Wakili: Mahakama imemtendea haki Macha
Na Mwandishi Wetu
UPANDE wa utetezi katika kesi iliyokuwa ikimkabili mfanyabiashara Hans Macha (pichani), umesema Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imetenda haki kwa kuthibitisha kuwa mteja wao alinunua nyumba kihalali kutoka kwa mlalamikaji Ramadhani Balenga.
Kauli hiyo ya upande wa utetezi, imekuja ikiwa ni siku chache baada ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Kisutu, Devotha Kisoka kutoa hukumu iliyothibitisha kwamba Macha alinunua nyumba kihalali kutoka kwa Balenga.
Wakili wa Macha, Deo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qwjdQuP_SQs/VGtnXe79S5I/AAAAAAABNFw/slaYHdZmJPg/s72-c/macha.jpg)
Mahakama ya Kisutu yamtia hatiani Macha
![](http://4.bp.blogspot.com/-qwjdQuP_SQs/VGtnXe79S5I/AAAAAAABNFw/slaYHdZmJPg/s1600/macha.jpg)
Uamuzi huo, umetolewa na Hakimu Mkazi wa mahakama hiyo, Devotha Kisoka katika kesi inayomkabili mfanyabiashara huyo ya kugushi hati ya kiwanja cha Ramadhan Balenga chenye namba 183 kilichopo Kigogo, mkataba wa mauziano na hati ya uhamishaji miliki.
Akitoa uamuzi huo jana, Hakimu Devotha alisema baada...
10 years ago
Tanzania Daima09 Nov
Mahakama Kisutu kutoa uamuzi dhidi ya Macha
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu kesho inatarajia kutoa uamuzi juu ya mfanyabiashara maarufu jijini Dar es Salaam, Hans Macha iwapo ana kesi ya kujibu au la. Macha anakabiliwa na mashitaka...
10 years ago
Dewji Blog07 Feb
Mahakama: Macha mnunuzi halali nyumba ya Balenga
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imethibitisha kwamba mfanyabiashara Hans Macha (pichani) alinunua nyumba kwa kufuata utaratibu na kihalali kutoka kwa Ramadhani Balenga.
Hayo yalithibitishwa jana kupitia hukumu iliyosomwa na Hakimu Mkazi Frank Moshi kwa niaba ya Hakimu Mkazi Devotha Kisoka, ambaye alisikiliza kesi ya kughushi inayomkabili Macha.
Katika kesi hiyo, Macha alikuwa akikabiliwa na mashitaka matatu ya kughushi hati ya umiliki wa kiwanja kilichopo eneo ya Kigogo, Dar es Salaam,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qwjdQuP_SQs/VGtnXe79S5I/AAAAAAABNFw/slaYHdZmJPg/s72-c/macha.jpg)
Mahakama ya Kisutu yasema Hans Macha ana kesi ya kujibu
![](http://4.bp.blogspot.com/-qwjdQuP_SQs/VGtnXe79S5I/AAAAAAABNFw/slaYHdZmJPg/s1600/macha.jpg)
Uamuzi huo, umetolewa na Hakimu Mkazi wa mahakama hiyo, Devotha Kisoka katika kesi inayomkabili mfanyabiashara huyo ya kugushi hati ya kiwanja cha Ramadhan Balenga chenye namba 183 kilichopo Kigogo, mkataba wa mauziano na hati ya uhamishaji miliki.
Akitoa uamuzi huo jana, Hakimu Devotha alisema baada...
9 years ago
Mtanzania26 Nov
Kesi ya Wakili Mwale yahamia Mahakama Kuu
NA JANETH MUSHI, ARUSHA
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Arusha, inatarajia kuanza kusikiliza kesi ya utakatishaji fedha haramu inayomkabili wakili maarufu jijini hapa, Median Mwale na wenzake watatu.
Hatua hiyo ilikuja jana baada ya upande wa Jamhuri unaowakilishwa na Wakili Oswald Tibabyakomya, kudai kuwa umekamilisha upelelezi wa kesi hiyo.
Watuhumiwa wengine katika shauri hilo ni Don Bosco Gichana, Boniface Mwimbwa na Elias Ndejembi.
Mbele ya Hakimu Mfawidhi Mkazi wa Mahakama ya Hakimu...
11 years ago
Habarileo19 May
Jalada la wakili maarufu Mwale kupelekwa Mahakama Kuu
HAKIMU Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Mkoa a Arusha , Devota Kamuzora amekubali ombi walilolitoa mawakili upande wa utetezi katika kesi ya wakili maarufu jijini hapa, Median Mwale ya kutakatisha fedha la jalada hilo kupelekwe Mahakama Kuu ili kuamua kama kesi hiyo ilifunguliwa kimakosa au la.
10 years ago
GPLWAKILI MAHAKAMA KUU ATANGAZA KUGOMBEA URAIS 2015
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sdzCm2mQasc/VijHV3LT17I/AAAAAAAAE50/JAikOfuvPG8/s72-c/1.jpg)
MAHAKAMA YA HAKI ZA BINADAMU YAADHIMISHA SIKU YA HAKI ZA BINADAMU AFRIKA JIJINI ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-sdzCm2mQasc/VijHV3LT17I/AAAAAAAAE50/JAikOfuvPG8/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1jiUFRYnO2s/VijHclt6wII/AAAAAAAAE58/VpaB20eNO_8/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HwLSGqa5iPA/VijHzxQEmKI/AAAAAAAAE6E/QO2UWhpIRX8/s640/3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6PpPNrtVSI8/XkqlE1yacrI/AAAAAAALdw8/qrUAn7kzLD0K7y06hYfFs8019nXBg1ZvACLcBGAsYHQ/s72-c/06bfda21-15e6-41d7-bf61-d7afc4312ce3.jpg)
WAKILI KICHEELE AIOMBA MAHAKAMA KUFUNGUA AKAUNTI YA MTUHUMIWA ANAYEKABILIWA KWA KOSA LA KULAWITI
WAKILI Nyaronyo Kicheele anayemtetea mshtakiwa Samwel Philemon anayekabiliwa na kosa la kulawiti ameomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kufungua akaunti za mteja wake zinashoshikiliwa na polisi kwani mashtaka yanayomkabili siyo ya uhujumu uchumi na wala hayahusiani na fedha.
Kicheele amewasilisha maombi hayo leo Februari 17,mwaka 2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Rashid Chaungu wakati mshtakiwa Philemon ambaye ni mfanyabiashara na mwenzake ambaye ni...