Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wajasiriamali wapatiwa mitaji

BENKI ya Covenant kwa kushirikiana na Umoja wa wafanyakazi wasio katika sekta rasmi wamewawezesha wajasiriamali zaidi ya 60 kwa kuwapatia mikopo ya mitaji ambayo imejumuisha basi za abiria, Bajaj na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Cam gas kuwakopesha wajasiriamali mitaji

KAMPUNI ya Camel Fuels Tanzania kupitia bidhaa yake ya Cam gas imekuja na mkakati mpya wa kuongeza ajira kwa kuwakopesha wajasiriamali mitaji ya bidhaa za gesi, ili wajiajiri na kuchangia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wajasiriamali Mkata wapatiwa elimu

SHIRIKA la Atomtek Nuclear Energy limetoa msaada wa kielimu kwa kikundi cha kinamama wajasiriamali kilichopo Kata ya Mkata, Mkoa wa Tanga kwa lengo la kuwainua kiuchumi na kuondokana na umasikini....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wajasiriamali 700 Iringa wapatiwa mafunzo

ZAIDI ya wajasiriamali 700 waliopatiwa mafunzo ya kutengeneza batiki, sabuni na keki wametakiwa kutumia elimu hiyo kwa vitendo ili wajikwamue kimaisha na kuongeza pato la taifa. Wito huo umetolewa juzi...

 

10 years ago

Dewji Blog

PSPF ya ungana na wanawake wajasiriamali katika hafla ya kuendeleza umoja wa wajasiriamali Dar

Meneja msaidizi wa uchangiaji wa hiari Matilda Nyallu wa mfuko wa pensheni wa (PSPF) akieleza namna ya mfuko wa Hiari unavyo kuwa na nijinsi gani utafaidika pindi unapo jiunga na kuwa mmoja wa wadau wa (PSPF).

2

Kushoto Muandaaji wa sherehe ya wanawake wajasiriamali Shamimu Mwasha ambaye ni mdau wa (PSPF) akitoa ufafanuzi wa sherehe hiyo na kuwakaribisha wageni walioweza kuhudhuriapembeni ni mshereheshaji wa sherehe hiyo Jokate Mwegelo.

Afisa wa mfuko wa pensheni wa (PSPF) kushoto Hadji...

 

10 years ago

Vijimambo

PSPF YA UNGANA NA WANAWAKE WAJASIRIAMALI KATIKA HAFRA YA KUENDELEZA UMOJA WA WAJASIRIAMALI DAR ES SALAAM

 Meneja msaidizi wa uchangiaji wa hiari Matilda Nyallu wa mfuko wa pensheni wa (PSPF) akieleza namna ya mfuko wa Hiari unavyo kuwa na nijinsi gani utafaidika pindi unapo jiunga na kuwa mmoja wa wadau wa (PSPF) Kushoto Muandaaji wa sherehe ya wanawake wajasiliamali shamimu mwasha ambaye ni mdau wa (PSPF) akitoa ufafanuzi wa sherehe hiyo na kuwakaribisha wageni walioweza kuhudhuriapembeni ni mshereheshaji wa sherehe hiyo jokate mwegelo. Afisa wa mfuko wa pensheni wa (PSPF)kushoto Hadji...

 

11 years ago

Michuzi

Mitaji ya ubia chachu ya maendeleo–Dk. Nagu

Mitaji ya ubia imetajwa kama mpango unaoweza kuongeza nguvu katika miradi ya wafanyabishara nchini na kuchangia uchumi na ustawi wa jamii.  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dkt. Mary Nagu aliwaambia waandishi wa habari jijini Dar es Salaam hivi karibuni kuwa kukubalika kwa mpango wa mitaji ya ubia ni moja ya utayari wa serikali katika kuweka mazingira ya kuifanya sekta binafsi kuwa injini ya uchumi hapa nchini. “Hiki ni chanzo mbadala cha mitaji ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Camel Fuels yawapa mitaji wajasiriamali 

KAMPUNI ya Camel Fuels Tanzania imewapa mikopo ya mitaji ya mitungi  ya gesi wajasiriamali wa kikundi cha Awareness Share Tanzania (Ashata), ili kuwawezesha kuboresha biashara zao. Hafla ya makabidhiano hayo...

 

11 years ago

Habarileo

NSSF kuwezesha mitaji kupitia ushirika

MFUKO wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii ( NSSF) unatarajia kuanza kutoa mikopo kwa wakulima, wachimbaji wadogo wa madini, wavuvi na wafugaji kupitia vyama vyao vya ushirika wa akiba.

 

11 years ago

Mwananchi

Mitaji iboreshwe kuinua kilimo nchini

Kilimo kinatajwa kuwa moja ya sekta muhimu nchini ambayo inategemewa kuleta mapinduzi ya kiuchumi kama sera ya Taifa ya kilimo itawashirikisha wadau wote wa sekta hiyo kuanzia ngazi ya chini mpaka taifa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani