Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAKALI SISI: Walivyoonyesha ukali wao katika Dance100% 2014

Kundi la ”Wakali Sisi” lenye makazi yake Kiwalani jijini Dar es Salaam, ambalo lilikuwa miongoni mwa makundi matano yaliyoingia fainali za shindano la kucheza muziki maarufu kama Dance 100% limeibuka mshindi katika shindano hilo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Wakali Sisi walivyokunja kitita cha mil 5 za Dance100% 2014

HATIMAYE kivumbi cha kuwania kitita cha shilingi mil 5 katika shindano la kucheza muziki maarufu kama Dance 100% chini ya uratibu wa EATV na kudhaminiwa na kampuni ya simu za...

 

10 years ago

Michuzi

Kundi la”WAKALI SISI”latimka na Milioni 5 za shindano la Dance100% 2014

 Meneja Uhusiano wa Umma  wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu (kulia) akitaniana na kiongozi wa kundi la”Wakali sisi”la kiwalani jijini Dar es Salaam,Baraka Kambona(kushoto)alipokuwa akikabidhi hundi yenye thamani ya Tsh Milioni 5 kwa kundi hilo kama wadhamini wakuu wa shindano la Dance 100% kundi hilo liliibuka washindi katika fainali  ya shindano hilo lililofanyika mwishoni mwa wiki Don Bosco Oysterbay jijini Dar es Salaam. Washindi wa shindano la Dance 100% 2014 kundi la wakali sisi wakiwa...

 

10 years ago

Bongo5

Kundi la ‘WAKALI SISI’ latimka na milioni 5 za shindano la Dance100% 2014

Hatimaye kundi la”Wakali Sisi” lenye makazi yake Kiwalani jijini Dar es Salaam, ambalo lilikuwa miongoni mwa makundi matano yaliyoingia fainali za shindano la kucheza muziki maarufu kama Dance 100% linaloratibiwa na Kituo cha East Africa Television Ltd  na kudhaminiwa na kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, limeibuka mshindi katika shindano hilo lililokuwa la kukata kwa […]

 

10 years ago

GPL

KUNDI LA”WAKALI SISI” LATIMKA NA MILIONI 5 ZA SHINDANO LA DANCE100% 2014

Kikundi cha The WT cha jijini Dar es Salaam kilichoshinda nafasi ya pili katika fainali ya shindano la Dance 100% 2014 likionesha umahiri wao wa kudansi katika fainali hiyo iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Don Bosco Oysterbay jijini Dar es Salaam.Ambapo kundi la”WAKALI SISI”toka kiwalani jijini liliibuka na ushindi huo na kujinyakulia kitita cha shilingi Milioni 5 toka kwa wadhamini wakuu wa shindano...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ya Warioba; tusiwe kama wao kwani wao sio sisi

MOJAWAPO ya vitu ambavyo naviogopa sana ninapotafakari hatima ya taifa letu huko mbeleni ni uwezekano kuwa tunaweza kubadilisha watawala bila kubadilisha utawala. Lugha ya kisiasa nchini imebadilika sana kiasi kwamba...

 

10 years ago

GPL

UZINDUZI WA ‘WAKALI WAO MODERN TARADANCE’ NI SHEEDAH, DAR LIVE

Malkia wa Taarab Afrika Mashariki, Khadija Kopa, akiwajibika jukwaani  akisindikizwa na bendi yake ya Excellent Modern Taarab. Juma Nature na Stoppa Rhymes wakiwarudisha enzi za zamani mashabiki wao. Mkali wa Vigodoro nchini, Msaga Sumu, akiwapandisha mzuka mashabiki wa Simba na Yanga kabla ya kujiachia na burudani ya ‘Kiswazi’.… ...

 

10 years ago

Mwananchi

Wao wakiitazama Ikulu, sisi tulitazame taifa huku tukiweka uchama pembeni

Kwa hali ilivyo sasa ninaona jotoridi ikizidi kupanda katika vyama vya siasa, hasa ukizingatia michakato ya ndani ya vyama ya kuteua watakaopewa dhamana ya kugombea nafasi za udiwani, ubunge na Urais. Kwa kiasi kikubwa kabisa, naona Wananchi wakigubikwa na mjadala wa nani ni nani na huenda nani atapata nini

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani