Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KWANDIKA AKAGUA UKARABATI WA MAJENGO SEKONDARI YA WAVULANA IHUNGO

Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhe. Elias John Kwandika akisisitiza jambo kwa Mkuu wa Shule ya Sekondari ya wavulana Ihungo, Mwalimu Philipo Boneventure (kushoto) na Meneja wa Wakala wa MajengoTBA mkoani Kagera, Mhandisi Salum Chanzi (WA tatu kushoto) alipokagua ukarabati wa majengo ya shule hiyo.  Naibu Waziri wa Ujenzi Mhe. Elias John Kwandika akizungumza jambo kwa Mkuu wa Shule ya Sekondari ya wavulana Ihungo Boneventure (kulia ) na Meneja wa Wakala wa Majengo TBA, Mhandisi Chanzi mkoani Kagera...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

TCRA yatoa elimu Shule ya Sekondari ya Wavulana Mwandege

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema kuwa katika matumizi ya mitandao kuacha kuweka vitu binafsi katika mitandao.
Akizungumza wakati wa utoaji elimu ya kwa Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya  Wavulana Mwandege wilayani Mkuranga mkoani Pwani  Afisa Masoko wa Mamlaka hiyo  Dorice Muhimbila amesema kuwa Wanafunzi ni muhimu kuwa elimu hiyo ili wakianza kumiliki simu waweze kutumia mawasiliano hayo salama.
Muhimbila amesema kuwa elimu hiyo wanayoitoa ni...

 

9 years ago

Michuzi

MAHAFALI YA KWANZA YA SHULE YA SEKONDARI YA WAVULANA YA SULLIVAN PROVOST YA KIBAHA YAFANA.

Baadhi ya wahitimu wa kidato cha nne wa  Shule ya Sekondari ya Wavulana ya  Sullivan Provost , wakihudhuria mahafali yao ya kwanza yaliyofanyika shuleni hapo, Kibaha kwa Mathias, Mkoani Pwani hivi karibuni.Mkurugenzi Mtendaji wa Shule ya Wavulana ya Sullivan Provost,  Rachel Mwalukasa (kushoto), akizungumza katika sherehe za mahafali ya kwanza ya kidato cha ya shule hiyo shuleni hapo, Kibaha kwa Mathias, Pwani hivi karibuni. Wengine kutoka kulia ni Mkuu wa Shule, Jacob Mkumbo, Mwenyekiti wa...

 

11 years ago

Michuzi

MKUU WA MKOA WA DODOMA DR REHEMA NCHIMBI AKAGUA MAENDELEO YA UKARABATI WA ZAHANATI YA MKONZE

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. Rehema Nchimbi mwishoni mwa wiki (Julai 3) alifanya ziara ya kutembelea zahanati ya kijiji cha Mkonze Manispaa ya Dodoma kukagua kazi ya ukarabati wa Jengo la Zahanati ya kijiji hiko lililokuwa limetokewa na nyufa kwenye baadhi ya kuta na kusababisha jengo hilo mali ya serikali lisitumike kutoa huduma kwa wananchi kwa sababu za kiusalama.  Kwa sasa jEngo hilo linaendelea kufanyiwa ukarabati ikiwa ni kulijengea nguzo za zege kwenye kuta ili kuliongezea uimara na...

 

5 years ago

Michuzi

PROF NDALICHAKO AKAGUA MAENDELEO UKARABATI CHUO CHA UALIMU MPWAPWA KILICHOGHARIMU BILIONI 2.8


Charles James, Michuzi TV

SERIKALI imesema imeamua kuwekeza kwenye katika uboreshaji wa miundombinu ya Taasisi za Elimu ili kuongeza fursa ya upatikanaji wa elimu kwa watanzania walio wengi.

Kauli hiyo imetolewa wilayani Mpwapwa, Dodoma na Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Prof Joyce Ndalichako wakati alipofanya ziara ya kutembelea Chuo cha Ualimu Mpwapwa.

Katika ziara hiyo Prof Ndalichako amekagua maendeleo ya ujenzi na ukarabati wa miundombinu katika chuo hiko ambao umegharimu zaidi ya...

 

5 years ago

Michuzi

Profesa Mdoe akagua ukarabati, ujenzi wa chuo kikuu Mzumbe kampasi ya Dar es Salaam

 Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa James Mdoe akisaini kitabu cha wageni mara bada ya kuwasiri katika chuo kikuu cha Mzumbe kampasi ya Dar es Salaam-Tegeta, kwaajili ya kuangalia maendeleo ya ukarabati na ujenzi wa Vyumba vya madarasa. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa James Mdoe akiwa ameamatana na wafanyakazi wa chuo kikuu cha mzumbe  wakitembelea majengo ya  chuo kikuu cha Mzumbe jijini Dar es Salaam leo.Naibu Katibu Mkuu...

 

5 years ago

Michuzi

MAJALIWA AKAGUA UKARABATI WA DARAJA LILILOSOMBWA NA MAJI NA KUKATA MAWASILIANO KATI YA MOROGORO NA DODOMA


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua kazi ya ukarabati wa daraja la Kiyegeya lililopo eneo la Gairo ambalo limesombwa na maji na kusababisha kukatika kwa mawasiliano kati ya Morogoro na Dodoma, Machi 4, 2020. Wa pili kulia ni Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua kazi ya ukarabati wa daraja la Kiyegeya lililopo eno la Gairo ambalo limesombwa na maji na kusababisha kukatika kwa mawasiliano ya barabara kati ya...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI MKUU MSTAAFU NA MBUNGE WA MONDULI, EDWARD LOWASSA AKIZUNGUMZA NA BAADHI YA WANAFUNZI WA SHULE SEKONDARI YA WAVULANA YA ENGUTOTO WILAYANI MONDULI WAKATI ALIPOTEMBELEA LEO.

 Lowassa ambaye alirejelea kauli yake ya kwamba yeye si tajiri bali ni tajiri wa marafiki, alichangia shilingi milioni tatu kwa ajili ya sare za shule kwa wanafunzi ambao nguo zao ziliteketea. 
Aidha mwenyekiti mtendaji wa makampuni IPP, Reginald Mengi akichangia shilingi milioni 25 kwa ajili ya vitanda na Kampuni ya A to Z ikichangia ujenzi wa mabweni mawili yaliyo ungua moto hivi karibuni.Mmiliki wa kiwanda kikubwa cha A to Z cha Arusha,Anoji Shah (aliesimama) akiwaeleza wanafunzi wa shule...

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS DK. MAGUFULI AKAGUA UKARABATI WA UKUMBI WA MKUTANO WA JAKAYA KIKWETE NA UKUMBI WA NEC

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Rais Dk. John Magufuli akimsikiliza MakamuMwenyekiti wa CCM Bara Philip Mangula kuhusu Maendeleo ya ukarabati wa ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete Conventionjijini Dodoma leo tarehe 1 Juni 2020
Dodoma, Tanzania
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndg. John Pombe Joseph Magufuli leo tarehe 01 Juni, 2020 amekagua maandalizi ya kumbi za mikutano na vikao vya chama vinavyotarajiwa kufanyika hivi karibuni.
Ndg....

 

10 years ago

Michuzi

MKURUGENZI MKUU MPYA WA TBL AKAGUA MAJENGO WALIYOYAKABIDHI KWA CHUO KIKUU CHA STEPHANO MOSHI

 Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Bia Tanzania TBL,Roberto Jarrin akiongozwa na mkufunzi katika Chuo Kikuu Kishiriki cha kumbukumbu ya Stephano Moshi,Gasper Mpehongwa kutembelea vyumba vya madarasa ambavyo vinatumika kwa ajili ya masomo pamoja na mitihanikatika eneo la TBL mjini Moshi.Eneo hilo limetolewa na TBL kwa chuo hicho ikiwa ni kurudisha sehemu ya faida inayopatikana kwa wananchi.
 Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Bia Tanzania TBL,Roberto Jarrin akiwa ameambatana na mkuu wa chuo Kikuu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani