KWANDIKA AKAGUA UKARABATI WA MAJENGO SEKONDARI YA WAVULANA IHUNGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-jNoKrxd1OY4/XtgN-R2vxKI/AAAAAAAAcrs/d8ULttli68EuD_ScIc7_G7L4tElJGzXhwCLcBGAsYHQ/s72-c/44e23d70-d2dd-4e5a-b80d-802d599fd512.jpg)
Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhe. Elias John Kwandika akisisitiza jambo kwa Mkuu wa Shule ya Sekondari ya wavulana Ihungo, Mwalimu Philipo Boneventure (kushoto) na Meneja wa Wakala wa MajengoTBA mkoani Kagera, Mhandisi Salum Chanzi (WA tatu kushoto) alipokagua ukarabati wa majengo ya shule hiyo.
Naibu Waziri wa Ujenzi Mhe. Elias John Kwandika akizungumza jambo kwa Mkuu wa Shule ya Sekondari ya wavulana Ihungo Boneventure (kulia ) na Meneja wa Wakala wa Majengo TBA, Mhandisi Chanzi mkoani Kagera...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2IyhNfj81jA/XmymyeEsRlI/AAAAAAALjOU/YCkXthDaSgch9fh2a_OD98VyEgGM_5_dwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-13%2Bat%2B2.26.45%2BPM.jpeg)
TCRA yatoa elimu Shule ya Sekondari ya Wavulana Mwandege
Akizungumza wakati wa utoaji elimu ya kwa Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wavulana Mwandege wilayani Mkuranga mkoani Pwani Afisa Masoko wa Mamlaka hiyo Dorice Muhimbila amesema kuwa Wanafunzi ni muhimu kuwa elimu hiyo ili wakianza kumiliki simu waweze kutumia mawasiliano hayo salama.
Muhimbila amesema kuwa elimu hiyo wanayoitoa ni...
9 years ago
MichuziMAHAFALI YA KWANZA YA SHULE YA SEKONDARI YA WAVULANA YA SULLIVAN PROVOST YA KIBAHA YAFANA.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yzNbgAbi-TI/U7bs_mLQzrI/AAAAAAAFvCM/WcsDSEtF2cQ/s72-c/unnamed+(36).jpg)
MKUU WA MKOA WA DODOMA DR REHEMA NCHIMBI AKAGUA MAENDELEO YA UKARABATI WA ZAHANATI YA MKONZE
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mt4o0riPyCU/Xu3sZ88XMOI/AAAAAAALuvA/LuwDKvYDmDsagTWSdpD8M2LEsIg_WFXigCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-20%2Bat%2B8.31.54%2BAM.jpeg)
PROF NDALICHAKO AKAGUA MAENDELEO UKARABATI CHUO CHA UALIMU MPWAPWA KILICHOGHARIMU BILIONI 2.8
Charles James, Michuzi TV
SERIKALI imesema imeamua kuwekeza kwenye katika uboreshaji wa miundombinu ya Taasisi za Elimu ili kuongeza fursa ya upatikanaji wa elimu kwa watanzania walio wengi.
Kauli hiyo imetolewa wilayani Mpwapwa, Dodoma na Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Prof Joyce Ndalichako wakati alipofanya ziara ya kutembelea Chuo cha Ualimu Mpwapwa.
Katika ziara hiyo Prof Ndalichako amekagua maendeleo ya ujenzi na ukarabati wa miundombinu katika chuo hiko ambao umegharimu zaidi ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cb2kCUfgwTA/Xr9obvtGYII/AAAAAAALqZg/NjV68jQBTJ0EdcGsEYjtKkC5sPCI459jwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-15%2Bat%2B4.29.27%2BPM.jpeg)
Profesa Mdoe akagua ukarabati, ujenzi wa chuo kikuu Mzumbe kampasi ya Dar es Salaam
![](https://1.bp.blogspot.com/-cb2kCUfgwTA/Xr9obvtGYII/AAAAAAALqZg/NjV68jQBTJ0EdcGsEYjtKkC5sPCI459jwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-15%2Bat%2B4.29.27%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-uhaFXzq1GJY/Xr9odCUmawI/AAAAAAALqZw/3BMpXZqS2P8WMyikKKnKnq01oZ2LHM9xQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-15%2Bat%2B4.29.32%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Bwg4HH0doE4/Xr9odbppmgI/AAAAAAALqZ0/S6kIvPS-IE4LpZ2vK_nr8KVmyoL4HOChACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-15%2Bat%2B4.29.33%2BPM.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZP22H4c41Rw/Xl_3JYHviCI/AAAAAAALhEI/lRWKFJ8wUXc8uee3_ClAhQ7C6CkDyRVHACLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_2620-2AA-768x468.jpg)
MAJALIWA AKAGUA UKARABATI WA DARAJA LILILOSOMBWA NA MAJI NA KUKATA MAWASILIANO KATI YA MOROGORO NA DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZP22H4c41Rw/Xl_3JYHviCI/AAAAAAALhEI/lRWKFJ8wUXc8uee3_ClAhQ7C6CkDyRVHACLcBGAsYHQ/s640/PMO_2620-2AA-768x468.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua kazi ya ukarabati wa daraja la Kiyegeya lililopo eneo la Gairo ambalo limesombwa na maji na kusababisha kukatika kwa mawasiliano kati ya Morogoro na Dodoma, Machi 4, 2020. Wa pili kulia ni Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PMO_2671AA-667x1024.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua kazi ya ukarabati wa daraja la Kiyegeya lililopo eno la Gairo ambalo limesombwa na maji na kusababisha kukatika kwa mawasiliano ya barabara kati ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-7d208KxBnPM/VOMXylpleqI/AAAAAAAHEJE/j1o1gvx-s6g/s72-c/unnamed%2B%286%29.jpg)
WAZIRI MKUU MSTAAFU NA MBUNGE WA MONDULI, EDWARD LOWASSA AKIZUNGUMZA NA BAADHI YA WANAFUNZI WA SHULE SEKONDARI YA WAVULANA YA ENGUTOTO WILAYANI MONDULI WAKATI ALIPOTEMBELEA LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-7d208KxBnPM/VOMXylpleqI/AAAAAAAHEJE/j1o1gvx-s6g/s1600/unnamed%2B%286%29.jpg)
Aidha mwenyekiti mtendaji wa makampuni IPP, Reginald Mengi akichangia shilingi milioni 25 kwa ajili ya vitanda na Kampuni ya A to Z ikichangia ujenzi wa mabweni mawili yaliyo ungua moto hivi karibuni.
![](http://3.bp.blogspot.com/-aML6rKdYyVk/VOMXyAIZMII/AAAAAAAHEI8/amgUR-5jNcM/s640/unnamed%2B%285%29.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-_gqDqwPKVu4/XtUTe1LnU8I/AAAAAAACL4c/_DtXIsDGByUsxbqxJVC256pr4ZJ-Oo-AwCLcBGAsYHQ/s72-c/7.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AKAGUA UKARABATI WA UKUMBI WA MKUTANO WA JAKAYA KIKWETE NA UKUMBI WA NEC
![](https://1.bp.blogspot.com/-_gqDqwPKVu4/XtUTe1LnU8I/AAAAAAACL4c/_DtXIsDGByUsxbqxJVC256pr4ZJ-Oo-AwCLcBGAsYHQ/s400/7.jpg)
Dodoma, Tanzania
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndg. John Pombe Joseph Magufuli leo tarehe 01 Juni, 2020 amekagua maandalizi ya kumbi za mikutano na vikao vya chama vinavyotarajiwa kufanyika hivi karibuni.
Ndg....
10 years ago
MichuziMKURUGENZI MKUU MPYA WA TBL AKAGUA MAJENGO WALIYOYAKABIDHI KWA CHUO KIKUU CHA STEPHANO MOSHI