Wakali Sisi walivyokunja kitita cha mil 5 za Dance100% 2014
HATIMAYE kivumbi cha kuwania kitita cha shilingi mil 5 katika shindano la kucheza muziki maarufu kama Dance 100% chini ya uratibu wa EATV na kudhaminiwa na kampuni ya simu za...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Oct
WAKALI SISI: Walivyoonyesha ukali wao katika Dance100% 2014
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MPQBN1a3KlU/VDD6zcSbhpI/AAAAAAAGn-8/vSK5cBAlRJA/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
Kundi la”WAKALI SISI”latimka na Milioni 5 za shindano la Dance100% 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-MPQBN1a3KlU/VDD6zcSbhpI/AAAAAAAGn-8/vSK5cBAlRJA/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JiLref5A7dg/VDD6ziF3HAI/AAAAAAAGn_A/42W00JkBB5A/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
10 years ago
Bongo505 Oct
Kundi la ‘WAKALI SISI’ latimka na milioni 5 za shindano la Dance100% 2014
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LYZrjK6etVflh5O0bVh7*eucrX6x5*nVPgaId9xV2Pqya0cK9qnCekK7Zr*EtRtvbHY6sjj8andzMfmbBj2mSb-jjJQty3T*/001.FINAL.jpg)
KUNDI LA”WAKALI SISI” LATIMKA NA MILIONI 5 ZA SHINDANO LA DANCE100% 2014
9 years ago
Dewji Blog23 Aug
Mshindi wa Mama Shujaa wa Chakula 2015, anyakua kitita cha Sh. Mil.20
Mshindi wa Mama shujaa wa Chakula 2015 msimu wa Nne, Bi.Carolina Chilele akiwa na tuzo yake wakati wa shuguli hizo za Mama Shujaa wa Chakula ziliofanyika hivi karibuni.
Hatimaye Shindano la Mama Shujaa wa Chakula shindano linaloendeshwa na shirika la Oxfam kupitia programu yake ya Grow ambapo kauli mbiu ni Wekeza kwa wakulima wanawake wadogo wadogo inalipa lafika tamati ambapo kulikuwa na mchuano mkali kati ya washiriki 15 ambao walikuwa katika Kijiji cha Kisanga, Wilayani Kisarawe Mkoani...
10 years ago
Dewji Blog31 Aug
Mwanaafa Mwinzago aibuka Kinara wa shindano la TMT 2014 na kuondoka na kitita cha shilingi Milioni 50 za Kitanzania
Mwenyekiti wa Makampuni ya Proin, Bw Johnson Lukaza akitoa neno kwa wadau waliojitokeza kushuhudia fainali ya Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) lililokuwa pia likirushwa live kupitia Kituo Cha Runinga cha ITV.
Mwanaafa Mwinzago (katikati) akishangilia Mara baada ya kutangazwa Mshindi wa Kitita Cha Milioni 50 za Kitanzania katika Fainali ya Kumsaka Mshindi wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) 2014 lililofanyika usiku wa kuamkia leo katika Ukumbi wa Mlimani City na...
11 years ago
Dewji Blog![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC01863.jpg)
Doris Mole (23) atwaa taji la Miss Singida 2014, apewa kitita cha shilingi laki tano
Huyu ndiye Miss Singida 2014 Doris Mole (23) akiwa na mshindi wa pili Blath Chambo na mshindi wa tatu Lulu Abdul.
Na Hillary Shoo, SINGIDA.
Doris Molel (23) Mwanafunzi katika chuo cha Kumbukumbu cha Mwalimu Nyerere Jijini Dar es Salam anayesomea siasa na Maendeleo ya Jamii mwaka wa tatuametwaa taji la Miss Singida Redds 20014.
Katika shindano hilo lililofanyika jana kwenye ukumbi wa chuo ha Uhazili Mjini hapa Molel, mbali na kutwaa taji hilo alijinyakulia kitita cha shilingi laki...
10 years ago
MichuziMWANAAFA MWINZAGO AIBUKA KINARA WA SHINDANO LA TANZANIA MOVIE TALENTS (TMT) 2014 NA KUONDOKA NA KITITA CHA SHILINGI MILIONI 50 ZA KITANZANIA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UHMFUF917xY/VQ6espqARTI/AAAAAAAHMJU/PMmdvLpuLdY/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
MWANAFUNZI WA CHUO KIKUUU CHA ST.JOSEPH AKABIDHIWA KITITA CHAKE CHA MILLIONI 10/-