Wakili wa Mbasha augua, kesi yaahirishwa
Emmanuel Mbasha
Veronica Romwald na Zainabu Abdillah (MUM), Dar es Salaam
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala jana imeahirisha kesi ya ubakaji inayomkabili mfanyabiashara na muimbaji wa muziki wa injili, Emmanuel Mbasha hadi Septemba 19, mwaka huu kutokana na wakili anayemtetea, Mathew Kakamba, kuugua shinikizo la damu.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Mwendesha Mashitaka wa Polisi na Wakili wa Serikali, Nassoro Katuga, alidai Mahakama ilifikia uamuzi huo baada ya Kakamba kuieleza Mahakama kuwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Sep
Wakili kesi ya Mbasha augua, yapigwa tarehe
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TARUKDkBK7rTqI-8hIfvMEz50H2g84dkdbPM6oyYQGmeM5R7BTzfbu4iytMQCIzC7*Th1dYQq-peka6jTSYb4SJ5tUXsJWLC/13.gif)
PAPAA MSOFE AUGUA, ASHINDWA KUFIKA MAHAKAMANI, KESI YAKE YAAHIRISHWA
11 years ago
Habarileo01 Aug
Kesi ya wakili anayedaiwa kumpiga 'hausigeli' yaahirishwa
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kinondoni imeahirisha tena kesi inayomkabili Wakili wa Serikali, Yasinta Rwechungura (44), hadi Agosti 29, mwaka huu kutokana na upelelezi wa shauri hilo kutokamilika.
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
Kesi ya ghorofa yaahirishwa
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, jana imeahirisha kesi ya mauaji ya watu 27 kutokana na kuporomoka jengo la ghorofa 16, inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya...
10 years ago
Habarileo03 Jul
Kesi ya Gwajima yaahirishwa
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jana imeshindwa kumsomea maelezo ya awali Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima na wenzake wanaokabiliwa na kesi ya kutumia lugha ya matusi na kushindwa kuhifadhi silaha.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aDnEqQYbuL*JXWP87OtJnj11lPp0p*9X-RG1EvW42qkHkjOubzPxxRygZs8LrQqaA7CZpZt41HKb9Js4RHOs5JYJRH7w6CIx/msofe.jpg?width=650)
KESI YA MSOFE NA MWENZAKE YAAHIRISHWA
10 years ago
Habarileo06 Mar
Kesi ya kuteka mwanafunzi yaahirishwa
KESI ya kumteka mwanafunzi wa darasa la pili, inayomkabili Mkulima Juma Hamis (41) katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeahirishwa hadi Machi 18 mwaka huu itakapoendelea kusikilizwa.
11 years ago
Habarileo15 Jul
Kesi ya wafanyakazi Swissport yaahirishwa
KESI inayowakabili wafanyakazi wawili wa Kampuni ya kupakia na kupakua mizigo ya Swissport, imeshindwa kusikilizwa kutokana na wakili wa washitakiwa kutofika mahakamani.
10 years ago
Habarileo03 Sep
Kesi ya Kazembe na wenzake yaahirishwa
KESI ya mauaji inayomkabili Ofisa Usalama wa Taifa, Mohammed Kazembe na wenzake watatu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeahirishwa hadi Septemba 16 mwaka huu.