Wakulima waidai SMZ mil.240/-
Zanzibar SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imeombwa kuipatia fedha Wizara ya Kilimo na Maliasili kwa ajili ya kulipa deni wanazodaiwa na wakulima wa mpunga.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi14 Nov
Wakulima waidai Serikali Sh73 bilioni
10 years ago
Dewji Blog22 Dec
Walimu Singida waidai serikali mil 314/-
Baadhi ya wajumbe wa kikao cha mkoa cha kupangia shule wanafunzi waliofaulu mtihani wa taifa wa kumaliza elimu ya msingi mwaka huu,ili kuanza kidato cha kwanza mwakani.Kikao hicho kilifanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Kanisa Katoliki mjini Singida.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
WALIMU mkoani Singida wanaidai serikali zaidi ya sh milioni 314 yakiwa ni malimbikizo ya madeni yao mbalimbali ya siku za nyuma kwa vipindi tofauti hadi kufikia Desemba mwaka huu.
Ofisa...
10 years ago
Habarileo07 Nov
Wakulima Kanda ya Kati waidai Serikali bil.10
VIKUNDI vya wakulima katika mikoa ya Kanda ya Kati vinaidai Serikali zaidi ya Sh bilioni 10 baada ya kuuza mazao yao kwa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA).
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--SItcHzNI14/XoRpytb39sI/AAAAAAALlwQ/s5G7J8-M3acstptI1WoiidXiGWRPHrHtACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200401-WA0043-768x576.jpg)
SERIKALI YATOA MIL 240 KWA AJILI YA MAABARA ZA SEKONDARI CHALINZE
![](https://1.bp.blogspot.com/--SItcHzNI14/XoRpytb39sI/AAAAAAALlwQ/s5G7J8-M3acstptI1WoiidXiGWRPHrHtACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200401-WA0043-768x576.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/IMG-20200401-WA0042-1024x768.jpg)
……………………………………………………………………………………
NA MWAMVUA MWINYI, Chalinze
SERIKALI Kuu imetoa kiasi cha sh.milioni 240 ,kwa ajili ya kumalizia maabara nane katika za sekondari kwenye halmashauri ya Chalinze, wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani .
Fedha hizo zitatokana na bajeti ya mwaka wa 2020/2021, zinalenga kujenga vyumba hivyo katika shule 9 za sekondari, ambapo kila chumba kimoja kitatumia sh.milioni 30.
Kaimu Ofisa Elimu Sekondari Halmashauri ya Chalinze, Irene Joseph aliiambia Kamati ya Siasa ya...
11 years ago
Tanzania Daima17 Jun
SEMA yatumia mil. 25/- kusaidia wakulima
SHIRIKA la Mpango Endelevu wa Uboreshaji Mazingira (SEMA), limetumia zaidi ya sh milioni 25 kununua vifaa vyenye ujumbe utakaowasaidia wakulima kubadilika ili kuendana na mabadiliko ya tabia nchi. Hayo yamesemwa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-aVqB36xBQMQ/Xvg7cOGWWKI/AAAAAAABMoQ/1ganG9WbyfYqPHPLVZqTAboPP9QNn-oqgCLcBGAsYHQ/s72-c/TAKUKURU.jpg)
11 years ago
TheCitizen30 Jun
240 entrepreneurs take part in training
10 years ago
Habarileo05 Oct
NHC kunufaisha vijana 240 Tabora
VIJANA 240 mkoani Tabora watanufaika na sera ya shirika la nyumba la Taifa kwa kupewa mafunzo , mtaji na hatimaye kujiajiri wenyewe kupitia vikundi vya uzalishaji mali.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-ukJ1XSGEEMs/VZX-O5vV7TI/AAAAAAADvU0/Kj5RRLfyIkE/s72-c/800dc55b539575cc4366552a12c70b52.jpg)