Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wajumbe baraza la biashara Arusha wapewa ‘darasa’

Wajumbe wa Baraza la Biashara wametakiwa kutekeleza majukumu yao kwa vitendo ili kuchochea ukuaji wa shughuli za biashara na uwekezaji mkoani hapa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wajumbe Baraza la Biashara Dar wafundwa

WAJUMBE wa Baraza la Biashara Mkoa wa Dar es Salaam wamehimizwa kuunganisha nguvu ili baraza hilo liweze kutekeleza majukumu yake kwa ajili ya kukuza biashara na uchumi wa mkoa na...

 

5 years ago

Michuzi

RAIS DK SHEIN AKUTANA NA WAJUMBE WA BARAZA LA BIASHARA ZANZIBAR IKULU



RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akifungua kikao cha Baraza la Biashara Zanzibar uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar, (kulia kwa Rais) Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi .Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee  na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Biahara na Viwanda Zanzibar Mhe....

 

10 years ago

StarTV

Uzalishaji aina mpya ya Mgomba, wakulima wapewa darasa.

Na Ramadhani Mvungi, Arusha. 

 

Kituo cha utafiti na mafunzo ya kilimo cha mazao ya Mboga, Matunda na Maua cha Tengeru Arusha kikishirikiana na taasisi za TAHA na TAPP kimeanza kutoa mafunzo kwa wakulima kuhusu uzalishaji wa aina mpya ya zao la mgomba kupitia mashamba darasa.

 

Hatua hiyo ni mpango mahususi wa kuongeza uzalishaji wa mazao ya mbogamboga, matunda na maua katika kuendeleza dhana ya kilimo biashara nchini.

 

Ikiwa chini ya Wizara ya Kilimo chakula na Ushirika kituo cha...

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MTENDAJI BARAZA LA BIASHARA ZANZIBAR AZUNGUMZA NA WANAHABARI KUHUSU MKUTANO WA NANE WA BARAZA HILO UTAKAOFANYIKA DESEMBA 16 ZANZIBAR

 Katibu Mtendaji Baraza la Biashara Zanzibar Bw. Ali Haji Vuai wa kwanza (kulia) akizungumza na wandishi wa Habari kuhusu Mkutano wa nane wa Baraza hilo, utakaofanyika Disemba 16 Hoteli ya Bwawani Mjini Zanzibar. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar. Wandishi wa Habari wa vyombo mbalimbali wakimsikiliza Katibu Mtendaji Baraza la Biashara Zanzibar Bw. Ali Haji Vuai ofisini kwake Kinazini Mjini Zanzibar.Mwandishi wa Habari wa Radio Coconat Fm Tabia Makame akiuliza swali kuhusu Mkutano wa...

 

11 years ago

GPL

HATIMAYE WALEMAVU WAPEWA ENEO LA KUFANYIA BIASHARA

Bw. David Nyendo, mlemavu ambaye pia ni Mkurugenzi wa Haki za Binadamu na Maendeleo ya Kiuchumi kwa walemavu akisisitiza jambo katika eneo walilopewa. Mlemavu akisikiliza jambo. Baadhi ya walemavu wakiwa katika eneo…

 

11 years ago

Habarileo

Arusha wapaisha ufaulu darasa la 7

MKOA wa Arusha umeongeza wastani wa ufaulu kutoka alama 93.62 mwaka jana hadi kufikia alama 104.86 mwaka huu licha ya kuwa na sifa ya kutokuwepo kwa udanganyifu kabla na wakati wa ufanyikaji wa mitihani ya darasa la saba.

 

10 years ago

Habarileo

Wajumbe Baraza la Wawakilishi washikana mashati

UKUMBI wa Baraza la Wawakilishi jana uligeuka uwanja wa ‘vita’ baada ua kuzuka vurugu na wajumbe kushikana mashati.

 

5 years ago

Michuzi

WABUNGE WAPEWA MAFUNZO MATOKEO YA MKATABA WA ENEO HURU LA BIASHARA BARA LA AFRIKA



Naibu Spika, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (katikati) akifungua mafunzo kwa Waheshimiwa Wabunge kuhusu matokeo ya Mkataba wa eneo huru la biashara la Bara la Afrika katika ukumbi wa Pius Msweka Jijini Dodoma. Kulia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje Ulinzi na Usalama, Mhe. Salum Mwinyi Rehani na kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya...

 

11 years ago

Michuzi

Wajumbe wa Baraza Kuu la Uongozi CUF wakutana

 Wajumbe wa Baraza Kuu la Uongozi CUF wakiwa katika picha ya pamoja katika makao makuu ya chama hicho Buguruni jiji i Dar es Salaam Mwenyekiti wa CUF Profesa Ibrahim Lipumba na Katibu Mkuu Maalim Seif wakisalimiana na wajumbe baada ya picha ya pamoja

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani