Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakazi wawatorosha wavulana Kenya

Wakaazi wa Hindi Pwani ya Kenya wanawatorosha wavulana na wanaume kwa sababu ya hofu kuwa wao ndio wanalengwa kwa mashambulizi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mafuriko yakera wakazi Kenya

Maziwa ya Kenya yanafururika maji yasitokana na mvua. ,aji hayo yanatoka wapi?

 

9 years ago

BBCSwahili

Wakazi wajawa na wasiwasi kuhusu El Nino Kenya

Mvua imeanza kunyesha maeneo mengi Kenya na watabiri wa hali ya hewa wanasema mvua hiyo huenda ikasababisha madhara.

 

11 years ago

Mwananchi

Wasichana wawaburuta wavulana

Mwandishi Wetu, Mwananchi

 

10 years ago

BBCSwahili

Wavulana 40 watekwa na Boko Haram

Takriban wavulana 40 na vijana wadogo wameripotiwa kutekwa nyara na wapiganaji wa kundi la Boko haram

 

10 years ago

Habarileo

Wanawake Pwani wadaiwa kuwarubuni wavulana

Mkuu wa Wilaya ya Kibaha, Halima KihembaWANAWAKE wenye umri mkubwa wametakiwa kuacha kujihusisha na mahusiano ya kimapenzi na vijana wenye umri mdogo, kwani jambo hilo linawapunguzia heshima katika jamii.

 

9 years ago

BBCSwahili

Michelle Obama ahimiza wasichana wasiogope wavulana

Mke wa Rais wa Marekani Michelle Obama amewashauri wasichana waliobalege kutowaogopa wavulana shuleni.

 

10 years ago

Michuzi

WANAUME NA WAVULANA WADAU MUHIMU KUFIKIA USAWA WA KIJINSIA

 Wajumbe wakifuatilia majadiliano kuhusu uwezeshaji wa wanawake, ambazo wazungumzaji wakuu  walikuwa ni Balozi Tuvako Manongi,  Waziri K. Kellie kutoka Canada  na Waziri Asa Regner kutoka Sweden katika mchango wake, Balozi Manongi alisema mifuko ya uwezeshaji ambayo imeanzishwa nchini Tanzania ni  moja ya  mafanikio ambayo  imeweza kuwakwamua wanawake kuondokana na  umaskini.   Baadhi ya mifuko hiyo ni  Mfuko wa  Maendeleo  ya Wanawake kwa Tanzania Bara na  Mfuko wa  Maendeleo  ya wanawake ...

 

5 years ago

Michuzi

KWANDIKA AKAGUA UKARABATI WA MAJENGO SEKONDARI YA WAVULANA IHUNGO

Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhe. Elias John Kwandika akisisitiza jambo kwa Mkuu wa Shule ya Sekondari ya wavulana Ihungo, Mwalimu Philipo Boneventure (kushoto) na Meneja wa Wakala wa MajengoTBA mkoani Kagera, Mhandisi Salum Chanzi (WA tatu kushoto) alipokagua ukarabati wa majengo ya shule hiyo.  Naibu Waziri wa Ujenzi Mhe. Elias John Kwandika akizungumza jambo kwa Mkuu wa Shule ya Sekondari ya wavulana Ihungo Boneventure (kulia ) na Meneja wa Wakala wa Majengo TBA, Mhandisi Chanzi mkoani Kagera...

 

5 years ago

Michuzi

TCRA yatoa elimu Shule ya Sekondari ya Wavulana Mwandege

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema kuwa katika matumizi ya mitandao kuacha kuweka vitu binafsi katika mitandao.
Akizungumza wakati wa utoaji elimu ya kwa Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya  Wavulana Mwandege wilayani Mkuranga mkoani Pwani  Afisa Masoko wa Mamlaka hiyo  Dorice Muhimbila amesema kuwa Wanafunzi ni muhimu kuwa elimu hiyo ili wakianza kumiliki simu waweze kutumia mawasiliano hayo salama.
Muhimbila amesema kuwa elimu hiyo wanayoitoa ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani