Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FLORA IMARISHA NDOA YAKO?, ?INJILI ITANOGA KWELI?!?

BWANA Yesu asifiwe dada yangu! Habari za siku nyingi na pole na mishemishe zako za kila siku, Mungu ni mwema, natumai anazidi kukubariki na unazidi kupambana na maisha.Binafsi namshukuru Mungu, sijambo naendelea na shughuli zangu kama kawaida. Hofu na mashaka ni kwako wewe uliye mbali na mboni za macho yangu. Dhumuni la barua hii ni kutaka kuzungumza na wewe juu ya mustakabali wa muziki wako wa Injili ambao mimi pamoja na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

SHOGA; MAMA YAKO ASIKUINGILIE KWENYE NDOA YAKO

Shoga, awali ya yote napenda kuwapongeza wote waliojitokeza katika zoezi la kupiga kura juzi kwani wameitumia vyema haki yao ya kidemokrasia kikubwa sasa kusubiri Tume ya Taifa ya Uchaguzi kumtangaza mshindi wa kiti cha urais ili tuendelee na maisha yetu ya kawaida. Leo shoga yangu nimeona nizungumze nawe mwenzangu uliyeolewa kuhusiana na mama zetu ambao wametuzaa, kutulea, kutusomesha na hatimaye kutuozesha kwa waume zetu....

 

11 years ago

GPL

NDOA YA FLORA MBASHA CHALI

BAADA ya kudumu kwa zaidi ya miaka 10, imebainika kuwa ndoa ya mwanamuziki mahiri wa muziki wa Injili Bongo, Flora na mumewe Emmanuel Mbasha ipo chali kwa maana ya kuanguka huku ikidaiwa kuwa, kusimama imara tena inawezekana lakini ni kazi kubwa, Amani limefukunyua mazito. Flora Mbasha akiwa na mumewe Emmanuel Mbasha. Hilo limejitokeza wiki moja baada ya madai ya mwanaume huyo kudaiwa kumbaka shemeji yake na kesi ipo polisi....

 

9 years ago

GPL

WAIMBA INJILI WALIOTESWA NA NDOA

KWA kawaida, watumishi wa kanisa au watu wanaofuata sana maadili ya dini, huchukuliwa kuwa ndiyo mifano bora katika jamii nyingi duniani. Hawa ni pamoja na Mashehe, Mapadre, Wachungaji, Waimba Injili na wengine wa aina hiyo. Hata hivyo, kibinadamu, baadhi yao hushindwa kuhimili, kuvumilia au kukabiliana na matatizo yanayotokea katika ndoa zao na kujikuta wakiridhia kufarakana, licha ya kuwa huwa tayari wameshaanzisha familia zenye...

 

10 years ago

Vijimambo

DJ GULU RAMADHANI NANJI ATIMIZA MIAKA 19 YA NDOA YAKE, VIJIMAMBO BLOG INAKUTAKIA MIAKA AMANI NAFURAHA ZAIDI KATIKA NDOA YAKO.

· 
Oooh Allah Naona Kama Naota Vile Kama Siamini Vile...Asante Sana Mungu Kwa Pumzi Unayotupa Hadi Leo Tarehe 10 May Twafikisha Miaka 19 Ya Ndoa Yetu Mimi Na Mke Wangu Kipenzi Bi Khadija Gulu...Asante Sana Bi Wife Kwa Kustahmili Mengi Kutwa Nipo Katika Mihangaiko,Safarini Kikazi Lakini Mungu Amekujaalia Upendo,Subra,imani Na Moyo Wa Kipekee Wa Kijasiri Sijapata Kuona Wa Kuweza Kukaa Na Familia Kama Mume Nipo Nyumbani Wakati Wote,Wewe Kweli Ni Mke Bora...Wakati Twafunga Ndoa Wengi Walidiriki...

 

10 years ago

GPL

AUNT:NI KWELI NIMEZAA NJE YA NDOA!

Makubwa! Aunt Ezekiel ameweka wazi kinachotafsirika kuwa ni kuzaa nje ya ndoa huku akishikilia alichokiita ‘hayo ni mambo yake binafsi’, Ijumaa Wikienda liligaragazana naye kwa maswali. Soma zaidi hapa ====>bit.ly/1SWLeog

 

10 years ago

GPL

NDOA! WANAOTAKA KUTOKA NI WENGI KULIKO WANAOINGIA, SI KWELI!

NDOA ni mpango wa Muumba ulio wazi kabisa kwamba,  wakati wa uumbaji wa Adam na Eva, ndiyo ndoa ya kwanza ilifungwa kwenye Bustani ya Eden. Ndoa hiyo ilifungwa pale Mungu aliposema; ‘si vizuri kumwacha peke yake mtu huyu (Adam) tumfanyie msaidizi (Eva)’. Baada ya Mungu kumuumba Eva, akawaweka pamoja na kuwa mke na mume! MPANGO WA NDOA Kwa hiyo kumbe, mpango wa ndoa kwa binadamu ni matakwa ya Mungu si ubunifu wa...

 

10 years ago

Vijimambo

NDOA! WANAOTAKA KUTOKA NI WENGI KULIKO WANAOINGIA, SI KWELI!


NDOA ni mpango wa Muumba ulio wazi kabisa kwamba, wakati wa uumbaji wa Adam na Eva, ndiyo ndoa ya kwanza ilifungwa kwenye Bustani ya Eden.

Ndoa hiyo ilifungwa pale Mungu aliposema; ‘si vizuri kumwacha peke yake mtu huyu (Adam) tumfanyie msaidizi (Eva)’. Baada ya Mungu kumuumba Eva, akawaweka pamoja na kuwa mke na mume! MPANGO WA NDOA

Kwa hiyo kumbe, mpango wa ndoa kwa binadamu ni matakwa ya Mungu si ubunifu wa binadamu kama wengi wanavyofikiri.

Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na msemo kwamba,...

 

11 years ago

GPL

NI RAHISI SANA KUIMARISHA NDOA YAKO!

ILI uwe na ndoa yenye furaha ni lazima utenge muda wa kutafakari namna ya kuiboresha na
kutafuta furaha ya ndoa hiyo. Ndugu zangu, kila kitu kinatengenezwa. Waswahili wanasema, ukiona vyaelea, ujue vimeundwa. Huwezi kuacha mambo yakajiendesha hovyo ukategemea kuwa na ndoa bora. Uhusiano imara unakutegemea wewe.
Kila mmoja ana wajibu wa kuangalia furaha ya mwenzake. Yapo mambo mengi muhimu ambayo kama
wanandoa wakiyafanya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani