Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakili wa Mbasha augua, kesi yaahirishwa

Emmanuel Mbasha

Emmanuel Mbasha

Veronica Romwald na Zainabu Abdillah (MUM), Dar es Salaam

MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala jana imeahirisha kesi ya ubakaji inayomkabili mfanyabiashara na muimbaji wa muziki wa injili, Emmanuel Mbasha hadi Septemba 19, mwaka huu kutokana na wakili anayemtetea, Mathew Kakamba, kuugua shinikizo la damu.

Akizungumza Dar es Salaam jana, Mwendesha Mashitaka wa Polisi na Wakili wa Serikali, Nassoro Katuga, alidai Mahakama ilifikia uamuzi huo baada ya Kakamba kuieleza Mahakama kuwa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wakili kesi ya Mbasha augua, yapigwa tarehe

Kesi ya ubakaji inayomkabili mwimbaji wa muziki wa injili, Emmanuel Mbasha (32) imeahirishwa hadi Septemba 19, kutokana na wakili wa mshtakiwa kuugua.

 

10 years ago

GPL

PAPAA MSOFE AUGUA, ASHINDWA KUFIKA MAHAKAMANI, KESI YAKE YAAHIRISHWA

Papaa Msofe akiingia chumba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. (Picha na Maktaba yetu) MFANYABIASHARA anayekabiliwa na kesi ya mauaji, Marijan Abubakar, maarufu kama Papaa Msofe leo ameshindwa kufika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam kusikiliza…

 

11 years ago

Habarileo

Kesi ya wakili anayedaiwa kumpiga 'hausigeli' yaahirishwa

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kinondoni imeahirisha tena kesi inayomkabili Wakili wa Serikali, Yasinta Rwechungura (44), hadi Agosti 29, mwaka huu kutokana na upelelezi wa shauri hilo kutokamilika.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kesi ya ghorofa yaahirishwa

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, jana imeahirisha kesi ya mauaji ya watu 27 kutokana na kuporomoka jengo la ghorofa 16, inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya...

 

10 years ago

Habarileo

Kesi ya Gwajima yaahirishwa

Josephat GwajimaMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jana imeshindwa kumsomea maelezo ya awali Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima na wenzake wanaokabiliwa na kesi ya kutumia lugha ya matusi na kushindwa kuhifadhi silaha.

 

10 years ago

GPL

KESI YA MSOFE NA MWENZAKE YAAHIRISHWA

KESI ya mauaji inayomkabili mfanyabiashara Marijan Abubakar ‘Papa Msofe’ na mwenzake, Makongoro Joseph, imetajwa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam na kuahirishwa hadi Oktoba 13 mwaka huu kutokana na uchunguzi kutokamilika.  Msofe na Makongoro wanakabiliwa na kesi ya mauaji ya Onesphory Kitoli. Kesi hiyo imetajwa chini ya  Hakimu Mkazi Hellen Riwa  Papa Msofe (katikati) akishuka...

 

10 years ago

Habarileo

Kesi ya kuteka mwanafunzi yaahirishwa

KESI ya kumteka mwanafunzi wa darasa la pili, inayomkabili Mkulima Juma Hamis (41) katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeahirishwa hadi Machi 18 mwaka huu itakapoendelea kusikilizwa.

 

11 years ago

Habarileo

Kesi ya wafanyakazi Swissport yaahirishwa

KESI inayowakabili wafanyakazi wawili wa Kampuni ya kupakia na kupakua mizigo ya Swissport, imeshindwa kusikilizwa kutokana na wakili wa washitakiwa kutofika mahakamani.

 

10 years ago

Habarileo

Kesi ya Kazembe na wenzake yaahirishwa

KESI ya mauaji inayomkabili Ofisa Usalama wa Taifa, Mohammed Kazembe na wenzake watatu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeahirishwa hadi Septemba 16 mwaka huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani