Kwenye msafara wa mamba hata kenge wapo, hili la uchawi...

 

10 years ago

GPL

FLORA IMARISHA NDOA YAKO?, ?INJILI ITANOGA KWELI?!?

BWANA Yesu asifiwe dada yangu! Habari za siku nyingi na pole na mishemishe zako za kila siku, Mungu ni mwema, natumai anazidi kukubariki na unazidi kupambana na maisha.Binafsi namshukuru Mungu, sijambo naendelea na shughuli zangu kama kawaida. Hofu na mashaka ni kwako wewe uliye mbali na mboni za macho yangu. Dhumuni la barua hii ni kutaka kuzungumza na wewe juu ya mustakabali wa muziki wako wa Injili ambao mimi pamoja na...

 

10 years ago

GPL

TATIZO NI WANAWAKE WENYE MSHIKO AU WALIOTESWA?

Kuna tatizo moja la msingi sana limekuwa likisemwa kuhusu uhusiano wa kimapenzi na wanawake wenye uwezo wa kifedha, kwamba mapenzi yao mara nyingi yamejaa dharau. Sina uhakika na hili ndiyo maana nimeuliza hapo juu, lakini katika maisha halisi, zipo dalili za ukweli zinazoakisi jambo hili, hasa kutokana na uzoefu wa maisha ya kibantu yalivyo. Katika jamii yetu, tumeukuta utamaduni wa mwanamke kuwa tegemezi kwa mwanaume, kwamba...

 

10 years ago

Mtanzania

Khadija Kopa: Waimba taarabu wa sasa wamejaa woga na chuki

NA FESTO POLEA
MWIMBAJI wa Taarabu, Khadija Kopa (Malikia Khadija Kopa) ameweka wazi kwamba waimbaji wa taarabu wa siku hizi wanaongozwa na wivu, woga na chuki, ndiyo maana taarabu inaonekana kufa.
Khadija Kopa alisema hayo jana, alipotembelea ofisi za New Habari (2006) Ltd, Sinza Kijiweni, inayochapisha magazeti ya Bingwa, Dimba, Mtanzania, The African na Rai.
“Wasanii wa taarabu wa sasa wanajenga sana chuki, tofauti na sisi wa zamani tulikuwa tunatengeneza biashara kutokana na ushindani...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: MKE ASIYE WA NDOA NA MTOTO WA NJE YA NDOA HAWARITHI KISHERIA

Na  Bashir  Yakub.
Kumekuwepo  na utata  mkubwa  kuhusu  urithi  wa  mali  za  marehemu  hasa  inapotokea  kuwa  marehemu  alikuwa  na  mke   zaidi  ya mmoja  na  hapohapo  watoto  wanaotokana  na  mama  tofauti.  Tumeshashuhudia  magomvi  makubwa  misibani   lakini  pia  tumeshuhudia  na  tunaendelea kushuhudia  utitiri  wa mashauri  kuhusu  mkanganyiko  wa  mali za marehemu ambaye  familia  yake  ni  ya watoto  wanatokana  na  mama  tofauti. Kutokana  na  hayo  kuna umuhimu  mkubwa  wa...

 

5 years ago

Michuzi

DKT.MAGUFULI ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA CCM...WANA CCM WAIMBA 'MAGUFULI BABA LAOO'


Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
RAIS Dk.John Magufuli amechukua fomu ya kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) leo Juni 17,mwaka 2020 katika Makao ya Chama hicho Jijini Dodoma.
Dk.Magufuli anachukua fomu hiyo kwa ajili ya kuomba tena ridhaa ya kugombea nafasi hiyo kwa tiketi ya CCM ikiwa ni awamu ya pili baada ya kumaliza awamu ya kwanza ya miaka mitano iliyoanzia mwaka 2015 mpaka mwaka 2020.Uchuguzi Mkuu mwaka huu unatarajia kufanyika...

 

10 years ago

Dewji Blog

Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971, chanzo cha ongezeko la mimba na ndoa za utotoni nchini

x

Mratibu wa Utetezi Taifa, SOS Tanzania/Zanzibar, John Batista, akizungumza katika Mdahalo wa Nijali uliolenga ndoa za utotoni na mimba za utotoni  kwa kushirikisha Chama cha Waandishi wa Habari za Watoto, (TAJOC) na wengine, uliofanyika leo katika Hoteli Regency jijini Dar es Salaam.

Na Andrew Chale, Modewjiblog.com

Imeelezwa kuwa, kuongezeka kwa ndoa za utotoni inatokana na sheria ya ndoa ya mwaka 1971 kuendelea kutumika wakati hali yake ni mbaya kwa watoto wakike kushindwa kufikia ndoto...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani