Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakulima waidai SMZ mil.240/-

Zanzibar SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imeombwa kuipatia fedha Wizara ya Kilimo na Maliasili kwa ajili ya kulipa deni wanazodaiwa na wakulima wa mpunga.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wakulima waidai Serikali Sh73 bilioni

Wakulima nchini wanaidai Serikali Sh73 bilioni baada ya kuiuzia mazao yao kwa mkopo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Walimu Singida waidai serikali mil 314/-

DSC02785

Baadhi ya wajumbe wa kikao cha mkoa cha kupangia shule wanafunzi waliofaulu mtihani wa taifa wa kumaliza elimu ya msingi mwaka huu,ili kuanza kidato cha kwanza mwakani.Kikao hicho kilifanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Kanisa Katoliki mjini Singida.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

WALIMU mkoani Singida wanaidai serikali zaidi ya sh milioni 314 yakiwa ni malimbikizo ya madeni yao mbalimbali ya siku za nyuma kwa vipindi tofauti hadi kufikia Desemba mwaka huu.

Ofisa...

 

10 years ago

Habarileo

Wakulima Kanda ya Kati waidai Serikali bil.10

VIKUNDI vya wakulima katika mikoa ya Kanda ya Kati vinaidai Serikali zaidi ya Sh bilioni 10 baada ya kuuza mazao yao kwa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA).

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YATOA MIL 240 KWA AJILI YA MAABARA ZA SEKONDARI CHALINZE



……………………………………………………………………………………
NA MWAMVUA MWINYI, Chalinze 
SERIKALI Kuu imetoa kiasi cha sh.milioni 240 ,kwa ajili ya kumalizia maabara nane katika za sekondari kwenye halmashauri ya Chalinze, wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani .
Fedha hizo zitatokana na bajeti ya mwaka wa 2020/2021, zinalenga kujenga vyumba hivyo katika shule 9 za sekondari, ambapo kila chumba kimoja kitatumia sh.milioni 30. 
Kaimu Ofisa Elimu Sekondari Halmashauri ya Chalinze, Irene Joseph aliiambia Kamati ya Siasa ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

SEMA yatumia mil. 25/- kusaidia wakulima

SHIRIKA la Mpango  Endelevu wa Uboreshaji Mazingira (SEMA), limetumia zaidi ya sh milioni 25 kununua vifaa vyenye ujumbe utakaowasaidia wakulima kubadilika ili kuendana na mabadiliko ya tabia nchi. Hayo yamesemwa...

 

11 years ago

TheCitizen

240 entrepreneurs take part in training

Up to 240 small and medium size entrepreneurs (SMEs) from eight regions in Tanzania Mainland have been trained on how to conduct cross-border trade within the East African region, it was announced here last week.

 

10 years ago

Habarileo

NHC kunufaisha vijana 240 Tabora

VIJANA 240 mkoani Tabora watanufaika na sera ya shirika la nyumba la Taifa kwa kupewa mafunzo , mtaji na hatimaye kujiajiri wenyewe kupitia vikundi vya uzalishaji mali.

 

10 years ago

Vijimambo

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani