Waislamu watakiwa kujiandaa Uchaguzi Mkuu 2015
Msemaji wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Rajabu Katimba
Na Asifiwe George, Dar es Salaam
WAUMINI wa dini ya Kiislamu nchini wametakiwa kujiandaa na Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 kwa kujiandikisha upya katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura linaloanza Septemba, mwaka huu.
Amesema kufanya hivyo kutawasaidia kufanya maamuzi sahihi dhidi ya viongozi wanaowakwamisha kwa kuwaadhibu kupitia masanduku ya kura.
Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam juzi katika Baraza la Idd,...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog13 Sep
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu aitembelea NEC kuona maandalizi ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, 2015
Naibu Katibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Mkuu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), Dk. Sisti Chriati akimpatia maelezo Katibu Mkuu ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Frolence Turuka akimpatia maelekezo juu ya NEC inavyoweza kutunza kumbukumbu za wananchi mapema jana alipoitembelea kuona maandalizi ya Uchaguzi Mkuu ambapo alishuhudia vifaa mbalimbali vya Uchaguzi vikiwasili na Kupokelewa katika ofisi ya NEC kitengo cha Daftari Bohari Kuu jijini Dar es Salaam.
Vifaa mbalimbali...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-q0xCtNigswU/VfSlvTq2VnI/AAAAAAABlxE/N41mk93CnoM/s72-c/11223558_1465389910437173_7959874733452473066_o.jpg)
KATIBU MKUU OFISI YA WAZIRI MKUU BW. FROLENCE TURUKA AITEMBELEA NEC KUONA MAANDALIZI YA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 25, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-q0xCtNigswU/VfSlvTq2VnI/AAAAAAABlxE/N41mk93CnoM/s640/11223558_1465389910437173_7959874733452473066_o.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2wbNUQWxs8w/VfSlycBQWUI/AAAAAAABlxM/kATyAIcFBF8/s640/11930774_1465390323770465_1602462128218917504_o.jpg)
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Wananchi watakiwa kujiandaa kwa umeme
10 years ago
Habarileo27 Mar
Polisi watakiwa kujipanga kuelekea uchaguzi mkuu
WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi imelitaka Jeshi la Polisi nchini kujipanga vyema kwa ajili ya kukabiliana na matukio ya uvunjifu wa amani hasa katika kipindi ambacho taifa linaelekea katika matukio muhimu likiwemo la uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.
9 years ago
Mwananchi23 Oct
Samia: Watanzania watakiwa kulindana kuelekea Uchaguzi Mkuu
9 years ago
StarTV23 Oct
Kuelekea uchaguzi mkuu Wananchi watakiwa kuwahoji wagombea Wao
Zikiwa zimesalia siku chache kupiga kura, watanzania wamekumbushwa kuendelea kuwahoji wagombea katika dakika hizi za lala salama ili waweze kumbaini mgombea mwenyenia ya kuleta maendeleo ya kweli.
Kitendo cha kuwahoji wagombea bila kujali itikadi ya vyama vyao kinatoa fursa kwa wananchi kumtambua kila mgombea katika kuchochea mabadiliko.
Ni katika mdahalo ulioandaliwa na taasisi ya Wazo huru ukiwakutanisha wabunge wa jimbo la Nyamagana lengo likiwa ni kushindanisha sera za vyama...
9 years ago
StarTV18 Sep
Wananchi watakiwa kuepuka uvunjifu wa amani kuelekea uchaguzi mkuu
Jeshi la Polisi nchini limetoa tamko juu ya uhalifu katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu kutokana na baadhi ya watu kufanya vitendo vyenye mwelekeo wa uvunjifu wa amani.
Zaidi ya matukio 107 yameripotiwa katika vituo vya polisi na 38 tayari yamefunguliwa kesi na kufikishwa mahakamani yakiwa na jumla ya watuhumiwa 52.
Akitoa tamko hilo msemaji wa Jeshi la Polisi, Mrakibu Msaidizi wa Polisi SSP Advera Bulimba amesema katika kipindi hiki cha kampeni na kuelekea uchaguzi mkuu...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NHL8vluFPVU/VcxfAvGPOcI/AAAAAAAHwWQ/4MX-nxIrKmA/s72-c/Pix%2Bb.jpg)
Vijana nchini watakiwa kuzingatia upatikanaji wa taarifa sahihi kuelekea uchaguzi mkuu
![](http://3.bp.blogspot.com/-NHL8vluFPVU/VcxfAvGPOcI/AAAAAAAHwWQ/4MX-nxIrKmA/s640/Pix%2Bb.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-uwUbPayAoR0/VcxfBAQ6B5I/AAAAAAAHwWc/2ATtTwvjiB8/s640/Pix%2Bc.jpg)
11 years ago
Habarileo15 Jan
Waislamu watakiwa kutolalamikia Wakristo
SHEKHE Mkuu wa Tanzania, Mufti Issa Shaaban Simba, ametaka Waislamu kuacha kulalamika, kwamba Wakristo wamekuwa wakipewa upendeleo, badala yake watumie fursa wanazopata kuondokana na malalamiko hayo. Akizungumza katika maadhimisho ya Maulidi ya Kuzaliwa Mtume Muhammad (SAW), yaliyofanyika kitaifa mkoani Kigoma jana, Mufti Simba alisema chanzo cha malalamiko hayo ni Waislamu kushindwa kujitolea katika mambo mbalimbali ya maendeleo.