Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAJE ASHEREHEKEA MIAKA 64 YA MAMA YAKE

Mwimbaji wa kike wa Nigeria, Waje. Lagos Nigeria MWIMBAJI wa kike wa Nigeria, Waje, jana  Juni 30, alikuwa na furaha ya kukata na shoka wakati akisherehekea kutimia kwa mwaka wa 64 wa kuzaliwa kwa mama yake. Waje akiwa na mamaake. Waje alisema jana hiyo kwamba ni mama yake pekee ndiye aliyekuwa karibu naye wakati alipopata ujauzito akiwa bado msichana mdogo miaka iliyopita. “Leo hii mama yangu… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MAMA REGINA LOWASSA ASHEREHEKEA KUADHIMISHA MIAKA 60 YA KUZALIWA KWAKE LEO

Mke wa Waziri Mkuu Msaafu (Mh. Edward Lowassa),Mama Regina Lowassa (kushoto) akimsikiliza kwa makini Dada yake mkubwa wakati akizungumza machache kwenye hafla fupi ya kusherehekea kuadhimisha miaka 60 ya kuzaliwa kwake iliyofanyika leo nyumbani kwake,Masaki jijini Dar es salaam. Mama Regina Lowassa akiwa na Marafiki zake wakati hafla hiyo ikiendelea. Mama Regina Lowassa akipokea zawadi ya Kitabu kutoka kwa mmoja wa Marafiki zake waliohudhulia hafla hiyo. Watoto wa Mh. Edward na Mama...

 

11 years ago

Michuzi

MTOTO WA MIAKA MINNE (4) ASHEREHEKEA BESDEI YAKE YA KUZALIWA MLIMA KILIMANJARO

Mtoto Aldof Isack (4)akikata keki wakati wa sherehe ya kumbukumbu yasiku yake ya kuzaliwa iliyofanyika katika kilele cha Shira Mlima Kilimanjaro ,Kilele chenye urefu wa mita 3,850 ambazo ni sawa na futi 12,630.aliyepiga magoti ni mama wa mtoto huyo Jackline Mchila na nyuma ya mtoto ni dada yake,Feith Isack huku baba yao kushoto akiwa ameshikachupa ya Champagne
Baba wa mtoto Adolf Isack,Bw Isack Kalage akifungua Champagne wakati wa shrehe ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa mtoto wake huyo...

 

10 years ago

GPL

MSANII WA FILAMU SALMA OMARY ASHEREHEKEA ‘BIRTHDAY’ YA MAMA YAKE

Mama Sabby, Bi. Hidaya akikata keti na Sabby akiwa kushoto kwake. Sabby akimlisha keki mama yake.…

 

10 years ago

GPL

MKE WA OBAMA ASHEREHEKEA BETHIDEI YA MIAKA 5 YA KAMPENI YAKE YA 'LET'S MOVE' KWA DANSI

MKE wa Rais wa Marekani Barack Obama, Michelle Obama juzi Jumatatu alitoa shoo ya nguvu kwa kucheza wimbo wa Mark Ronson uitwao "Uptown Funk" akiwa sambamba na mastaa wa "So You Think You Can Dance". Michelle alikuwa akisherehekea bethidei ya miaka mitano ya Kampeni yake ya "Let's Move!" yenye lengo la kuondoa vitambi kwa watoto nchini Marekani. Michelle alianzisha kampeni hiyo mwaka 2010 baada ya kuwepo watoto wengi wenye...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtoto wa miaka 2 aua mama yake

Mtoto mmoja mdogo mvulana wa miaka miwili amempiga risasi kimakosa mama yake mzazi na kumuua nchini Marekani.

 

9 years ago

Global Publishers

Mtoto wa Miaka 4 aishi na maiti ya mama yake kwa siku 2

maittiBryan Allen akiwa na mama yake Shaleena Hamilton (enzi za uhai wake).maitinBryanmaitiiBaiskeli aliyozawadiwa Bryan.

Bryan Allen is “doing well” after he survived 48 hours, after his mom died. Thought mom was sleeping @news4buffalo pic.twitter.com/UZXUma2c6S

— Marissa Perlman (@MPerlman4) December 14, 2015

Bryan won’t be here, but here’s his new bike pic.twitter.com/pOjtb55QFu — Aaron Besecker (@AaronBesecker) December 14, 2015

Donations have come from police, people dropping off at districts, other...

 

9 years ago

Bongo5

Tazama alichokiandika Lady Jaydee kwa mama yake aliyetimiza miaka 70

Katika dunia ya sasa mtu akifikisha umri wa miaka 70, anakuwa mtu mwenye bahati sana. Mama yake na Lady Jaydee amesherehekea siku yake ya kuzaliwa weekend iliyomalizika na mwanae amesherehekea naye. Keki aliyoandaliwa mama yake na Lady Jaydee. Sherehe ya kumpongeza ilifanyika Serena Hotel jijini Dar es Salaam Kwenye ujumbe alioandika kumpongeza mama yake, Jide […]

 

10 years ago

Vijimambo

LULU ASEMA NYUMBA ALIYOMZAWADIA MAMA YAKE SI YA KUHONGWA, AMEJENGA KWA MIAKA MINNE

Mwanzoni mwa mwaka huu (2015) mrembo na muigizaji wa filamu, Elizabeth “Lulu” Michael aliwa-surprise watu wengi pale alipomzawadia mama yake nyumba aliyojenga Kimara, jijini Dar es- Salaam.
Lulu alimpa zawadi hiyo mama yake kwenye sherehe ya siku yake ya kuzaliwa January, 2015. Je Lulu aliwezaje kufanya mambo makubwa kama hayo katika umri mdogo na kwa kipato cha kuigiza peke yake? Hayo ni maswali ambayo wengi walijiuliza, kiasi cha kuwafanya wengine waamini kuwa labda amehongwa.Lulu amesema...

 

9 years ago

GPL

2FACE ASHEREHEKEA KUGONGA MIAKA 40

Mkongwe wa muziki kutoka Naija, Innocent Ujah Idibia ‘2 Face’ MKONGWE wa muziki kutoka Naija, Innocent Ujah Idibia ‘2 Face’ juzi kati alisherehekea kutimiza miaka 40 kwa kufanya bonge la pati pamoja na mastaa wenzake. Sherehe hizo zilifanyika katika hoteli ya kimataifa, Eko iliyopo pande za Victoria Island, Lagos ambapo 2 Face alikuwa ameambatana na mkewe, Annie nee Macaulay. Miongoni mwa mastaa waliohudhuria ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani